Zitto Kabwe kumponza Dr Kitila Mkumbo?

-nahis naiona hoja yako kwa mblali ila ni hoja nyepesi. Na kimsingi, co lazma kila mtu kutoa maoni kwa kila jambo ndani ya chama
 
Kama uliyeandika hivi unatokea DMS bas utakuwa umeandika kwa kutumia makalio na sio akili yako.
Kuna matatizo ya msingi mengi tuu,wewe unatuletea upuuuzi huna kazi?
 
Hii hoja ni upumbavu tu.

Zitto ana mambo yake mengi tu ya kijinga dhidi ya CHADEMA lakini ni upuuzi kumfanya Zitto aonekane kama vile yuko against na uongozi wa chama. Najua anasimamia anachokiamini na wakati mwingine yatupasa tuwe na adabu juu yake. Ni mwanadamu, msomi na kiongozi. Kupika pika hoja za kish$nzi dhidi yake ni mwendelezo ule ule wa kutumia makalio kufikiri. Nani asiyejua mchango wa kitila katika kuleta mustakabali mwema chadema?

Thread imejaa harufu ya unafiki
 
Hakuna wa kunitoa kwenye Agenda za kitaifa zinazolikabili Taifa kuja kwenye vithread uchwara. kwahelini na hamtoniona tena kwenye thread hii. maana nadelete topic subscription ya thread hii kwenye folder langu.
 
kama una akili sana katatue matatizo ya mafuta na umeme

sio kila wakati kuleta umbea

Ni watu kama wewe ndio wanaotuletea mikosi tanzania.... umbea, umbea na umbea tu

badili jina lako weka jina linaloendana na mindset yako

Mkuu Fikra Kutoka Makalioni haziwezi kutatua tatizo lolote kwa hiyo kumpa jamaa kazi ya kutatua Umeme unamuonea sana Jambo la Msingi ni Kumfundisha namna ya kufikiria kwa Kichwa (ingawa inaweza kuchukua muda) ila akiweza basi ndio tumpe hizi task

Fikra Makalio zimejaa Umbeya, Unafiki, Uzandiki, Uchonganishi na kila aina ya Makandikando.
 
SASA NAMUUNGA MKONO RASMI WILLIAM MALECELA ACHUKUWE JIMBO LA MTERA : Saigon

Kwa nini Mkuu kwani Mtera hakuna Mbunge? bwa ha ha bwa haaaa
 
Yawezekana hawasilisha hoja vizuri.lakini kuna mantiki kwenye yaliyozungumzwa.. Ukifuatilia saisa za Zitto na uhusiano wake na hao watu aliowataja, hutokosea kama ukisema kuna hoja. Mimi binafsi huwa simwamini Zitto hata kidogo..haya aliyosema mjumbe mtoa mada yanaweza kufanywa na wanasiasa.kwa vile Zitto ni mwanasisiasa basi uwezekano wa kuyafanya hayo upo.
Ninacho amini mimi ni kuwa CHADEMA ni taasisi kubwa.naamini mpaka mtoa masa ayasemehe haya (kama ni ya kweli) basi viongozi wa wa CDM watakuwa tayari wanafahamu.
Usahauri wangu kwa uongozi wa CDM ni kwamba kama itabainika na kuthibitika kuwa kuna mwanachama yeyete anahatarisha mstakabali wa chama, basi atimuliwe mara kwa kwa kuzingatia sheria na kanuni za chama. Hata kama ni Ziitto Kabwe. Hakuna aliye juu ya sheria na kanunu za chama.
 
binafsi nampenda zitto kama mtendaji zaidi kuliko zitto mwanasiasa,ila siwezi unga mkono kila hoja ya kumkosoa.kwasasa issue ni mafuta,ufisadi n.k na sio kuibua upuuzi.kitila ni mtu mwenye nidhamu na maadili ya utawala kijana.
 
Zitto anatiwa mashaka mengi hivyo, na yeye pia anajiingiza ktk mtego huo kwa kuungana naye bila sababu ya msingi. Huko ndiko wanakoponzana.
Very cheap propaganda indeed ulikolalia wenzako walishaamka siku nyingi kajipange upya.
 
Son of David (real?)

Mgao wa Mafuta na Umeme ndiyo umekuharibu akili?

Umeandika kama vile umetumia kibatari kumulika "keyboard" ya kisimu cha mchina au ki-laptop cha malaysia!
 
naommba mwongozo huyu jamaa akapimwe akili ueande ndio zile akili alizozisema Dr. Masaburi ndizo anazo, watu tuko kwenye ishu ya umeme, mafuta, UDA yeye kwenye UMBEA, shame on you!
 
Huu ni uongo, Dr. Kitila hakuwa chuoni pamoja na Zitto, na Zitto hakuwa kiongozi kwenye serikali ya Kitila kwa hiyo tuliosoma hesabu za kukokotoa hii habari inakuwa ni ya kutunga. Halafu Dr. Kitila ni mtu mwenye msimamo na huwa hachukuwi misimamo ya watu. Namjua na sidhani kama ni mshauri wa kisiasa wa Zitto zaidi ya wote kuwa CDM na viongozi.

Dr. Kitila anaheshimu sana kazi alizofanya Mbowe na Dr. Slaa CDM, hana uchu wa madaraka. Na wakati ukifika anaweza kuwa kiongozi sio ubaya.

Mhn labda....................................... ila viti maalum ni jinamizi linalomzomea.
 
Mjumbe yuko Sahihi. DARUSO si taasisi huru toka zamani, maana washindi wa chaguzi za Daruso wanapatikana kwa mikono ya Watawala wa chuo pamoja na wanasiasa toka huko mjengoni.. Nakumbuka enzi za akina ANDENDEKISE mchakato wa kumpata ulihusisha akina Luhanga na vigogo kibao toka serekalini...
 
Back
Top Bottom