Haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.
Mkuu umesahau Bwana Zombe alifanyaje na vijana wake kwa wale watu wamadini kutoka Morogoro??? Kwani si walifia huko Mabwepande Mkuu na kupelekwa sehemu nyingine kama ushahidi??? Kuna watu hatari saana serikalini ila hatujui wanapewa na nani amri za ajabu ajabu hadi kuuwa watu innocent kabisa simply tu wanatetea wanyonge!!!!Haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.
Chunga tamaa mbaya!
Wewe inaelekea una chuki binafsi na serikali.
Mimi natamani wahusika wapatikane na wa confess