Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
Ile Tanzia(?) ya Zitto ilikuwa na mambo mengi ndani yake ambayo hayakupaswa kuwepo!hata zile habari za kuwa +Marehemu Regia(R.I.P),Aliingia ktk mgogoro na Afisa wa chama kuhusu chama kukabidhiwa kwa wasomi hazikuwa mahali pake,sintofahamu ya +Regia na Suzan Kiwanga haikuwa na tija kuizungumzia nyakati zile....na blaablaa nyingi alizochomekea ambazo zilhusu vikao vya ndani was nonsense!Uyu dogo ana sifa sana,kalewa umaarufu...si ajabu watu wanahisi anakihujumu chama kwa mafisadi