AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,493
- 5,039
Mjadala mwema wakuu lakini ni vyema tukaepuka siasa za kuchafuana.
Ahsanteni!
Ahsanteni!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We av so many jembes there,chama c cha zitto wala slaa.tuko fiti kinoma noma.:a s 465:
Mwache aende,tatizo hamumjui zito,huyu jamaa anatumika na wadau fulani wa CCM na wengineo!Ndugu,
Mtakumbuka kuwa hivi karibuni Msajili wa vyama vya Siasa, John Tendwa, amekipa usajili wa muda chama kipya cha siasa kinachojulikana kwa jina la Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA).
Chama hiki kinasimamiwa na mwanaharakati (utawala bora) maarufu nchini, Ndugu Walace Mayunga ambaye wenye chama wamemkabidhi kazi ya kukisajili hadi kipate usajili wa kudumu.
Makao Makuu ya CHAUMA ni Kijitonyama Mtaa wa Kameruni. Bandera ya CHAUMA ina rangi nne; nyeusi, nyeupe, nyekundu na njano. Kauli mbiu ya CHAUMA ni Nguvu ya Mabadiliko.
CHAUMA kinaonekana kuwa na mkakati mkubwa kwa sababu kinatumia waliokuwa makada wa CHADEMA, NCCR-Mageuzi na TLP kutafuta wanachama 200 kutoka angalao mikoa 10 kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa No. 5 ya 1992.
-Chanzo Mdau wa CHAUMA.
My take:
Ni wazi kuwa mwenendo (kujitenga na M4C) na kauli za ZZK ambazo kila mara zinaonekana kuwa na malengo yaliyofichika; kujijenga binafsi (kupata wafuasi wengi) tayari kwa safari ya CHAUMA mara baada ya zoezi la usajili wa kudumu kukamilika.
yawezekana mods wanajambo wanalifanyia uchunguzisasa mbona thread ya millya kurudi ccm mmeifuta ya zitto kuanzisha chama imeachwa mods bana.
Mwache aende,tatizo hamumjui zito,huyu jamaa anatumika na wadau fulani wa CCM na wengineo!
mmmmhhhhhh! Ya kwel hayo? Sasa nani atakuwa mwenyekit,manake wote wa3 wanapenda uboss
Hivi ni kwa nini wafuasi wengi wa CHADEMA wana wasiwasi sana na mwenendo wa Zitto kuliko mtu mwingine yoyote ndani ya Chadema?
Msije kushangaa jamaa anajijenga kisiasa akiwa chadema, destination = chauma
millya ndio nini?Sasa mbona thread ya Millya kurudi CCM mmeifuta ya Zitto kuanzisha chama imeachwa Mods bana.
Kasome kwenye blog ya CCM JF HAMNA UJINGA WAKO UNAOUWAZA KILA KUKICHAyawezekana mods wanajambo wanalifanyia uchunguzi
Yakufikirika haya!!!
Ndugu,
Mtakumbuka kuwa hivi karibuni Msajili wa vyama vya Siasa, John Tendwa, amekipa usajili wa muda chama kipya cha siasa kinachojulikana kwa jina la Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA).
Chama hiki kinasimamiwa na mwanaharakati (utawala bora) maarufu nchini, Ndugu Walace Mayunga ambaye wenye chama wamemkabidhi kazi ya kukisajili hadi kipate usajili wa kudumu.
Makao Makuu ya CHAUMA ni Kijitonyama Mtaa wa Kameruni. Bandera ya CHAUMA ina rangi nne; nyeusi, nyeupe, nyekundu na njano. Kauli mbiu ya CHAUMA ni Nguvu ya Mabadiliko.
CHAUMA kinaonekana kuwa na mkakati mkubwa kwa sababu kinatumia waliokuwa makada wa CHADEMA, NCCR-Mageuzi na TLP kutafuta wanachama 200 kutoka angalao mikoa 10 kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa No. 5 ya 1992.
-Chanzo Mdau wa CHAUMA.
My take:
Ni wazi kuwa mwenendo (kujitenga na M4C) na kauli za ZZK ambazo kila mara zinaonekana kuwa na malengo yaliyofichika; kujijenga binafsi (kupata wafuasi wengi) tayari kwa safari ya CHAUMA mara baada ya zoezi la usajili wa kudumu kukamilika.
binafsi sina ushahidi wowote wa kuthibitisha madai kuhusu zitto lakini naweza kuthibitisha pasipo shaka kwamba kafulila na rungwe ni waasisi wa chauma na wameshafanya mazungumzo na vijana kadhaa waasi ndani ya cdm kujiunga nao na miongoni mwao ni hawa wanaochafua viongozi wa cdm hapa jf.ikihitajika majina ya vijana wote nitayaweka hapa jamvini.
Binafsi sina ushahidi wowote wa kuthibitisha madai kuhusu Zitto lakini naweza kuthibitisha pasipo shaka kwamba Kafulila na Rungwe ni waasisi wa CHAUMA na wameshafanya mazungumzo na vijana kadhaa waasi ndani ya CDM kujiunga nao na miongoni mwao ni hawa wanaochafua viongozi wa CDM hapa JF.Ikihitajika majina ya vijana wote nitayaweka hapa jamvini.