Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Nilifikiria hiki ni kipindi cha Madaktari wote kuonyesha u'serious wao katika kuishinikiza serikali kutekeleza matakwa yao kwa kuendelea kugoma,kumbe wito wa tofauti ndo unaotolewa.
Inamaana Ulimboka ni tofauti na Watanzania wengine?
Narudia tena nalaani kwa nguvu zote kitendo alichofanyiwa Dk Ulimboka,lkn pia napinga kwa nguvu zote kitendo cha Madaktari kugoma
Inamaana Ulimboka ni tofauti na Watanzania wengine?
Narudia tena nalaani kwa nguvu zote kitendo alichofanyiwa Dk Ulimboka,lkn pia napinga kwa nguvu zote kitendo cha Madaktari kugoma