kheee huyu mbona kapona haraka wale wa ccm bado wanaedelea kuugua tu
this time you should be very carefully na hao washikaji zako wa ccm, they dont want you, they will kill you.
.........kitendo cha kuruhusiwa hospitalini na kurudi kinaonesha anaendelea vizuri;Ni muda kidogo toka nimesikia amerudi kutoka india ila babo sijasikia anaendeleaje.,zaidi kutoka kwa uongozi wa CDM.
Hasira au.....?