Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Nimepata taarifa muda si mrefu kuwa baada ya Dr.SLAA kumaliza kampeni kigoma kijana machachari mbunge mtarajiwa Zitto Kabwe leo anaingia jimbo la Bukombe kuongeza nguvu kwa mbunge mtarajiwa Prof. Kahigi wa bukombe.Inasemekana Jimbo hilo ni lulu kwa chadema kwani WAANCHI wako tayari kwa mabadiliko na mbinu zote za CCM kupata ushawishi zimegonga mwamba kuanzia kwa m/kti taifa hadi m/kti wa kitongoji wa CCM.
Wana-bukombe ndiyo waliomzomea JK na kumkatisha tamaa kuwa HAWADANGANYIKI.
Wana-bukombe ndiyo waliomzomea JK na kumkatisha tamaa kuwa HAWADANGANYIKI.