Zitto Kabwe akutana na Keneth Kaunda - Lusaka Zambia

Are we that Desparate? Kwani ni lazima chama kizima kiende Arumeru? Tuache majungu,tuache kauli za kuchochea ,gawanyiko...tuna kazi kubwa mbele.Chadema hatuwezi kubakia kuwa domestic political party tu,ni chama kinachosubiri muda mfupi kuchukua dola.

Zitto alifanya kampeni mfululizo ijumaa alikuwa kwenye kampeni ukonga,jumamosi kwenye uzinduzi arumeru,jumapili alikuwa Mwanza ambako yeye na makamanda wengine akina nyakarungu,masanja na wengineo walipata mapokezi makubwa na juzi jumanne walikuwa Bagamoyo

Tafadhali tujenge chama tuache majungu yasiyo na maana.

Halafu mtu anadiriki kusema kaacha campaign kaenda Zambia, ha ha haaa, bora hata angeuliza uko Zambia kaenda kufanya nini!
 
..mimi napingana na hizi ideas za Zitto za Pan Africanism ktk zama hizi tunazoishi.

..mambo hayo yaliwezekana enzi za kina Nyerere,Kaunda,Samora. zama hizi za kina Kibaki,Museveni,Kagame, ni zama tofauti kabisa.

..majirani zetu kama Kenya,Uganda,Rwanda wanaamini ktk kutunyonya na kututawala wa-Tanzania.

..hawana nia kabisa ya kuishi na sisi ktk hali ya usawa na upendo.
 
Nachomsifia Zitto ni mtu anayependa kujua Historia, kujua tumetoka wapi na nini yalikuwa malengo yetu hata iwe Mapinduzi ya zanzibar au Uhuru wa Tanzania na Afrika. From that anajenga hoja ya njia zipi tufuate ili tufike kule tulikokusudia..Zitto is aware of that. Zitto anaonekana tishio kwa wengi kwa sababu vijana wetu leo hii wanasukumwa tu na ushabiki baada ya nchi yetu kupoteza Dira yake, wengine njaa zinawasumbua. sema binadamu hatukosi mapungufu lakini - He is much much better than mlolongo wa vijana wengi waliovamia siasa.

mkuu kamchina kangu hakana like
 
I like ZZK(Zitto Zuberi Kabwe) the way he used to manipulate things. ZZK have proved once again that he is very ambitious to grab the Presidency office of Tanzania by meeting one of the great leaders in Africa KK of Zambia, the father and founder of Zambia. Hopefully he met the former presida to seek some advices!Who knows!

Nani kama KK na JK(Julius Nyerere) and not the other acronomy JK of Jakaya Kiwete!
what is wrong with that?
 
..mimi napingana na hizi ideas za Zitto za Pan Africanism ktk zama hizi tunazoishi.

..mambo hayo yaliwezekana enzi za kina Nyerere,Kaunda,Samora. zama hizi za kina Kibaki,Museveni,Kagame, ni zama tofauti kabisa.

..majirani zetu kama Kenya,Uganda,Rwanda wanaamini ktk kutunyonya na kututawala wa-Tanzania.

..hawana nia kabisa ya kuishi na sisi ktk hali ya usawa na upendo.
Binafsi sina tatizo na juhudi binafsi za Zitto kisiasa especially mambo kama haya German,Sudan kusini,Zambia! Its ok lakini je hizi ziara ni za kichama rasmi au binafsi? Maana ninachoona sio Zitto anajiandaa tu kuwa Rais bali ni kama anaandaliwa na vivuli tusivyovijua! Kuna mambo yanakwenda kwa mpango uliopangwa kwa umakini mkubwa sana kiasi huwezi hata kuhisi any move!! Namkubali Zitto lakini sipendi tuandaliwe mtu na watu wenye malengo yao! Najua mtakanusha lakini tupo tunaosoma kila nukta!! Je Chadema inamuandaa Zitto kuwa Rais wa nchi hii? Kama no je ni juhudi binafsi tu na mipango yake binafsi(ngumu sana kwa siasa za Tz).anyway tumeshaumwa na nyoka hata nyasi ikitugusa lazima turushe mguu kwanza kwa usalama alafu ndo tuhakikishe ni nyoka au nyasi tu? Kila lakheri Zitto!
 
Zitto=opportunistic+power hungry political thug bent on scoring cheap political points while harbouring dangerous selfseeking sectarian motives.
Huwa nashangaa sana watu wanavyojitahidi kukosoa kila kitu, labda tu sababu humpendi mtu. Pamoja na kutofautiana na baadhi ya watu lakini napenda ku-appreciate wakifanya kitu kizuri. ni sahihi kabisa kwamba binadamu hayupo perfect 100%.
Keep it up Zitto, watu wengi tupo proud na wewe
 
Are we that Desparate? Kwani ni lazima chama kizima kiende Arumeru? Tuache majungu,tuache kauli za kuchochea ,gawanyiko...tuna kazi kubwa mbele.Chadema hatuwezi kubakia kuwa domestic political party tu,ni chama kinachosubiri muda mfupi kuchukua dola.

Zitto alifanya kampeni mfululizo ijumaa alikuwa kwenye kampeni ukonga,jumamosi kwenye uzinduzi arumeru,jumapili alikuwa Mwanza ambako yeye na makamanda wengine akina nyakarungu,masanja na wengineo walipata mapokezi makubwa na juzi jumanne walikuwa Bagamoyo

Tafadhali tujenge chama tuache majungu yasiyo na maana.
Watakao bisha picha inawaumbua

attachment.php
 
Mimi ni mwanachama wa CCM kwa muda mrefu,
Sitakuwa na wasiwasi moyoni mwangu kama Zitto akija kuwa rais wangu, Chama chochote atachotokea.
Makamba na Jussa siwafagilii, na wazee wapumzike, tumewachoka hawana mpango wowote!!
 
Mbona Zitto mwenyewe mnyonyaji? Huyu si anahongwa na mashirika ya umma yanayofuja fedha za wananchi kama BOT, NSSF, TANAPA na hata baadhi ya mafisadi ndiyo marafiki zake wakuu - RA and MKONO.
 
Binafsi sina tatizo na juhudi binafsi za Zitto kisiasa especially mambo kama haya German,Sudan kusini,Zambia! Its ok lakini je hizi ziara ni za kichama rasmi au binafsi? Maana ninachoona sio Zitto anajiandaa tu kuwa Rais bali ni kama anaandaliwa na vivuli tusivyovijua! Kuna mambo yanakwenda kwa mpango uliopangwa kwa umakini mkubwa sana kiasi huwezi hata kuhisi any move!! Namkubali Zitto lakini sipendi tuandaliwe mtu na watu wenye malengo yao! Najua mtakanusha lakini tupo tunaosoma kila nukta!! Je Chadema inamuandaa Zitto kuwa Rais wa nchi hii? Kama no je ni juhudi binafsi tu na mipango yake binafsi(ngumu sana kwa siasa za Tz).anyway tumeshaumwa na nyoka hata nyasi ikitugusa lazima turushe mguu kwanza kwa usalama alafu ndo tuhakikishe ni nyoka au nyasi tu? Kila lakheri Zitto!
Mkuu wangu iwe CDM wanamwandaa au laa kitu kimoja tu cha tunachokiona ni kwamba Zitto anajifunza. Ebu nambie ni wabunge wangapi wamefikiria hata kutafuta muda wa kukaa na kuzungumza na wazee wetu iwe Warioba, Salim, Mwinyi, Mtei, Msuya na wengine kupata darasa la uongozi?.. hakuna na ndilo tatizo kubwa la nchi zetu siku hizi vijana wengi wanafikiri wanajua sana kutokana na elimu ya darasa kumbe ndio wanatumiwa.
 
Ili chama kiweze kukabidhiwa dola lazima kikubalike ndani na nje ya nchi.
Naamini Zitto ameenda kujenga misingi ya chama nje ya nchi
 
thanx, sasa imefunguka. na mimi nataka kujifunza, you never know......................
Sii wewe pekee ningewaomba vijana wote wanaotaka kuingia siasa wajaribu sana kukutana na viongozi wa zamani wapate kujua undani wa siasa, mitandao, nafasi zao, nguvu ya dola, majukumu na uwajibikaji kwa wananchi...

Leo hii wapo wabunge kwetu hawajui kwamba unapotaka kujengewa mradi jimboni inabidi ufanye ziara kwa waziri mhusika mara kwa mara na sii kusubiri lini serikali itachagua jimbo lako. Ndio maana utaona kuna wabunge wachache wanafanya vizuri kuliko wengi wanaolala tu bungeni wakibeba madigrii yao mkobani..
 
"the prevailing situation in Africa exposed the continent to trial-and-error leaders who had to learn on the job at great cost to the governance of the nations"...........
kuna wengine waliingia huko tukidhani kwamba wamekomaa lakini wapi, na hii siyo Africa peke yake
 
Back
Top Bottom