KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
Mi nafikiri zitto alikuwa na dhamira ya kweli ya ukombozi, no matter hiyo idea ni yake au ametumwa.
Wangapi katika lile bunge wangekuwa na uthubutu wa kufanya aliyoyafanya zitto kwa hiari na utashi wao, baada ya kuona uchungu jinsi majizi yanavyoitafuna mchi yetu?
Au ni wangapi wangeweza kufanya hivyo hata kwa kushinikizwa na hao unaowaita wanorway?
Majibu ni hakuna, au wachache sana, so mimi nampongeza sana zito, at least he tried, na changamoto imeonekana kwa serikali.
Bravo Kabwe Zitto Zuberi
Wangapi katika lile bunge wangekuwa na uthubutu wa kufanya aliyoyafanya zitto kwa hiari na utashi wao, baada ya kuona uchungu jinsi majizi yanavyoitafuna mchi yetu?
Au ni wangapi wangeweza kufanya hivyo hata kwa kushinikizwa na hao unaowaita wanorway?
Majibu ni hakuna, au wachache sana, so mimi nampongeza sana zito, at least he tried, na changamoto imeonekana kwa serikali.
Bravo Kabwe Zitto Zuberi