sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Jamani huyu zito si aondoke tu kwa amani ya bwana?????? Kwa nini anaendelea kuwa king'ang'anizi hivyo. I hate the guy now days coz amekuwa mshamba wa sifa. Sikutegemea kama kuna siku sifa zitamlewesha namna hii! Ondoka cdm zito utuache tuendelee kukijenga chama! SIFA ZINAUA BABA ACHA HIZO BANAAAAAA!