Azipa
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 1,069
- 322
Mkuu GKassanga, ZZK ni level nyingine kabisa!. Humu jf, tuna Vichwa maji kibao ambao uelewa wao ni finyu sana, lakini kazi yao kubwa humu ni kupiga kelele za kupinga kila jema na kuvurumisha mitusi!.
ZZK aliposhauri tuinunue mitambo ya Dowans au tuitaifishe, alionekana kituko!, leo tutailipa tuzo ya ICC na capacity charge ya $ 152,000 per day tunalipa Simbion!.
Tuliibiwa madini kwa mikataba mibovu kwa sababu ya usiri huku sisi hatujui!, sasa ni mikataba ya gesi nayo tutaibiwa tena kwa sabuhi hizo hizo, ZZK anasisitiza uwazi, mikataba iletwe bungeni, watu mnalalamika nini?!.
Huyu ZZK akiwa mgombea wa Chadema 2015, lile boriti kubwa la tuhuma za Chadema ni chama cha dini fulani zitafutika na amini nawaambieni, ZZK ni very bright and briliant boy fit for URT president 2015 kwa tiketi ya Chadema!.
Pasco.
Mkuu auditor huwa anakagua contract zenye query tu au? Kwanini kakagua 4 tu kati ya 26 je hizo nne haikuwa kiini macho tu?
Mkuu, hakuna ubaya wa kureview mikataba ambayo imeshaingiwa ukizingatia kumefanyika mabadiliko kwenye hiyo wizara. Kwanza kutazama upya mikataba huleta imani kwa wawekezaji. Hajaifuta!
Mkuu, bungeni wanakoshindwa kutafsiri sheria ama kwa makusudi kabisa wanaipotosha kwa maslahi yao binafsi, give us a break
Kwa hili mkuu nashauri wewe na Zitto wenu msubiri mpaka Professor akwame ndo mtoe sauti zenu