Elections 2010 Zitto Kabwe azindua rasmi kampeni Kigoma

Status
Not open for further replies.
Zitto kabwe hakuonekana katika uzinduzi wa kampeni za chadema siku ya tarehe 28/8/2010 pale Jangwani. Je, bado ana bifu na Mbowe baada ya kuondolewa kugombea Uenyekiti wa chama hicho? Je, hii inaashiria kwamba kuna mpasuko katika chama hicho? Wapo wanaosema alikuwa jimboni kwake anazindua kampeni kivyake, je ni kweli?
JK alipo ondolewa kugombea badala yake akapitishwa Mkapa kulikuwa na mpasuko CCM....Ni wabunge wangapi wa ccm waliokuwepo kwenye uzindu wa CCM, siku JK alipopinga mzinga chini pale jangwani na wangapi hawakuwepo....Kukosekana kwa Zito kwanini kuwe na maswali?...Zito watanzania wana mfahamu kulikuwa na vichwa ambavyo vilikuwa n mhimu kuonekana siku ya uzinduzi halafu siku ya kufunga zito akawepo si patano...ni mtazamo tu
 
Haikuwa lazima wabunge wote wa CHADEMA kuwepo pale Jangwani kwenye uzinduzi, Je ni Zitto peke yake ndiye hakuwepo? Ndesamburo naye je?. Sioni hoja ya msingi juu ya hili. Kilichotakiwa kufanyika pale Jangwani kilifanyika tena kwa ukamilifu mkubwa haijalishi Zitto alikuwepo au hakuwepo.

NDesapesa aliwasha moto Moshi Mjini jana na Siku ya uzinduzi alikuwa Same jimboni kwa mama Kilango kwa mwaliko maalum, mzee alitinga na usafiri wake - ya huko siyasemi :becky:

na Zitto kama informer anavyotuhabarisha alikuwa Kigoma - Mwandigaa akipiga kazi - Wakuu aliyekuwa Jangwani na aliyekuwa Jimboni kwake zote hizi zilikuwa kazi za CHADEMA.

ya CHADEMA waachie CHADEMA wenyewe - haya wachakachuaji wa hoja tayari wameshajaa hapa kubadilisha hali ya hewa.
 
CHADEMA wamejipanga,kwa hiyo Zitto atamjoini Raisi Mtarajiwa kwenye kampeni zake hivi punde tuu msiwe na mchecheto,Kampeni za Chadema mwaka huu ni kiboko
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom