Zitto Kabwe kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA endapo....

Update 1.

Sifa za kiongozi kwa mujibu wa mmoja wa Ma Great Thikers wakuu na wa ukweli humu JF.



ZZK ana
1.Charisma(haiba)
2. Popularity(umaarufu)
3. intellectual (weledi)
4. 'Political strategy' mkakati wa kisiasa
5. Timing

@Pasco umewahi kusikia usemi "Show me your friends and I will tell you who you are?"

1. Zito ana haiba ni sawa ila hujasema haiba yake inatokana na nini? Can you tell?

2. Popularity sawa. Lakini unatokana na nini? Kuwa Rais umaarufu wako unatakiwa utokane na watu kwa jibnsi unavyowatumikia. Papa Msofe, Diamond, Wema sepetu nk wote ni maarufu pia.

3. Weledi si intellectual. Weledi ni Professionalism. Ukiweka wazi supporting arguments zako huenda tukakuelewa.

4. Strategy . . . . Mikakati inaweza ikafanya kazi au isifanye. Mikakati hubadilika kutokana na mazingira. Labda ufafanue.

5. Timing? Mifano inatakiwa.

Kuwa Presidential Material unatakiwa uwe ni Mtu wa Watu kama MKJJ alivyogusia kidogo. It is all about Good Leadership. Kiongozi wa Watu ni Kiongozi wa namna gani?

1. Kiongozi wa watu ni yule ambaye akisema watu wanamsikiliza no matter kama ana position au hana. Mandela aliongoza akiwa gerezani.

2. Kiongozi wa watu ni yule ambaye anapigania maslahi ya watu wake no matter what. Japokuwa kuna baadhi ya sheria dhalimu, Kiongozi wa kweli ataweka mbele maslahi ya watu wake bila kujali sheria au kanuni even if it means kuitwa dictator.

3. Kiongozi wa watu ni yule ambaye analeta mabadiliko kwa ku-influence au kushawishi na watu wakakubali kwa hiari kwa moyo mkunjufu. Haitaji kutumia nguvu, sheria wala, hila au vyombo vya dola kuwashawishi watu.

4. Kiongozi wa watu ni lazima awe Muadilifu na uadilifu wake uwe wa asili unaotokana na utu wake na wala si wa woga wa yeye asije kuonekana si muadilifu (Unafiki)

5. Kiongozi wa watu anaongozwa na utashi na dhamira ya kweli ya kuwatumikia watu wake. Hana ajenda ya siri. hategemei fadhila wala malipo wala gains zozote: Mahatma Gandhi was such a leader.

6. Kiongozi wa watu lazima awe mbunifu wa kutatua matatizo ya watu wake. Awe na ndoto na maono ya nini hasa angependa awafanyie watu wake. Ni lazima aguswe na matatizo ya watu wake na ayachukulie kama ni matatizo yake binafsi.

7. Kiongozi wa watu, hana makundi kwa kuwa anaongozwa na dhamira na utashi wa kutumikia watu wake.

8. Kiongozi wa watu yuko tayari kuwasikiliza watu wake na kujirekebisha pale anapokosea kwani yeye ni sehemu ya hao watu.

9. Kiongozi wa watu atajitahidi kuwa na timu ya viongozi walio na sifa zinazofanana na zake na si viongozi wa kupewa shukrani au ambao anawafahamu kwa namna moja au nyingine.

10. Kiongozi wa watu, anaongoza watu na si taasisi, shirika, wizara nk. na hivyo anatakiwa awe na hekima katika kuwaongoza na kufanya maamuzi.
 
ccm mnapenda mada hizi ili kuzoofisha chama cha cdm kiache kuongelea wizi wenu kibase kwenye urais hakuna asiyejua kwamba ccm wanamuogopa sana Dr Slaa,na moto wake hakuna asiyejua ndio maana mnaanza kumzungumzia zito ,oo zito mwacheni zito naye na mzuri lakini mambo mazuri ya peoplesss wachieni wao hasa wewe ccm.
 

Kwa vile mimi sina chama, sio mwanachama, mshabiki, wala mkereketwa wa chama chochote
,
.......


Wale mnaendelea kumbeza ZZK, endeleeni, ili kwa sisi tuliofuatilia safari ya Barak Obama,
........


Wewe ni mshabiki mkubwa sana, chamsingi kuwa huru kuleta maoni yako...hii ndio democracy.Ila watu wawili kuchangia na kumsifu ZZK aimaanishi basi jf watu wote wenye akili zetu tunaungana nao. IKULU SIO NYUMBA YA KULALA WAGENI,LEO KAINGIA HUYU KESHO YULE.NA ALIYE SAHAU KIOO CHAKA HUREJEA NA KUKICHUKUA...
ZZK bado anahitaji muda zaidi ajifunze kuchagua pumba na mchele..then anaweza kuanza kufikilika mkuu
 
Hayaaa! leo magwanda trend zote humu jf ni zittooooo.afadhali wakina nape wapumue mnaumana wenyewe uwiiiii! teh teh teh
 
mimi nazan hizi mada za nani anatakiwa kuwa rais 2015,zinanatutoa kwenye kujadili mambo ya msingi kuhusu mustakabali wa taifa letu tunajadili mambo yasiyo na msingi kwa wakati huu mm nazan mods hizo post wawe wanazizuia kwani ni za uchochezi na kutupotezea muda,...muda ukifka ndo tunatakiwa tuzijadili na sio sasa ...nawakilisha ni maoni msijenge chuki wakuu
 
2015,bado sana!zzk anatakiwa atumie busara na kutengeneza njia kwanza,na siyo kuropoka na kutafuta u'popular'!cdm inavichwa vingi vya maana vinavyofaa kabisa for presidecy,but vimetulia!why zzk?there must be something under the carpet!tuweni makini na huyu jamaa,na busara za kumkaripia zisipotumika huyu jamaa ataharibu chama na kudhoofisha nguvu na njia ya ushindi kwa chadema 2015.

Acha uwongo mchana kweupe Chadema haina vichwa vingi vya kugombea uraisi zaidi ya Mh Zito wewe unafikiri kuongoza ni kuropoka na kupiga makelele hao wengine wote waliobaki ni waropokaji hawana uwezo wa kuongoza,kama vio vingi ebu vitaje na utupe experiance zao za uongozi,Acha ushabiki usiokuwa na tija kwa taifa letu uonavyo wewe ili mradi tu mtu yuko chadema basi anafaa kuwa raisi,ubongo wako umejaa makamasi na matope na ndiyo maana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana !
 
Tunajua suala la Mh Zito kugombea uraisi kupitia chadema litapata upinzani mkali sana kwa kuwa Mh Zito si mkristo na si Mchaga,suala hili linapingwa sana na wachaga ndani ya chadema wanapinga tu bila kuangalia uwezo wa mtu ukabila na udini unaoisumbua chadema,Dr slaa pia hafahi kuwa mgombea wa chadema ndani ya muda mfupi wa uongozi wake ndani ya chama akiwa na Mh Mbowe kama mwenyekiti wameshindwa kuimarisha uhusiano mzuri ndani ya chama wameijenga chadema katika misingi ya udini na ukabila leo tukiwapa nchi si wataiharibu Tanzania yetu wameiongoza chadema katika misingi ya kuleta fujo na vurugu hapa nchini hawa hawafahi kupewa madaraka ya kuongoza taifa mimi naona anayefaa kuipeperusha bendera ya chadema ni Mh Zito pekee hao wengine hamna kitu waropokaji tu utendaji zero Tundu Lissu,Mbowe,Sugu,Lema,Mnyika,Msigwa,Mdee,Wenje hamna raisi hapo,Ndesamburo hawa wote huwezi fananisha na Mh Zito kiuongozi ni vilaza watupu! Mh zito ni moto wa kuotea mbali wachaga wanamuogopa sana wanajitahidi kwa kila mbinu kukwamisha ndoto zake,kiukwel Mh Zito unakubalika sana mitaani chadema wakikunyima nafasi nenda chama kingine utafanikiwa kutimiza ndoto zako!
 
Hivi we unaakili timamu kweli au umetumwa?narudia tena,Zitto dagaa katikati ya mapapa!hana kiwango hicho unachokiwaza wewe,mwenye akili iliyojaa makamasi ni wewe na si vinginevyo!labda awe rais wa familia yako lakini c Tanzania na kupitia cdm!damn
Acha uwongo mchana kweupe Chadema haina vichwa vingi vya kugombea uraisi zaidi ya Mh Zito wewe unafikiri kuongoza ni kuropoka na kupiga makelele hao wengine wote waliobaki ni waropokaji hawana uwezo wa kuongoza,kama vio vingi ebu vitaje na utupe experiance zao za uongozi,Acha ushabiki usiokuwa na tija kwa taifa letu uonavyo wewe ili mradi tu mtu yuko chadema basi anafaa kuwa raisi,ubongo wako umejaa makamasi na matope na ndiyo maana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana !
 

Na hii ni sehemu tuu ya mchango wa Great Thinker mwingine mheshimiwa sana kuhusu sifa za kiongozi atakayetufaa kwa 2015, nimeedit kwa kupunguza zile sifa mimi nilizoziona sio necessary na kubakisha zile za muhimu tuu ambazo zote ZZK anazo!.

Wakuu poleni na Majukumu.
Mkuu sana Pasco et Al.

Naomba kuwaambia kuwa suala la urais ni nyeti na si la Majaribio ki hivyo! Siyo lazimu mtu akimudu nafasi fulani basi ni lazima umudu na ya juu! eg Magufuli ,Mrema Lyatonga walimudu u waziri ,EL,Sokoine na Salimu walumudu uwaziri Mkuu Makamba alifeli u RC Kigoma lakini alifiti nafasi hiyo Dar alifeli u Katibu Mkuu(SG) CCM etc. Majaribio kwa nchi yetu yanatosha! Tunapashwa kufanya kweli ili kuziba magepu yote ya nyuma! Mzee Mwinyi alishatuasa tuache kuwa vichwa vya wendawazi(kila mtu ajifunzie kwetu kunyoa)!

Nafurahi tumeanzisha maada juu ya sifa za ZZK naomba somo libadilke iwe rais tumtakaye (tujadili issue siyo watu) once tukimaliza hilo tutaweza kuona nani anafit hapa! Ukianza na mtu uta force tu ki hivyo lakini ukianza na sifa utaangalia nani ana fit pale i.e. yaani utameweka kwenye mizani ili kupata true weight yake! Lakini sasa ukianza kuweka sifa ukiwa na mawazo ya ZITTO,EL,Dr.Slaa,Membe huwezi kuwaza nje ya boksi,na hili ni tatizo! Ukijadili sifa ukiwa na watu kichwani UTAKUWA kipofu(biased) na Objectivity yako itashuka! Last time watu walikuwa wanasema safari hii ni JK ukiwauliza kwa nini ,Ngoja naye alepo,au tumjaribu, ni mcheshi etc. Mwaka 2008 nilibahatika kuona andiko la Balozi wa India hapa Bongo na kwa maelezo yake "India in the past 20yrs was like TZ,we started by a grass of milk ",leo india ni tishio kwa USA kama si india basi China ndiyo taifa kubwa lifuatalo. Tunahitaji mtu wa kutupeleka mbali in the next 10 - 20yrs. Tunahitaji rais bora kuliko wote waliotangulia ili kuziba gepu hili lililopotea. Maana 1995 mtu ungemuuliza eg why Mrema angeweza kukupa sababu nyingi based on his past performance kwa JK hakukuwa na hoja ,ni mtu alikuwa na waganga wengi katupiga limbwata basi ni JK tu!
Kwa upofu wangu(upeo mdogo) kila rais aliyetawala TZ ni afadhali aliyemtangulia(Predecessors wamefanya kazi nzuri kuliko Succesors).Kwa kifupi Rais ajaye anapaswa awe mzuri kuliko wote waliotangulia ili kutupelekea kwenye maisha bora kwa kila Mtanzania.
My take:
Tujadili kama taifa tunahitaji rais wa namna gani na si tunataka nani awe rais wetu,hayo ni maswali mawili tofauti kabisa as strategic /greater thinkers!
 
Huo udini,ukabila au ukanda ni wenu magamba,yaani dhahiri unaonyesha una IQ ndogo sana!rudi dasani ujenge uwezo wako wa ku'analyse vitu kwa hoja madhubuti na siyo kukimbilia udini,ukabila na ukanda!Toa hoja na siyo kukimbilia vitu visivyo na maana kwa mustakabali wa nchi!Zitto bado sana kuwa rais.
Tunajua suala la Mh Zito kugombea uraisi kupitia chadema litapata upinzani mkali sana kwa kuwa Mh Zito si mkristo na si Mchaga,suala hili linapingwa sana na wachaga ndani ya chadema wanapinga tu bila kuangalia uwezo wa mtu ukabila na udini unaoisumbua chadema,Dr slaa pia hafahi kuwa mgombea wa chadema ndani ya muda mfupi wa uongozi wake ndani ya chama akiwa na Mh Mbowe kama mwenyekiti wameshindwa kuimarisha uhusiano mzuri ndani ya chama wameijenga chadema katika misingi ya udini na ukabila leo tukiwapa nchi si wataiharibu Tanzania yetu wameiongoza chadema katika misingi ya kuleta fujo na vurugu hapa nchini hawa hawafahi kupewa madaraka ya kuongoza taifa mimi naona anayefaa kuipeperusha bendera ya chadema ni Mh Zito pekee hao wengine hamna kitu waropokaji tu utendaji zero Tundu Lissu,Mbowe,Sugu,Lema,Mnyika,Msigwa,Mdee,Wenje hamna raisi hapo,Ndesamburo hawa wote huwezi fananisha na Mh Zito kiuongozi ni vilaza watupu! Mh zito ni moto wa kuotea mbali wachaga wanamuogopa sana wanajitahidi kwa kila mbinu kukwamisha ndoto zake,kiukwel Mh Zito unakubalika sana mitaani chadema wakikunyima nafasi nenda chama kingine utafanikiwa kutimiza ndoto zako!
 
Huo udini,ukabila au ukanda ni wenu magamba,yaani dhahiri unaonyesha una IQ ndogo sana!rudi dasani ujenge uwezo wako wa ku'analyse vitu kwa hoja madhubuti na siyo kukimbilia udini,ukabila na ukanda!Toa hoja na siyo kukimbilia vitu visivyo na maana kwa mustakabali wa nchi!Zitto bado sana kuwa rais.

sasa unafikiri nani anafaa kuwa raisi na kwa vigezo gani?sema ili watu wapime kati yako na mimi nani pimbi!
 
Mtu makini,mwenye akili timamu na asiyeongozwa na chuki binafsi hawezi kujadili watu wenye uwezo wa kuwa Rais wa TZ na akambeza Lowassa au Zitto.
 
Kusafishika kwake kazi sana. Spika Makinda ameivunja Kamati ya Nishati na Madini ya akina-Zitto kufuatia wajumbe wake kuhongwa pale TANESCO. Kujikweza kote kutaisha haraka sana. Nasema na kusisitiza: Zitto hafai na hawezi kuwa Rais wa nchi hii. CCM anaowategemea wampigie makofi Bungeni ndio wanaomwangamiza...
 
Kusafishika kwake kazi sana. Spika Makinda ameivunja Kamati ya Nishati na Madini ya akina-Zitto kufuatia wajumbe wake kuhongwa pale TANESCO. Kujikweza kote kutaisha haraka sana. Nasema na kusisitiza: Zitto hafai na hawezi kuwa Rais wa nchi hii. CCM anaowategemea wampigie makofi Bungeni ndio wanaomwangamiza...

zitto hayupo kwenye hiyo kamati
 
Kusafishika kwake kazi sana. Spika Makinda ameivunja Kamati ya Nishati na Madini ya akina-Zitto kufuatia wajumbe wake kuhongwa pale TANESCO. Kujikweza kote kutaisha haraka sana. Nasema na kusisitiza: Zitto hafai na hawezi kuwa Rais wa nchi hii. CCM anaowategemea wampigie makofi Bungeni ndio wanaomwangamiza...

Umbeya Tabia ya Kike
 
PAACO, anyway kashikwa vibaya mzalendo eti amiri jeshi juzi juzi alikuwa anatapatapa URAIS, bora MUNGU kamuumbua hata ubunge hajapaata... mkuu agree with you kashikwa pabaya kwenye 0713...
 
Huyu Zito anataka Uraisi nasema sawa ndivyo anavyo ona ukweli demokrasia kuijenga ni kazi kwani katika ujenzi huo tuvumiliane historia ya wasaliti au mafalisayo wa nyakati za yesu hawawezi k ufutika duniani pia kina yuda wanapasa wawepo xesu kristo aliwahi sema kuwa acheni magugu yaote na mbegu
 
hahahaha f hs nt a fraud leadr?..hayupo kwa interest ya wafanya biashara na vgogo wa ccm...na kma yupo kwa ilan ya chadema na akichaguliwa basi atakuwa raisi...kiukwel zpo yupo kama co mwana chama wa cdm..namashaka nae..
 
shida ya dodo bado hajakomaa kimawazo, hataweza kuongoza watu wa rika zote,

mwambieni urais sio sawa na kuw kiongozi wa DARUSO ambako aliendeleza jeuri na dharau kwa waliomuweka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom