Zitto Kabwe, hii ni kweli?

Kwenye gazeti la the Guardian on Sunday la tarehe 22 April 2012 kuna habari inayosema kuwa Zitto kusimamia zoezi la petition kwa ajili ya kumng'oa Pinda linatokana na 'pressure' ya wananchi na baadhi ya 'donors' kutoka Norway.

"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, “I acted alone…I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway.”

Mimi nilifikiri msukumo ulikuwa ni wa ndani ya Zitto (patriotism, deep thinking, creativity and political will), lakini kumbe kutoka nje. Je, huku ni kukomaa kisiasa au ndio spanner mkononi?

Source: :: IPPMEDIA (search using a keyword Zitto or Kabwe)

Hata angetumwa na Manyani haijalishi,suala ni ametumwa kufanya nini, Je wangapi unaweza kuwatuma na wakafanya hivyo? Sasa mtu kupiga kura na ni siri anaogopa je kusimama na kutangaza vita ataweza, big up zitto
 
Whataver the case is! Jamaa ana points za msingi! Katika wanasiasa 3 bora tanzania Zitto nae yumo!
 
Kwenye gazeti la the Guardian on Sunday la tarehe 22 April 2012 kuna habari inayosema kuwa Zitto kusimamia zoezi la petition kwa ajili ya kumng'oa Pinda linatokana na 'pressure' ya wananchi na baadhi ya 'donors' kutoka Norway.

"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, “I acted alone…I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway.”

Mimi nilifikiri msukumo ulikuwa ni wa ndani ya Zitto (patriotism, deep thinking, creativity and political will), lakini kumbe kutoka nje. Je, huku ni kukomaa kisiasa au ndio spanner mkononi?

Source: :: IPPMEDIA (search using a keyword Zitto or Kabwe)

Hata angetumwa na Manyani haijalishi,suala ni ametumwa kufanya nini, Je wangapi unaweza kuwatuma na wakafanya hivyo? Sasa mtu kupiga kura na ni siri anaogopa je kusimama na kutangaza vita ataweza, big up zitto
 
Zitto kaibuka mshindi kwa kumfunika sana Januari
Hata kama kuna shinikizo la Norway poa tu kwani hoja na mchakato wa Zitto una mashiko

HAPA ZITTO HAFANANISHWI TENA NA JANUARY
acheni ushabiki.zitto ni mbinafsi mbona hakushirikisha viongozi wenzake.
mlidhani jk atakurupuka amewapotezea mazima
 
Hivi kuna ubaya gani Norway ku-demand uwajibikaji? Si tunapokea misaada kutoka kwao? Hii thread ni ya ajabu kweli? Au ulitaka waNorway waje waingie kwenye bunge letu kutusihi tutumie misaada yao vizuri? Tuwalaumu Norway kutupa msaada wakati hatuuhitaji. Pesa zinaenda mifukoni mwa wajanja (wala siyo wajanja nilitaka kusema wajinga) wachache.

Watu wengine bwana!!!!
 
Hata kama ameambiwa ni sawa it does not make difference, kwa sababu ameyafikisha pale yalitakinana yafikishwe kwa ajili ya accountability, WEWE ULITAKA WANANCHI NA BALOZI WA NORWAY WAJE BUNGENI KUTOA HIYO HOJA?? Zito ameonyesha ukomavu wa hali ya juu.
 
Watz wengine ni wa ajabu kabisa. Yaani suala la kumtimua mwizi tunapata wapi nguvu ya kuanza kuhoji? Hivi hawa watu wanaokosoa hatua ya Zitto ya kuiwajibisha serikali wana akili timamu kweli??? Hivi serikali ikiwajibika vizuri, maendeleo yakapatikana, ni faida kwa nani? Ina maana watu wengine wanataka wezi na majambazi yaendelee kutikisa nchi hii? Watu wanatetea maovu kama vile ni jambo la sifa. Hata kama Zitto kapata maelekezo toka Norway, ni sawa tu, maana hao Wanorway ndo wanatoa pesa yao kuendesha nchi hii. Hawataki pesa yao iendelee kuchezewa. Ni haki yao kuhoji kwa njia yoyote ile. Hawa vigogo wa CCM wezi ni zaidi ya majambazi ya kutumia silaha. Maana wizi wao unaangamiza taifa zima. Mimi naomba majambazi yote nchini yaanze kutafuta makazi ya vigogo na familia zao wawapole na kuwapiga mapanga, mashoka na marungu maana wao ndo wanawasababishia ugumu wa maisha hadi wanaingia ktk ujambazi. Majambazi wote mimi niko tayari kuwa-finance ili waanze operation ya kuvamia vigogo wote wezi serikalini. Tuone kama wataona raha ya wizi wao.
 
Kwenye gazeti la the Guardian on Sunday la tarehe 22 April 2012 kuna habari inayosema kuwa Zitto kusimamia zoezi la petition kwa ajili ya kumng'oa Pinda linatokana na 'pressure' ya wananchi na baadhi ya 'donors' kutoka Norway.

"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, “I acted alone…I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway.”

Mimi nilifikiri msukumo ulikuwa ni wa ndani ya Zitto (patriotism, deep thinking, creativity and political will), lakini kumbe kutoka nje. Je, huku ni kukomaa kisiasa au ndio spanner mkononi?

Source: :: IPPMEDIA (search using a keyword Zitto or Kabwe)

Hayo ni mawazo ya kitumwa kwamba bila mzungu hatuwezi kufanya chochote... hebu semeni percentage contribution ya norway kwenye misaada vs. other countries na pia angalieni how much Norwegian firms/companies are getting out of Tanzania

WHY CANT WE EVEN GIVE OURSELVES ANY BENEFIT OF DOUBTS?
 
acheni ushabiki.zitto ni mbinafsi mbona hakushirikisha viongozi wenzake.
mlidhani jk atakurupuka amewapotezea mazima

Wewe kichwa chako kimejaa makamasi. Kinachoangaliwa hapa ni kitu gani kimefanyika kwa masilahi ya taifa. Viongozi gani hawakushirikishwa? Ni nani amekulalamikia? Kama ni mbinafsi mbona wabunge 72 wamemuunga mkono? Ulitaka hiyo hoja ishikiriwe na kila mbunge? Lazima awepo mmoja wa kupeleka hoja mbele. Kama huna cha kuongea unaweza kusoma threads na kuondoka ukalale.
 
Kweli tanzania tumeharibika yaan mtu akitetea maslah ya wananchi anakuwa anapiga pepepe .twendako kubaya hasa wanaotetea ccm
 
Katika hilo tamko zitto kasema amepata pressure kutoka katika pande kuu mbili
(1) watanzania
(2) donnors wa norway

kutokana na pressure hizo akaamua kufanya move aliyoifanya- sasa je tatizo liko wapi?.

Niwaulize great thinkers mathalani
(1) zitto angepata pressure za donors tu bila watanzania na kisha akaamua kuact kama alivyo act ingekuwa ni tatizo?

Unajua tusijifanye masikini jeuri wakati pesa za donnors tunazitaka then wakitaka kuona pesa zinatumika vizuri tunapiga kelele za "kutoingiliwa katika mambo yetu".

Binafsi naona zitto amekuwa honest, na ana haki ya kurespond dhidi ya pressure za ndani na nje, maana pesa za walipa kodi wa norway zinawauma wanorway pia kama pesa zetu zinavyotuuma watanzania!.

Kiranga amezungumzia kuhusu hofu yake zitto "kudhaniwa"- lakini mimi ninasema kwamba kwa mwanasiasa anayejua anafanya nini, mwenye uwezo wa kujenga hoja hilo wala siyo tatizo, kwa maana atauelewesha umma ujue kuwa pesa iliyoliwa waliyoitoa inawauma pia!
 
Mh Zitto alifanya kitu sahihi kabisa, anayetaka kupinga hili ana lake jambo. I believe Tanzania and wananchi will be a lot better-off without Pinda and those ministers.
 
Kwenye gazeti la the Guardian on Sunday la tarehe 22 April 2012 kuna habari inayosema kuwa Zitto kusimamia zoezi la petition kwa ajili ya kumng'oa Pinda linatokana na 'pressure' ya wananchi na baadhi ya 'donors' kutoka Norway.

"In a telephone interview with The Guardian on Sunday, Kabwe, who is Kigoma North MP, said, “I acted alone…I asked God to help me after a lot of pressure from Tanzanians and some donors from Norway.”

Mimi nilifikiri msukumo ulikuwa ni wa ndani ya Zitto (patriotism, deep thinking, creativity and political will), lakini kumbe kutoka nje. Je, huku ni kukomaa kisiasa au ndio spanner mkononi?

Source: :: IPPMEDIA (search using a keyword Zitto or Kabwe)



What is your position in CCM?
 
Jamani mbona sioni acknowledgement ya Tundu Lissu ambaye katika kuchangia ndiye hasa alianza kutamka kwamba bunge litumie sheria au kanuni kumng'oa waziri mkuu Pinda? Lakini cha kushangaza muda wote amekuwa Zitto kana kwamba ni muasisi wa hoja hii bali yeye nadhani alijumuisha wazo la Tundu katika majumuisho yake kama mwenyekiti wa kamati. Hebu wenye audio sikilizeni majadiliano ya siku hiyo.
 
Huyo mwandishi sizani kama akili zake zinamtosha mwenyewe.Zitto ametumwa na wananchi bungeni sasa alitaka abuni mambo yake kichwani bila utafiti kuwa wananchi wanahitaji nini. Maana ya mbunge ni mtu mmoja kuwasilisha mawazo na kero za wananchi anaowawakilisha.

Nawewe unayeshabikia kwa kuleta thead hii bila kufikirisha vyema akili ,tuliza akili acha uvivu wa kufikiri.

tehe he he heeeeeeeeeee......umenikumbusha enzi za Che Nkapa akiwa presidaaa!!!
 
Back
Top Bottom