SON OF DAVID
Member
- Apr 1, 2011
- 42
- 3
Kitendawili- tega.
UDA imekutwa na ufisadi mkubwa uliowahusisha vigogo wa CCM akiwepo Simba, Masaburi, mtenvu and Azan. Wako ambao hawajajitokeza kwenye magazeti ambao uchunguzi unaweza kuwafumua akiwemo Rizwani Kikwete.
Speaker ameikabidhi sakata hilo kwa Kamati ya Zitto Kabwe.
Zitto ambaye Mimi nina uhakika wa 100% kuwa ni swahiba wa karibu sana wa Rizwani Jakaya kikwete. Urafiki huo ulianza toka UDSM ambako tulisoma mimi na wao - Zitto na Rizwani na Son of David. Zitto alikuja kuwa karibu na Baba wa Rizwani JK na marafiki zao wa karibu Lowasa na Rostam urafiki ambao ulikuja kumletea matatizo na chadema. Na mpaka leo kuna watu wameapa kutompa madaraka makubwa kutokana uswahiba huo.
Sasa hapa jf kuna tetesi nyingine kwamba UDA ina vigogo wengine nyuma ya pazia ambao mmojawapo ni Rizwani wa JK. Nimefuatilia data hizo kwa rafiki yangu mmoja kada wa CCM akaniambia huo ndio ukweli.
Nauliza, kuuliza si ujinga wala wala si dhambi;
A) Zitto ana ubavu wa kumumbua rafiki mkubwa sana ikiwa tetesi hizo ( Rizwani =uda) ni kweli?
B) Je, kama si za kweli, kwa kuwa wa vigogo wengi wa CCM wanafahamu uswahiba wa Zitto na Rizwani, je,wahusika wa UDA hawatamwomba Rizwani awaokoe ktk sakata hilo hata kama Rizwani mwenywe hahusiki?
C) Last senario; Je, Rizwani hataona haja ya kumbana rafiki yake ili aiokoe chama kinachoongozwa na baba yake ili kuficha aibu ya UDA?
Naomba kuwasilisha.
Ni mimi son of David
UDA imekutwa na ufisadi mkubwa uliowahusisha vigogo wa CCM akiwepo Simba, Masaburi, mtenvu and Azan. Wako ambao hawajajitokeza kwenye magazeti ambao uchunguzi unaweza kuwafumua akiwemo Rizwani Kikwete.
Speaker ameikabidhi sakata hilo kwa Kamati ya Zitto Kabwe.
Zitto ambaye Mimi nina uhakika wa 100% kuwa ni swahiba wa karibu sana wa Rizwani Jakaya kikwete. Urafiki huo ulianza toka UDSM ambako tulisoma mimi na wao - Zitto na Rizwani na Son of David. Zitto alikuja kuwa karibu na Baba wa Rizwani JK na marafiki zao wa karibu Lowasa na Rostam urafiki ambao ulikuja kumletea matatizo na chadema. Na mpaka leo kuna watu wameapa kutompa madaraka makubwa kutokana uswahiba huo.
Sasa hapa jf kuna tetesi nyingine kwamba UDA ina vigogo wengine nyuma ya pazia ambao mmojawapo ni Rizwani wa JK. Nimefuatilia data hizo kwa rafiki yangu mmoja kada wa CCM akaniambia huo ndio ukweli.
Nauliza, kuuliza si ujinga wala wala si dhambi;
A) Zitto ana ubavu wa kumumbua rafiki mkubwa sana ikiwa tetesi hizo ( Rizwani =uda) ni kweli?
B) Je, kama si za kweli, kwa kuwa wa vigogo wengi wa CCM wanafahamu uswahiba wa Zitto na Rizwani, je,wahusika wa UDA hawatamwomba Rizwani awaokoe ktk sakata hilo hata kama Rizwani mwenywe hahusiki?
C) Last senario; Je, Rizwani hataona haja ya kumbana rafiki yake ili aiokoe chama kinachoongozwa na baba yake ili kuficha aibu ya UDA?
Naomba kuwasilisha.
Ni mimi son of David