mkuu ni vyema kama utatuanikia majina ya hao waaasi ili tuwavue nguo hadharani.
Mkuu usijali vuta subira kidogo,usiwaone wanawatukana kina Dr Slaa/Mbowe/Heche kila siku hapa JF wakadhani hawafahamiki.Wote tunawajua na hakuna muasi hata mmoja atakayesalimika.