Zitto Kabwe, Hashim Rungwe na Kafulila Waanzisha Chama Kipya cha Siasa - CHAUMA

Status
Not open for further replies.
Shutuma zinazoelekezwa kwa Zitto kutoka kwa wafuasi wengi wa Chadema kama zitakuwa zina chembechembe zozote za ukweli, basi Zitto atakuwa ni mtu hatari sana kwa uhai wa Chadema.

Kama wanaCHADEMA mna uhakika na ushahidi wa shutuma hizi ni bora mkachukua hatua madhubuti kipindi hiki dhidi yake ama sivyo mtalizwa vibaya hapo baadaye.
 
Ndugu,

Mtakumbuka kuwa hivi karibuni Msajili wa vyama vya Siasa, John Tendwa, amekipa usajili wa muda chama kipya cha siasa kinachojulikana kwa jina la Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA).

Chama hiki kinasimamiwa na mwanaharakati (utawala bora) maarufu nchini, Ndugu Walace Mayunga ambaye wenye chama wamemkabidhi kazi ya kukisajili hadi kipate usajili wa kudumu.

Makao Makuu ya CHAUMA ni Kijitonyama Mtaa wa Kameruni. Bandera ya CHAUMA ina rangi nne; nyeusi, nyeupe, nyekundu na njano. Kauli mbiu ya CHAUMA ni Nguvu ya Mabadiliko.

CHAUMA kinaonekana kuwa na mkakati mkubwa kwa sababu kinatumia waliokuwa makada wa CHADEMA, NCCR-Mageuzi na TLP kutafuta wanachama 200 kutoka angalao mikoa 10 kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa No. 5 ya 1992.

-Chanzo Mdau wa CHAUMA.

My take:
Ni wazi kuwa mwenendo (kujitenga na M4C) na kauli za ZZK ambazo kila mara zinaonekana kuwa na malengo yaliyofichika; kujijenga binafsi (kupata wafuasi wengi) tayari kwa safari ya CHAUMA mara baada ya zoezi la usajili wa kudumu kukamilika.

'First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win' - Mahtma Gandhi
 
Ndugu,

Mtakumbuka kuwa hivi karibuni Msajili wa vyama vya Siasa, John Tendwa, amekipa usajili wa muda chama kipya cha siasa kinachojulikana kwa jina la Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA).

Chama hiki kinasimamiwa na mwanaharakati (utawala bora) maarufu nchini, Ndugu Walace Mayunga ambaye wenye chama wamemkabidhi kazi ya kukisajili hadi kipate usajili wa kudumu.

Makao Makuu ya CHAUMA ni Kijitonyama Mtaa wa Kameruni. Bandera ya CHAUMA ina rangi nne; nyeusi, nyeupe, nyekundu na njano. Kauli mbiu ya CHAUMA ni Nguvu ya Mabadiliko.

CHAUMA kinaonekana kuwa na mkakati mkubwa kwa sababu kinatumia waliokuwa makada wa CHADEMA, NCCR-Mageuzi na TLP kutafuta wanachama 200 kutoka angalao mikoa 10 kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa No. 5 ya 1992.

-Chanzo Mdau wa CHAUMA.

My take:
Ni wazi kuwa mwenendo (kujitenga na M4C) na kauli za ZZK ambazo kila mara zinaonekana kuwa na malengo yaliyofichika; kujijenga binafsi (kupata wafuasi wengi) tayari kwa safari ya CHAUMA mara baada ya zoezi la usajili wa kudumu kukamilika.

mbona connection ya zitto na CHAUMA
 
Kama mwenendo wake usiofaa mmeshaujua mnangoja nini kuchukua hatua madhubuti dhidi yake?
 
ZZK aishie anaonekana ni mnafiki na kigeugeu tu huyu. Huo ubinafsi alio nao utamkwamisha popote pale aendapo akae akijua hilo! Huko CDM ni tawi tu la kujishikilia wala hana chochote cha kuleta ukombozi wa watanzania kabisa.
 
Mkuu sioni connection ya ZITTO na CHAUMA au unalengo la kumchafua kiongozi wa chadema???
Ndugu,

Mtakumbuka kuwa hivi karibuni Msajili wa vyama vya Siasa, John Tendwa, amekipa usajili wa muda chama kipya cha siasa kinachojulikana kwa jina la Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA).

Chama hiki kinasimamiwa na mwanaharakati (utawala bora) maarufu nchini, Ndugu Walace Mayunga ambaye wenye chama wamemkabidhi kazi ya kukisajili hadi kipate usajili wa kudumu.

Makao Makuu ya CHAUMA ni Kijitonyama Mtaa wa Kameruni. Bandera ya CHAUMA ina rangi nne; nyeusi, nyeupe, nyekundu na njano. Kauli mbiu ya CHAUMA ni Nguvu ya Mabadiliko.

CHAUMA kinaonekana kuwa na mkakati mkubwa kwa sababu kinatumia waliokuwa makada wa CHADEMA, NCCR-Mageuzi na TLP kutafuta wanachama 200 kutoka angalao mikoa 10 kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa No. 5 ya 1992.

-Chanzo Mdau wa CHAUMA.

My take:
Ni wazi kuwa mwenendo (kujitenga na M4C) na kauli za ZZK ambazo kila mara zinaonekana kuwa na malengo yaliyofichika; kujijenga binafsi (kupata wafuasi wengi) tayari kwa safari ya CHAUMA mara baada ya zoezi la usajili wa kudumu kukamilika.
 
ZZK aishie anaonekana ni mnafiki na kigeugeu tu huyu. Huo ubinafsi alio nao utamkwamisha popote pale aendapo akae akijua hilo! Huko CDM ni tawi tu la kujishikilia wala hana chochote cha kuleta ukombozi wa watanzania kabisa.

sijui kama maneno yako niyakujifurahisha au la.Kama unaakili sawa utatambua umaarufu wa chadema ni kazi ya zitto,Dr.slaa na mbowe.Wewe unapiga kelele zisizokuwa na kichwa wala miguuu
 
poor analysis,think before write anything broda.,may b'w not you but someone was use ur id.nyie ndo mnadumisha fikra za mwenyekiti.
hiyo chadema unayoipenda wewe nikwasababu ya zitto,mdomo wa kuongea kuhusu chadema kakupa zitto na mbowe,leo na ww unasimama eti zitto mzigo????umetumia kiungo gani cha mwili kufikiri?
 
Hivi ni kwa nini wafuasi wengi wa CHADEMA wana wasiwasi sana na mwenendo wa Zitto kuliko mtu mwingine yoyote ndani ya Chadema?

Mwenendo wa mtu ndio unaoweza kuwapa tafsiri ya kilicho moyoni mwake. Mbona hazushiwi hayo kiongozi mwingine wa Chadema. Watu hawawezi kusimama kujenga hoja hewani, kuna mahali ambapo kuna weak point upande wa Zitto.
 
shutuma zinazoelekezwa kwa zitto kutoka kwa wafuasi wengi wa chadema kama zitakuwa zina chembechembe zozote za ukweli, basi zitto atakuwa ni mtu hatari sana kwa uhai wa chadema.

Kama wanachadema mna uhakika na ushahidi wa shutuma hizi ni bora mkachukua hatua madhubuti kipindi hiki dhidi yake ama sivyo mtalizwa vibaya hapo baadaye.
hivi mkuu unaweza ukajiuliza nikwanini shutuma hizi haziendi kwa viongozi wengine?
Pia kwa siasa za majungu kama za huyu mleta thread ndio zinazidi kumpa jina zitto
yaani wanapodhani wanabomoa kumbe ndio wanaimarisha ukuta,hata alipokuwa nagombea ubunge wwalipika majungu mwanzo mwisho lakini akapita na akafanya vizuri zaidi
mleta mada amelenga kuchafua jina la zitto kwa chaki ilihali kufuta ni sekunde moja.
 
mwenendo wa mtu ndio unaoweza kuwapa tafsiri ya kilicho moyoni mwake. mbona hazushiwi hayo kiongozi mwingine wa chadema. Watu hawawezi kusimama kujenga hoja hewani, kuna mahali ambapo kuna weak point upande wa zitto.

mkuu hapo kwenye blue nadhani ndipo unapotambua huu ni mpango mkakati wa kumchafua zitto inaonekana ameshakuwa threat kwao
hapo kwenye red nadhani na wewe umeshindwa kufikiri unajua maana ya hoja?yaani ni hoja gani unaweza ukasimama nayo kumhukumu zitto
 
Labda kwa matendo yake kutwa yuko misafari na mwenyekiti wa CCM,halfu matangazo ya kutaka uraisi anayatoa kukiwa na agenda muhimu ya chama kuvuruga ile agenda na kubadilisha attention labda ndio maana wanamuona kirusi

'First they ignore you, then they laugh at you, then they fight you, then you win' - Mahtma Gandhi
 
Zitto ana njaa kali.Mtu kaja mjini na gari moshi alafu leo anataka kutuendesha kisa katoka mji wenye vigagula wengi kwa mujibu wa sensa ya vigaguLa ya mwaka 1961-2011,Ikulu yenyewe inanuka shombo la feri alafu yeye anataka akaongeze shombo la migebuka?
 
nadhani hatumtendei haki zitto na chadema pia, mpaka sasa yeye ni kiongozi mkubwa kwenye chama na bado anafanya kazi za chama kupambana nae kusema kweli ni kupambana na chadema kwa sababu kadhaa..kwanza, ni kutengeneza makundi ndani ya chama maana lazima wapo watu ndani ya chama ambao wanamkubali zitto na wanampenda kama icon wao
pili, chadema kama chama kina mbinu mbalimbali za kuwachenga maadui zao kwa zitto kusema atagombea uraisi yaweza kuwa mbinu mojawapo kudivert mind za maadui wao maana mpaka sasa uongozi haujatoa taarifa yoyote kulaani kauli za zitto
mwisho, mie sidhani kama watu wote siku moja tutafanana fikra zetu mbowe hawezi kuwa slaa, zitto hawezi kuwa tundu lissu nk. Tofauti zao kifikra maadam haziathiri chama ni vema zikavumiliwa unleśs tumetumwa na ccm kwa kuvaa kombati za chadema!
Masuala ya uongozi waachiwe viongozi..nawasilisha
u made it,word
 
hivi ni kwa nini wafuasi wengi wa chadema wana wasiwasi sana na mwenendo wa zitto kuliko mtu mwingine yoyote ndani ya chadema?

haya wayahudi walikuwa na wasiwasi mkubwa na yesu kuliko mtu yeyote pale israel.
Zitto anaonekana ni mtu wa tofauti sana,kwenye jukwaa anaonekana kufunika,bungeni anaonekana kinara,kwenye vikao vya chama anahoji wasiyotaka kuhojiwa,
na inavyonekana ndani ya chadema ni dhambi kuwa mwelewa au maarufu kuliko wengine
 
zitto ana njaa kali.mtu kaja mjini na gari moshi alafu leo anataka kutuendesha kisa katoka mji wenye vigagula wengi kwa mujibu wa sensa ya vigagula ya mwaka 1961-2011,ikulu yenyewe inanuka shombo la feri alafu yeye anataka akaongeze shombo la migebuka?

ningekuwa zitto ningekujibu hivi wewe umekuja mjini kwa maandamano ya chadema?wewe umekuja mjini kwa tiketi ya msiba?
Acha kutoa maneno yasiyo na mbele wala nyuma.hivi wewe na zitto kunachochote manaangalau kuhusiana?
Zitto anabishana na akina thabo mbeki,slaa,mbowe,obama,camerooon sio kapuku
 
kama mwenendo wake usiofaa mmeshaujua mnangoja nini kuchukua hatua madhubuti dhidi yake?

ni swali muhimu sana.bila shaka kunachazaidi wanachokitafuta kwa zitto..lakini hawawezi kukutana(intersection) labda baada ya kila mmoja kujitambua yeye ni nani na akaacha majungu
 
Status
Not open for further replies.
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom