Zitto, imetosha sasa

Ushahidi wa uovu wa Zitto dhidi ya wananchi wa Tanzania ingawa ni wa kimazingiza lakini is overwhelming.Zitto ni ndumi la kuwili.Zitto amenunuliwa na mafisadi, no question about it.Anaye bisha ni kipofu.Kwanza huyu anayemtetea Zitto katumwa na nani?


mimi ni ndumilakuwili mara mbili. aliyetoa mada naunga mkono hoja; wanaompinga naunga mkono hoja; kwa kuwa wote hawana ushahidi wa yale wanayoyasema au kuyawaza juu ya zitto.

lakini huyu zitto.....

ngoja kwanza unabii wa kugeuza Kigoma kuwa Dubai utimie au ufulie. nita-comment kuhusu zitto. kwa sasa nabaki kujiuliza juu ya hawa wanaokuja na hoja za mkoa wa kipolisi wa kigoma. kama kigoma inakuwa dubai, otomatikale polisi watataka wakafanye kazi huko ili wakale pepo.
 
Hata leo zitto akisema anahama chama sitashangaa.kila mgogoro ndani ya chama lazima zitto yumo.kwa nini?
 
.

Mtazamo wangu ni kwamba, nguvu za mafisadi zinakuzidia nguvu kadri ziku zinavyokwenda, na Imani yangu ni kwamba hawakuzidi nguvu by coincidence bali ni strategically kwa kukutumia, na unawasiliana nao katika hatua zako zote ambazo wewe binafsi naona kama unadhani hiyo nafasi uliyonayo ya uenyekiti wa kamati ya bunge ni kinga tosha ya kusingizia kwamba unafanya kazi za taifa.

HAHAHAHAHAHA. MWACHENI KIJANA MWENZENU


Tatizo lenu John Mrema, John Mnyika, Regia mtema, Basil Lema ,God Bless Lema Benson Kigaila na wachaga wengine wa ndani na nje ya CHADEMA mmejaa chuki binafsi katika mambo yote yanayomuhusu zitto.\
uzuri wenu ni waoga sana kiasi kwamba hamtaji majina yenu humu jamvini..
mbona kamati ya kina mnyika imeshauri DOWANS inunuliwe na wewe Mnyika umekaa kimya?...
Acheni majungu majungu yasiyo na kichwa wala miguu watanzania wana mengi ya kufanyiwa...
Zitto keep it up...TUNATAKA ZITTO UGOMBEE URAIS 2015 NA UTASHINDA.
 
Rafiki Zitto,

Nakuandia ushahuri huu kwa dhati kabisa, una haki ya kuuchukua au kuupuuza.

Nakushauri kwamba kwa jitihada ambazo umekwisha kuzifanya mpaka sasa juu ya N.S.S.F kuuziwa Mgodi wa Kiwira, ni bora ukaishia hapo ulipofikia, umesema ya kutosha, kama kweli ni ushahuri ama wako binafsi ama wakamati yako ya Bunge ni vyema ukawaachia wote unaowashauri waufanyie kazi ushauri wako ama waukatae sababu hili swala litakuchafua zaidi.

Kumbuka kwamba Watanzania wenye nia ya kurejesha ustaarabu katika utawala wa nchi yetu wamekwishapoteza imani na wewe kutokana na actions zako za muda mrefu sasa, lakini kutokana na imani kubwa sana ambayo bado wanayo kwako wanakuchukulia poa hasa kwa imani kwamba Binadamu hatujakamilika na kukosea ni sehemu ya kujifunza hasa mkosaji anapoonyesha jitihada na kisha mafanikio katika kuhakikisha harudii kosa.

Mtazamo wangu ni kwamba, nguvu za mafisadi zinakuzidia nguvu kadri ziku zinavyokwenda, na Imani yangu ni kwamba hawakuzidi nguvu by coincidence bali ni strategically kwa kukutumia, na unawasiliana nao katika hatua zako zote ambazo wewe binafsi naona kama unadhani hiyo nafasi uliyonayo ya uenyekiti wa kamati ya bunge ni kinga tosha ya kusingizia kwamba unafanya kazi za taifa.

Unayo nafasi ya kujirekebisha, japo uwezo huo sidhani kama unao tena, hasa kutokana na uko ulikofikia sasa, umefika deep water my comrade. ZITTO mafisadi wamekuzidia kiasi kwamba sasa hauna nguvu kabisa za kuisonta serikali ukiwa katika spirit ya UMA/CHADEMA, sasa hata ukijitutumua kuisonta serikali unajificha kwenye kamati ya Bunge ya nini sijui!! Sio wewe

Sasa kwa kifupi ni kwamba, N.S.S.F wanayo idara inayojishughulisha na utoaji taarifa kwa UMA, waache wao wenyewe waje (Kama haujatumwa) na kuzungumza nasi ama kwa kutupa taarifa za mpango wao wa kununua Kiwira au kwa Mapendekezo,ila hii deal uliyonayo sasa ya kujustify kwa nini wao wapewe Kiwira mimi ntakuuliza swali, kwa nini wasipewe PPF, kwa nini wasipewe PSPF.Unatakiwa kuwa consistent kama unataka tuendelee kuamini kwamba akili yako bado ni nzuri na unathink Big. Idea nzuri kabisa lakini why do you narrow to NSSF.

Kazi ya Kamati yako ya Bunge sio kuwa maafisa miradi wa Mashirika ya UMA, toa ushauri then stop there, Kama watu wanapewa ushauri mzuri alafu wanaupuuza na wao hawaji na mbadala wa mawazo na matendo shauri waondolewe. Lula MwanaNzela na Mwanakijiji wametoa hoja za msingi kama maoni yao ya kupinga mpango huu na naona tayari Umeanza kupambana nao.

Hapo Nyuma tulimpenda sana Mkwere, Tulimpenda sana Lowasa walipotugeuka na sisi tumewakataa. Wewe sio exceptional


NINI USHAURI WAKO SASA ILI TATIZO LA UMEME LIISHE?...MBONA UNAONGEA KAMA KICHAA.
Tatizo lenu John Mrema, John Mnyika, Regia mtema, Basil Lema ,God Bless Lema Benson Kigaila na wachaga wengine wa ndani na nje ya CHADEMA mmejaa chuki binafsi katika mambo yote yanayomuhusu zitto.\
uzuri wenu ni waoga sana kiasi kwamba hamtaji majina yenu humu jamvini..
mbona kamati ya kina mnyika imeshauri DOWANS inunuliwe na wewe Mnyika umekaa kimya?...
Acheni majungu majungu yasiyo na kichwa wala miguu watanzania wana mengi ya kufanyiwa...
Zitto keep it up...TUNATAKA ZITTO UGOMBEE URAIS 2015 NA UTASHINDA.
 
kwani ye hapend kuwa kama RA mwenzenu ashapata ten percent yake aaaaaaaaaaaah waka huu atanunua cadillac
 
Hawa wenyeviti wa kamati za Nishati na Madini (Makamba), mahesabu ya Serikali za Mitaa (Mrema) na mahesabu ya Mashirika ya Umma (Zitto) QUOTE]

Tuwaache Zito, Mrema, Makamba etc wafanye kazi zao. Serikali (Executive) inafanya kazi ya Bunge na Mahakama(Judiciary). tumeona mara kadhaa serikali ikiiaamulia Bunge/Mahakama. Tanzania ya C** haina utawala wa kuzingatia hii mihimili. Ingelikuwa hivo mkwere asingalikuwa hapo alipo.
Kama mawaziri husika (executive) wameshindwa kazi wache kina Makamba et al.. (Parliament) iwasaidie. Ni kwa maslahi ya nani iyo kitu ingine.

Tatizo haujui maana ya mbunge...mbunge ni kiongozi wa nchi na anapaswa kuitumikia nchi kwa vile anavyoona anfaa na ndo maana hata mbowe halipwi mshahara na CHADEMA japokuwa anawadhurumu kila leo badala yake analipwa na serikali kama kodi ya wananchi...
Tunakupongeza zitto na uendelee kupigania maslahi ya watanzania na sio ya KANISA KATOLIKI...TUNAJUA WANAKUANDAMA KWA SABABU UMEKATAA KUFUATA MATAKWA YA KANISA...

Tatizo lenu John Mrema, John Mnyika, Regia mtema, Basil Lema ,God Bless Lema Benson Kigaila na wachaga wengine wa ndani na nje ya CHADEMA mmejaa chuki binafsi katika mambo yote yanayomuhusu zitto.\
uzuri wenu ni waoga sana kiasi kwamba hamtaji majina yenu humu jamvini..
mbona kamati ya kina mnyika imeshauri DOWANS inunuliwe na wewe Mnyika umekaa kimya?...
Acheni majungu majungu yasiyo na kichwa wala miguu watanzania wana mengi ya kufanyiwa...
Zitto keep it up...TUNATAKA ZITTO UGOMBEE URAIS 2015 NA UTASHINDA.
 
Tatizo haujui maana ya mbunge...mbunge ni kiongozi wa nchi na anapaswa kuitumikia nchi kwa vile anavyoona anfaa na ndo maana hata mbowe halipwi mshahara na CHADEMA japokuwa anawadhurumu kila leo badala yake analipwa na serikali kama kodi ya wananchi...
Tunakupongeza zitto na uendelee kupigania maslahi ya watanzania na sio ya KANISA KATOLIKI...TUNAJUA WANAKUANDAMA KWA SABABU UMEKATAA KUFUATA MATAKWA YA KANISA...

Tatizo lenu John Mrema, John Mnyika, Regia mtema, Basil Lema ,God Bless Lema Benson Kigaila na wachaga wengine wa ndani na nje ya CHADEMA mmejaa chuki binafsi katika mambo yote yanayomuhusu zitto.\
uzuri wenu ni waoga sana kiasi kwamba hamtaji majina yenu humu jamvini..
mbona kamati ya kina mnyika imeshauri DOWANS inunuliwe na wewe Mnyika umekaa kimya?...
Acheni majungu majungu yasiyo na kichwa wala miguu watanzania wana mengi ya kufanyiwa...
Zitto keep it up...TUNATAKA ZITTO UGOMBEE URAIS 2015 NA UTASHINDA.

hauna tofauti na taxi bubu
 
Tunajua Zitto ni mwana JF wa muda mrefu ndio maana munapenda kufuatilia mambo yake na kuyakosoa, lakini pia tuwe waangalifu katika kujadili mada, twende kwenye hoja ni si mashambulizi binafsi ili naye aweze kuja kuchangia na ndio mjadala unanoga (kama JF ilivyo kawaida) lakini munaposhambiliana humu haijengi na matokeo yake watu wanakwepa kujitokeza na tunapoteza watu makini zaidi.

Kuna mambo ya msingi ambayo tunahitaji kuyasubiri kwa Zitto mwenyewe ikiwa ni pamoja na kujibu kwa vitendo baadhi ya hoja za wana JF ili kurudisha imani kwa wale ambao wanaonekana kukata tamaa naye. Naamini wengi wa wanaokata tamaa sasa ni wapenzi wake, vinginevyo wasingekuwa na sababu ya kukata tamaa. Huwezi kumkatia tamaa mtu asiyekuhusu. Najua wanaomshambulia kama si wote, basi wengi ni wale ambao wanaamini Zitto ni kiongozi na wanataka kumuona akiwa na makali yale yale waliyomuona na kumhusudu, wanataka aendeleze kile ambacho kiliwavuta kumfuata na kumpenda.

Naamini hatuhitaji kukurupuka katika hili.

Kuhusu miradi ya Mchuchuma na Liganga na ule wa Kiwira, miradi hii imegubikwa na ufisadi mkubwa na sasa angalao kuna mwanga. Mawazo ya Zitto na kamati yake, yajadiliwe kwa busara kama ambavyo Mwanakijiji amejadili na wengine twende kwenye hoja ili Zitto na wengine wajadili kwa ustaarabu na si kuanza mashambilizi na kuleta hoja za kukatisha mjadala. Kushambuliana hakujengi na matokeo yake hata huko kutetea maslahi hakutakua na maana kwa kuwa tutaishia kushambuliana badala ya kupata maelezo ya kina ya kuelimisha na kusaidia Taifa. Itafika wakati watu wataanza kufikiria wanaopotosha mada humu kwa kushambuliana ndio wametumwa na mafisadi kuzuia kunyang'anywa kwao miradi ya Mchuchuma (MM_steel ya Subash) na Kiwira (Tanpower ya Mkapa na Yona).

Kina Karamagi na Mramba walimega mradi wa Mchuchuma na Liganga kwa staili ya vichuguu na kutoa Mchuchuma na Liganga kwa MMM Steel ya Subash wakisaidiwa na aliyekuwa mbunge wa Ludewa, Profesa Mwalyosi. Waliwakatisha tamaa wawekezaji wa kimataifa waliotaka kufanya kinachotaka kufanywa sasa na Wachina (japo nao wanatakiwa kuchunguzwa) na ndio maana wananchi walipopata uelewa wakamng'a na kumpa Deo Haule Filikunjombe.... sasa na yeye Deo asijisahau na kuanza kushambulia wapambanaji kama Mwanakijiji, angeenda kwenye hoja kutetea mradi wa jimboni kwake tu.

Mengine zaidi tutaendelea kupeana taarifa
 
Najua hii ilipoanzia!

Ule mchezo wa kulipua jengo la Uwekezaji Nairobi na kufahamisha umma kuhusu mifuko mingine kutaka kutumika. Sasa naona mmeanza kuona NSSF inaelekea kupata faida kubwa na hivyo sifa kwa utawala wake mnaanza kushambulia watu wanaotazama mema ya nchi. Siasa wekeni kando na kamwe cha juu hamtapata kwa kuwa NSSF hatutoi rushwa.

Narudia sisi ni zero corruption zone na Hosseah anajua. Zitto achana na hawa
MKUU LABDA USEME NYINYI MNAPENDA KUWA ZERO CORRUPTION ILA HAIWEZEKANI UNATAKA TUSEME MIKATABA YA RUSHWA KWENYE UJENZI!?? MNANUKA MKUUU! sana tuu!
 
PPF ina ufisadi wa kutisha lakini mbina hawafuatiliwi kama mnavyowaandama NSSF?
Mkuu WaTZ huwa tunaangalia VINAVYOONEKANA kwa nje si vile VILIVYOJIFICHA.. ndio maana wala rushwa ndogondogo kesi zao ziko mahakamani wale wala rushwa kubwa hawaonekani wala wengi hawakamatwi kwa sababu wana akili sana na mapesa yao yapo kwenye mzunguuko!
Kweli watanzania tunaumwa!!
 
Acha ubwege wewe....kanisa... kanisa,aliyekwambia muasisi na mwenyekiti wa kwanza wa CDM Mzee Edwin Mtei,Mzee BOB Makani,Freeman Mbowe,makamu mwenyekiti wa sasa CDM mzee Said Arfi ni wakatoliki nani?au kwa kuwa Slaa Mkatoliki na aligombea urais basi tena ndio CDM imekuwa inafuata matakwa ya wakotoliki?hizo ni fikra mpauko zilizotumiwa na ccm wakati wa uchaguzi na ambazo wamekua wakizitumia karibu katika kila uchaguzi mkuu hapa tz,nashangaa wewe bado zimekuganda mpaka leo,hivi unakumbuka ile propaganda maarufu ya ccm kipindi cuf ikiwa ngangari kweli kwamba CUF ni ya waislam na eti ikipewa dola itaitangaza Tanzania kama ISLAMIC STATE?au ulikua bado hujazaliwa enzi hizo kijana?basi nenda pale ccm lumumba kamuulize TAMBWE HIZA atakupa uzoefu wake akiwa cuf alivyopambana na makada wa ccm kuisafisha CUF juu ya uzandiki huo wa ccm kuiapaka matope CUF.kama kweli wewe ni muislam mwenzangu usiikubali ghilba hiyo ya ccm.
 
Inaelekea Taifa- Kwanza huifahamu mifuko hii ya hifadhi ya jamii kwa undani.PPF walisimamisha kulipa baadhi ya pensheni kutoka na ukata, halikadhalika PSPF kutokana na upungufu wa michango inapata ruzuku ya serikali.
NSSF kupewa kiwira itaanzisha kampuni tanzu ambayo itatoa ajira na kulipa madeni.Fedha zinazokusanywa na NSSF ni nyingi na mabenki hayatoi riba ya kutosha kukidhi haja ili mafao yaboreshwe, I stand to be corrected.

Hiyo kampuni Tanzu watakoanzisha itakuwa ya hisa za nani? Je wanachama wa NSSF watakuwa na hisa ambazo NSSF inaweza ikafanya "matching shares" na kuwarudishia wanachama hao dividends kila mwaka wa faida?

Kwanini basi NSSF isianzishe a holding company ambayo itasimamia uwekezaji wake wote na iwe nje ya uongozi wa NSSF na iwe ni kampuni ya limited?
 
Wewe nyamaza kabisaaaaaaaa. NSSF ni pesa za wanachama. Sidhani kama Zitto ni member wa NSSF ataamuaje tu kuwekeza kwenye project yenye mgogoro kama hiyo. Wakati umefika sasa wa kuhoji uhalali wa matumizi ya pesa za mifuko ya pension kwenye uwekezaji usiofaa. Manaake naona wanaamua tu kuwekeza kwenye niradi hovyo hovyo isiyo na faida yoyote kwa sie tunaochangia pesa zetu kila siku.


hapo kwenye pink color nimepapenda...hivi mzee wa Fursa aliishia WAPI na yale mawazo ya kufungua kesi dhidi ya NSSF???. I asked NSSF guys when they came to our offices 2007 'what is their priorities when investing'?? sababu mimi nilipendekeza wajenge nyumba ambazo members wake tunaweza ku-afford na wao watukate kupitia michango yetu ya kila mwezi lakini wapi...these people are pumbavu kabisa...wanajenga premier appartments ambazo memba wengi cannot afford, so what are the benefits to normal members??? nothing, I think it make business sense if they can establish a WIN-WIN situation between members and board of trustees/gov't sasa wao wanaangalia mambo makubwa which I don't think it's the reason of establishing such forceful fanthom which we're forced to contribute without benefiting. Tupeni malengo ya NSSF jamani hapa jukwaani, mi INANIUMA SANA
 
Back
Top Bottom