Zitto Kabwe For Tanzanian President Candidate - Golden Chance

Status
Not open for further replies.
HUU NI UJUMBE KWA ZITTO...hivi wewe unataka kuwa Raisi kwa ajiri ya kupiga vikelele vya kashfa mbili tatu hapo bungeni na kusifiwa basi unaona unaweza na una uchungu sana na nchi,nakuomba sana uendelee kujifunza na kuchapa kazi kwa bidii mpaka after 40 then ndio ufikirie Uraisi maana sasa utatulostisha tuu,Zito nakuhakikishia ukiingia sasa hivi kwenye uraisi utapigwa nje vibaya sana na tutakusahau,make sure unajenga shule jimboni kwako na kilimo kuondoa umaskini kwa wananchi wako then make sure kigoma inaunganishwa a mikoa mingine na kupata umeme,hata kama hutafanikiwa lakini weka fight ambayo itaonekana na itachukua miaka mingi ila usije na blah blah zako za kutaka uraisi huku hujui lolote...nakuhakikishia hujui!
 
Naona sasa JF imevamiwa, Zitto Zuberi Kabwe bado hajakomaa kiasi cha kugombea urais wa Tanzania. Labda kama sijawaelewa vizuri!! au Mnazungumzia urais ndani ya Chama!!!
 
Naona Zitto ajibu mapigo kwa kujiunga na CUF ili arudishe hadhi yake .ni hapo tu atakapo anza kupaa na huenda hata nafasi ya kugombea Uraisi akapewa ,Zitto hiyo ni Golden Chance kuukwaa Uraisi wa Tanzania kupitia CUF kazi kwako.Hii ni tiketi ambayo ipo wazi kabisa na labda utaona kama masihara lakini nafasi ya kugombea Uraisi kwa tiketi ya CUF ipo wazi kabiza ,Lipumba ni mtu mwenye akili sana na nahisi angependa kupata kijana mbadala ambae ana msimamo wa kuikomboa Nchi hii na mwenye kukubalika katika jamii ,hivyo jishauri na utakuja kunikumbuka ,tatizo vijana mnakuwa mnashindwa kuelewa kuwa Chama kinachowafaa ni CUF ili kupambana na CCM na si chama kingine chochote kile ,ipeleke nguvu yako CUF ichanganywe na ya Maalim Seif tuone kama CCM hawakuanguka.
Wakuu mnasemaje kwa hili ,mpeni ushauri wa bure Zitto.
Nasikia Lwakatale ajuuuuuuta kujunga na Chadema.

Sioni what difference it will make Zitto kujiung CUF kwa maana Zitto si mgombea makini na wala CUF si chama makini. Point zako zote kuhusu faida ya Zitto kujiunga CUF is baseless because it is clear wewe ni mshabiki wa CUF kwa maana hauleti any logos explanation but imejaa pathos explanations.

Nasema Zitto si mgombea makini kwa sababu hana msimamo. Alisema hata gombea ubunge tena aka badilisha mawazo. Haya akasema ana gombea uenyekiti wa Chadema aka badili mawaazo. Najua ana haki ya kubadilisha maamuzi yake mwenyewe lakini kuto kua na misimamo na kusimamia misimako yako ni sifa tosha kuto kumpa mtu uraisi. Personally he has lost all my respect.
 
Colleagues, your opinions sound rather fiddly and therefore one needs to take them literally. I doubt the kind of political analysis you people are doing. Tanzania politics is not as simple as you think. Perhaps you need more information than you currently have. Why are you forgetting so early? Why do we still have political conflicts in Zanzibar? Why do you think Mrema did not become the president during the first multiparty election? Why do you think Cheyo finally opted for MP? Leo mnamshauri Zitto ahame CHADEMA akagombee urais CUF!!! I think we need to be critical in our analyses and also give practical or evidence based suggestions if we are all heading to the same destination.

"Zittto aende CUF" Why?. Some of you remember what happened in Dodoma few years ago when our current President, His Excellency, Hon. Jakaya Mrisho Kikwete was stop and Mkapa took over the presidency. Did Kikwete move to another party? My suggestion is that irrespective of what happened to Zitto in his party, he should continue being a respective and true member of the party.
 
kweli bwana zitto kabwe anahitaji muda zaidi kukomaa ila ni vizuri jinsi alivyo toa changamoto kwanini mwingine sio yeye?
 
Colleagues, your opinions sound rather fiddly and therefore one needs not to take them literally. I doubt the kind of political analysis you people are doing. Tanzania politics is not as simple as you think. Perhaps you need more information than you currently have. Why are you forgetting so early? Why do we still have political conflicts in Zanzibar? Why do you think Mrema did not become the president during the first multiparty election? Why do you think Cheyo finally opted for MP? Leo mnamshauri Zitto ahame CHADEMA akagombee urais CUF!!! I think we need to be critical in our analyses and also give practical or evidence based suggestions if we are all heading to the same destination.

"Zittto aende CUF" Why?. Some of you remember what happened in Dodoma few years ago when our current President, His Excellency, Hon. Jakaya Mrisho Kikwete was stop and Mkapa took over the presidency. Did Kikwete move to another party? My suggestion is that irrespective of what happened to Zitto in his party, he should continue being a respective and true member of the party.
 
Jamani Zitto bado anahitaji kukomaa na kujifunza. He is popular now to that level. He needs to be groomed akomae vizuri. Unajua mtoto akiwa mzuri sana darasa la tano haina maana kuwa ukimrusha madarasa mpaka form one ataweza kuendelea na performance ile ile la hasha. Lakini akiendelea kwa kufuata steps anaweza akaongoza darasa lao mpaka hata chuo.
 
Naona Zitto ajibu mapigo kwa kujiunga na CUF ili arudishe hadhi yake .ni hapo tu atakapo anza kupaa na huenda hata nafasi ya kugombea Uraisi akapewa ,Zitto hiyo ni Golden Chance kuukwaa Uraisi wa Tanzania kupitia CUF kazi kwako.Hii ni tiketi ambayo ipo wazi kabisa na labda utaona kama masihara lakini nafasi ya kugombea Uraisi kwa tiketi ya CUF ipo wazi kabiza ,Lipumba ni mtu mwenye akili sana na nahisi angependa kupata kijana mbadala ambae ana msimamo wa kuikomboa Nchi hii na mwenye kukubalika katika jamii ,hivyo jishauri na utakuja kunikumbuka ,tatizo vijana mnakuwa mnashindwa kuelewa kuwa Chama kinachowafaa ni CUF ili kupambana na CCM na si chama kingine chochote kile ,ipeleke nguvu yako CUF ichanganywe na ya Maalim Seif tuone kama CCM hawakuanguka.
Wakuu mnasemaje kwa hili ,mpeni ushauri wa bure Zitto.
Nasikia Lwakatale ajuuuuuuta kujunga na Chadema.

Hivi katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasemaje kuhusu umri wa mgombea urais?? tafuta katiba soma kifungu husika halafu uta judge mwenyewe!!!

At the same time, Zitto hafai kuwa Rais wa nchi hii. Ni mnafiki!! Na kwa sasa ameshanunuliwa na mafisadi. His true colours featured wakati akiwa katika ile kamati/tume ya kuchunguza migodi!!!

Zitto ndugu yangu nataka ufahamu kuwa hao wanaokudanganya wanakuchimbia shimo. Kwa sasa umeshaivuruga Chadema na sidhani kama wanachama na uongozi wana imani na wewe. Unatumika vibaya.

Kwa umma wa watanzania tumeshakushtukia, huna popularity tena kama huko nyuma. Hata mimi binafsi sina imani na wewe Zitto. Hata namna ulikwa una respond kwa media juzi through saikolojia yangu ndogo niliweza kuelewa what was in your mind. Tena uliongea kwa kejeli vile!!!

Watakuangusha puu na hutanyanyuka na kupata umaarufu kama awali, utabaki kutapatapa. Pia wale ambao wanakupa motisha kuwa eti uje ugombee ubunge jimbo mojawapo Dar es Salaam (kapuni) ndiyo hao hao wanakuandalia shimo la moto. Kaa chini ujifikirie kwanza before you act. SSM ni wajanja, wamesomea mbinu zote za kuwamaliza wapinzani, baadhi ya viongozi wao walipatiwa course hizo maalum wakati wa ujamaa na bado wana zi practice!!!
 
zitto ana misifa sana lakini mbowe pia hafai kuiongoza chadema sa hivi wote hawa wanatakiwa kujitoa kwenye uongozi na chama kipate kiongozi mpya ili kusafisha hali ya hewa.
 
Tatizo mnasoma na kuondoka na shida badala ya faida, Kwani Safari alifanywaje ? Maana mpaka sasa sijaliona tatizo la Safari na vipi utalinganisha ya Safari na Zitto ,hebu niwekeeni sawa ?
Labda kwa kuwasaidia katika kupata maelezo yenu niambieni :-

Safari alifanywa nini na Zitto amefanywa nini ?

Ninavyoafahamu mimi ni kuwa Safari alishiriki uchaguzi na matokeo alishindwa,sina zaidi au sijui zaidi ,kama mnayo wekeni hapa tuchangie.Kuh.kuwa alikuwa pandikizi hizo ni internal factors hazina umuhimu kuziweka hapa ,si alisema anatunga kitabu ,vipi mshapata ronyo.

Ninavyofahamu Zitto ameenguliwa kama wanavyoengua CCM (tiketi ya uraisi Zanzibar ,mnajua NEC walimfanya nini mtu na kumpisha Karume) ndicho kilichomkuta Zitto.
Huyu Dogo ameshapoteza uelekeo wake na hivyo anapaswa kushauriwa mapema
 
Huwezi kumshauri zitto aende cuf,kwa imani yangu cuf si chama cha siasa ila ni taasisi ya dini.Zitto ni kijana wa wote kwenda cuf ni sawa na kuzima ndoto zake.Nyota ya zitto inang'ara 100% wakati nyota ya cuf kama taasisi inang'ara kwa 5% tu hivyo zitto akienda cuf nyota yake itashuka kwa kasi mpaka 15% wakati nyota ya cuf itapanda mpaka japo 10%.Kwa hiyo haiwezi kumsaidia zitto kuhamia cuf.Asubiri chama ambacho kitaundwa na wapambanaji wa ufisadi kitakacho kuwa na akina mwakyembe,kilango,selerii,kimaro,zambi na wafuasi wengine.

Naona Zitto ajibu mapigo kwa kujiunga na CUF ili arudishe hadhi yake .ni hapo tu atakapo anza kupaa na huenda hata nafasi ya kugombea Uraisi akapewa ,Zitto hiyo ni Golden Chance kuukwaa Uraisi wa Tanzania kupitia CUF kazi kwako.Hii ni tiketi ambayo ipo wazi kabisa na labda utaona kama masihara lakini nafasi ya kugombea Uraisi kwa tiketi ya CUF ipo wazi kabiza ,Lipumba ni mtu mwenye akili sana na nahisi angependa kupata kijana mbadala ambae ana msimamo wa kuikomboa Nchi hii na mwenye kukubalika katika jamii ,hivyo jishauri na utakuja kunikumbuka ,tatizo vijana mnakuwa mnashindwa kuelewa kuwa Chama kinachowafaa ni CUF ili kupambana na CCM na si chama kingine chochote kile ,ipeleke nguvu yako CUF ichanganywe na ya Maalim Seif tuone kama CCM hawakuanguka.
Wakuu mnasemaje kwa hili ,mpeni ushauri wa bure Zitto.
Nasikia Lwakatale ajuuuuuuta kujunga na Chadema.
 
Usimdharirishe zitto kwa kumshauri kuhamia cuf,binafsi naamini cuf si chama cha siasa ila ni taasisi ya kidini ambayo ni sehemu ndogo tu ya watz wote.Zitto ni kijana wa taifa inabidi ajiunge na chama chenye mwelekeo wa taifa ambacho hakupo kwa sasa ila natabiri kitakuja kutokea tu.Zitto kwa sasa nyota yake inang'ara kwa 100% wakati cuf inang'ara kwa 5% tu kwa hiyo kumshauri zitto kuhamia huko ni inamaana umarufu wake utakuwa15% na ule wa cuf utapanda japo kukia 10%.Zitto asihamie chama chochote kilichopo kwa sasa ila asubiri kile kitakachoundwa na wapambanaji wakuu kama vile serelii,kimaro mwakyembe,zambi,sitta,kilango na wa;e wengine,naamini huko tutapata viongozi wa maslahi ya taifa
Naona Zitto ajibu mapigo kwa kujiunga na CUF ili arudishe hadhi yake .ni hapo tu atakapo anza kupaa na huenda hata nafasi ya kugombea Uraisi akapewa ,Zitto hiyo ni Golden Chance kuukwaa Uraisi wa Tanzania kupitia CUF kazi kwako.Hii ni tiketi ambayo ipo wazi kabisa na labda utaona kama masihara lakini nafasi ya kugombea Uraisi kwa tiketi ya CUF ipo wazi kabiza ,Lipumba ni mtu mwenye akili sana na nahisi angependa kupata kijana mbadala ambae ana msimamo wa kuikomboa Nchi hii na mwenye kukubalika katika jamii ,hivyo jishauri na utakuja kunikumbuka ,tatizo vijana mnakuwa mnashindwa kuelewa kuwa Chama kinachowafaa ni CUF ili kupambana na CCM na si chama kingine chochote kile ,ipeleke nguvu yako CUF ichanganywe na ya Maalim Seif tuone kama CCM hawakuanguka.
Wakuu mnasemaje kwa hili ,mpeni ushauri wa bure Zitto.
Nasikia Lwakatale ajuuuuuuta kujunga na Chadema.
 
Kugombea urais siyo lazima uwe mwanachama wa chama fulani.
Napata shida sana katika kumuweka katika kundi gani kwa sasa, maana naona kama vile Amelewa sifa, Sijui itakuaje katika uchaguzi. Huwezi kuweka hapa mambo hadharani na kusema vibaya kuhusu wadau wake wa uchaguzi, Ingepaswa wakae vikaoni ili waone watafanya nini. Lakini Kuliko kuendelea kama hivi tunapaswa kujua na kutambua hivyo najaribu katika kukumbuka taarifa ambazo awali zilitolewa hapa kuwa Zitto amenunuliwa sasa tunaanza kuamini kabisa
 
What has Zitto accomplished so far to be a President? Okay, so let us not count his experience--we are going to judge on his decision making and vision. What leadership traits has he expressed to us so far? What is his economic principles? His vision for the country? Where is his resume? I wanna see it. I know we want change, hata mie pia lakini hata kama tunatafuta mabadiliko na kuendorse anybody but CCM kuwa presidaa haitusaidii.
 
Kwa maoni yangu kama ni kweli ulitaka hicho cheo cha juu kwa ajili ya kuimalisha chama na kukiandaa kuchukuwa nchi na yeye kuwa mkuu wa nchi baadaye, nafikiri timing haikuwa nzuri kwa ajili ya umri wake. Unajua kama angechukua uwenyekiti katika kipindi cha miaka 10 ijayo isingekuwa rahisi kuendelea kupata support kubwa ndani ya chama na chance ya kufanya makosa ambayo ataathiri position or chances zake ni kubwa. Timing kama za akina Tony Blair, Obama ndizo zinatakiwa. Unawastukiza watu wasipotegemea. Usitumie muda mrefu kuonyesha ambition zako; ona mfano wa Gordon Brown mambo yanamwendea kombo hachaguliki tena!!
 
Kwa maoni yangu kama ni kweli ulitaka hicho cheo cha juu kwa ajili ya kuimalisha chama na kukiandaa kuchukuwa nchi na yeye kuwa mkuu wa nchi baadaye, nafikiri timing haikuwa nzuri kwa ajili ya umri wake. Unajua kama angechukua uwenyekiti katika kipindi cha miaka 10 ijayo isingekuwa rahisi kuendelea kupata support kubwa ndani ya chama na chance ya kufanya makosa ambayo ataathiri position or chances zake ni kubwa. Timing kama za akina Tony Blair, Obama ndizo zinatakiwa. Unawastukiza watu wasipotegemea. Usitumie muda mrefu kuonyesha ambition zako; ona mfano wa Gordon Brown mambo yanamwendea kombo hachaguliki tena!!
Ndio hapo naungana na wewe timing ndio kwake kakosea na kuona sasa anaweza kufanya mambo yake pekee yake,. Sasa itakuwa shida kubwa sana kwake baadae mzee wangu
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom