Zitto awasifia Dr. Slaa na Mbowe

Haaaa hhaaaa haaaaa haaa, mteja uliempigia hapatikani kwa sas; jaribu tena baadaye!!!

Word diction, intrument of style and the itching of the tone are all but a B-52 weapon in communication with which one can very well put a big message in public but only allow a handful selected few to be its consumers with a lot other just yawning a 'get-to-know' out there.

And that is exactly what has been employed in the message above to exclude you from swallowing the sugar-cane-sweet juicy part of it all. Pole sana!!


This is the reason I never desire reading Tanzanian English articles. Simple concepts are expressed in tough vocabs. Jifunzeni simple English.
 
Ndiyo maana nilisema it wasn't the right time to discuss his unofficial comments.

The guy is still hypocryt.Ni mnafiki zitto,ameona watu wengi wanampenda Dr slaa,na yeye hakutambua mchango wa Dr kwenye chama.Anacheza na unafki tu.Ni mnafiki kama Jakaya Kikwete
 
Enyi MAFISADI wote pamoja na chama CCM eleweni hili vema na kwa uwazi wake wote, ukweli wote ni kwamba;

... WaTanzania sote TUMESHAAMUA kwamba mambo yote ya ukombozi wa MTANZANIA kuondokana na MAFISADI ni kwa CHADEMA.

Je ni nani tena wa kutuzuia?????????????

hii kauli mbiu naipenda sana.
 
Kati kampeni za udiwani kata ya kiwira Zitto zuberi kabwe alisikika mara nyingi akimsifia sana slaa kwanza alisema DR Slaa ndie mtu aliye mfundisha kazi za bunge na kumpa uzoefu pamoja na mbinu. Pia alisema bila umakini wa Slaa leo watanzania wasingejua kama kuna ufisadi BOT pia alisema chadema ni makini kwani kina viongozi makini kama Mboye.

Nikajiuliza hivi ni kweli Zitto alitangaza nia ya kupambana na Slaa kuwania Urais kwenye kura za maoni?

Uko Darasa la Ngapi Mkuu? Ni Lini na Wapi Zitto alitangaza nia ya Kupambana na Slaa? Mkuu wengine inatosha tukiwa tunakuja hapa Jukwaani kusoma na si kila mtu lazima aanzishe Thread
 
Inadhihirisha kwamba Zitto ni mwanasiasa makini. Hawezi kuburuzwa na habari za mitaani na kusambaratisha chama.

Kama haya ni maneno ya kweli (yanatoka kwa Zitto) basi Hii ndio mara ya kwanza kwa Zitto kukiri uwezo wa Slaa adharani, maana hata kwenye zile kampeni za urais, sifa alizopewa JK na Zitto zilikuwa kubwa kuliko alizomnadi Slaa

Imekuwaje Mpaka Zitto ampambe Dr Slaa wakati Slaa agombei udiwani huko? Kulikuwa na haja hasa ya kuwazungumzia Slaa na Mbowe, au alishapima upepo?
 
Mkuu ulimuondoa moyoni kwa kuwa hakumsifia Dr. Slaa au kwa kuwa alitangaza kuutaka Urais kama chama kitampitisha? Vipi amekana kwamba hautaki Urais?

.
Sikuwa nimeudhiwa nae kwa sababu hakumsifia Dr Slaa, wala sii kwa kutangaza kwa kuutaka urais hapana. Kilichokuwa kimenishtua ni kipindi gani alitangaza nia yake ukizingatia wakati huo chama kama timu kilikuwa kimeelekeza nguvu zote Arumeru mashaariki. Mbona chadema kama chama kina watu wanaoweza kuikalia ofisi kuu ya nchi yaani urais wasiopungua 15 na mh Zitto akiwa mmoja wao?
.
 
.
Sikuwa nimeudhiwa nae kwa sababu hakumsifia Dr Slaa, wala sii kwa kutangaza kwa kuutaka urais hapana. Kilichokuwa kimenishtua ni kipindi gani alitangaza nia yake ukizingatia wakati huo chama kama timu kilikuwa kimeelekeza nguvu zote Arumeru mashaariki. Mbona chadema kama chama kina watu wanaoweza kuikalia ofisi kuu ya nchi yaani urais wasiopungua 15 na mh Zitto akiwa mmoja wao?
.

Mkuu kama tatizo lilikuwa tangazo mbona hajalikanusha hilo tangazo! Any way yote ni siasa na hili ni jukwaa la siasa
 
Uko Darasa la Ngapi Mkuu? Ni Lini na Wapi Zitto alitangaza nia ya Kupambana na Slaa? Mkuu wengine inatosha tukiwa tunakuja hapa Jukwaani kusoma na si kila mtu lazima aanzishe Thread

Mbona unakuwa mvivu wa kufikiri kijana ndio maana nimeuliza hivi ni kweli? Ungejibu ni kweli au sio kweli basi, Hayo matusi ya nini sasa mkuu.
 
Zitto ana haki ya kugombea kupitia chama chake, ni mabadiliko ya katiba ndo issue, sijui kwanini watu ni wagumu wa kuelewa.
 
.
Mwana mpotevu kwa hakika akirudi kwa babae na kuungama kosa lake hupokewa, huvikwa joho na kuchinjiwa mwana mbuzi mnono. Ni kweli Zitto ni kajana mzuri sana na mahiri na jambo moja tu linaloweza kumfikisha katika kilele cha mafanikio yake katika siasa ni kukaa chini ya watangulizi wake wa kisiasa, kuheshimu taratibu na kushaurika.

Mh Zitto ni miungoni mwa wanasiasa niliowatarajia kufanikisha lengo la kuikomboa Tanzania. Japo alinikwaza kwa haraka yake, kwa yeye kuiona hiyo mistake natangaza kumsamehe kabisa na ninamrudisha katika sehemu yake stahiki ndani ya moyo wangu. Big up Zitto, una nafasi muhimu sana katika siasa ya nchi yetu, usikubali kuyumbishwa/kujiyumbisha kwa vyovyote vile.
.
Mkuu Respect.nakubaliana na wewe asilimia 100.sina cha kuongeza zaidi ya kukubaliana na points zako.kwa mtu yeyote ambaye hayuko JF kishabiki na ambaye anatetea maslahi ya wananchi lazima tupiganie kumjeuza Zitto.Zitto ni hazina kubwa sana ya nchi hapo baadae lakini yeye kama binadamu anamapungufu yake.zaidi kwamba amejisahau.

Pia zitto asipende kufanya kitu chochote au kujiweka kwenye mazingira yeyote ambayo yatafanya wananchi wawe na doubts nae.mbona hakuna mtu yeyote ambaye anamlalamikia MNyika? Kwasababu hata wakijaribu kutafuta sababu ya kumpaka matope wanakosa.Zitto mwenyewe ndio anayefanya watu wamwone mzushi kwasababu anafanya au kujiweka kwenye mazingira ambayo yanaleta maswali mengi kwa wafuasi wa chadema.

Haijalishi kama yeye alikuwa na nia nzuri ya kufanya anayofanya au niambaya. Kiongozi mzuri hatakiwi kujiweka kwenye mazingira yatakayo sababisha watu wawe na maswali ya kwanini. Kwamba watu wanatoa comments kuhusu yeye ili wajue ukweli wa mambo.naamini wanachama wote wa chadema wanampenda Zitto kwa kuthamini mchango wake alioutoka akiwa kama kiongozi.lakini pale anaposababisha watu wajigawe kwa kumsapoti yeye au mbowe au slaa anakosea na kamwe hashinda kwa kushindana na viongozi wenzake.

Ajifunze pia kujua kila mtu yuko tofauti na ni muhimu yeye kufikiria na kutoa maamuzi yake kama chama na sio individual.Mfano suala la kutaka kugombea uraisi 2015 ni haki yake kugombea lakini tumeona comments zilizotoka kwa viongozi wenzake na wananchi.kwa kweli hakukuwa na sababu yoyote ya yeye kutangaza sasahivi hata kama ni haki yake.

CCM wanafanya hivyo lakini wote tunaelewa sababu ni nini.Mh ZItto lazima nae ana sababu zake hivyo tunaomba mwenyewe aje hapa jamvini ili kufafanua na kuielewesha jamii sababu zake.asaidie watu wapate majibu ya maswali mengi wanayojiuliza kuhusu hatua na msimamo wake!be blessed!
 
ww ndo ***** namba moja?unafkir Zitto anaendeshwa na JF? Ni kweli JF ni kama sokoni wauzaj na wanunuz tuankutana sikujua kama na machokoraa kama ww nao mpo kuokoteza maneno!

Wewe tukana lakini ndo unajivua nguo mwenyewe,Shame on you
 
JF ni zaidi ya Fimbo.....Kataa ... Kubali.. Haibadilishi ukweli..Lakini kiongozi bora si wingi au uchache Wa makosa atendayo Bali ni uharaka Wa kujisahihisha Na kurejea kwenye mstari.. Na Ukiona watu wanacoment negative about you usiwalime kisogo, TAFAKARI....CHUKUA HATUA ... !! Usiwe Kama Nape, akishaandika sred analog-out mtandao kabisa Kwa sababu anaelewa wananchi watacomment mbovu sana.. Yaani unakuta Mtu anajielewa ni kiroja Kwa jamii kiasi kwamba hataki kusikia lolote from pipo.. Ukiwa bondia usiogope masumbwi Na ukiuza samaki shombo halali yako..
 
Back
Top Bottom