Njoka Ereguu
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 821
- 335
Hivi wewe unaelewa kiingereza sawa sawa? Zitto kasema malivyuu kama hili ni bogazi tu kwani yashafanyika miaka nenda rudi bila kubadili chochote. Mwenzako Zitto anawataka wenye muono kama wake wapige kelele kubadili utaratibu mbovu uliopo na zaidi sana bunge liwe na mamlaka ya kujadili na kuidhinisha mikataba hiyo miovu. Mikataba hii iwe wazi ili hata wewe uwe na haki ya kuuona. Hivi kusema hayo ndio kukatisha tamaa kwa lugha ya kwenu eehh?? Duh kweli its a long way to fairness!!
Ni bunge lipi unaloongelea liwe na makucha ya ya kuangalia mikataba? bunge letu kwa sasa halina watu wenye uwezo kushinda wataalam wanaoandaa mikataba hiyo limejaa walala hoi, sasa sijui bunge linalokuwa refered hapa ni la njozi au ni hili hili lililopitisha sheria mbovu ya mafao na sasa wanataka kuiagalia tena kwa pesa za walalahoi baada ya watu wenye maono nje ya bunge kuwajulisha kuwa hicho walichopitisha ni janga ua zito na wanaounga mkono bunge kuangalia mikataba hawaoni uwezo wa bunge letu?