Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Mh zitto ametoa sababu maalum zilizomfanya kuamua kugombania uenyekiti wa chadema....pamoja na hayo aameomba uchaguzi uwe huru.....
na zaidi ya yote amemaliza kwa kuwakandia vigogo wa chadema na kusema wamechoka hawafai kuongoza CHADEMA ya sasa inaitaji VIJANA....
shame on u zitto....nao wangesema chadema wanaitaji wazee leo hii ungekuwa unakula hela za CCM.....HAO HAO NDIO WALIOKUP MTAJI WA KUJULIKAANA NA CCM....INGIA KWENYE UCHAGUZI WAACHIE WANACHAMA WAAMUE....KUONGEA NA VYOMBO VYA HABARI AKUKUSAIDII.....
KWA KWELI NAKUSALUTE NA KUKUHESHIMU KAKAYANGU ILA KUANZA KUWATUKANA WAZEE WALIOKULETA MADARAKANI NADHAN SI USTAARABU...JARIBU UONGOZI UKISHINDWA AMIA CCM KAMA MWENZIO KABURU ANAKULA SHSHU TU BUNGE LA EAC....
na zaidi ya yote amemaliza kwa kuwakandia vigogo wa chadema na kusema wamechoka hawafai kuongoza CHADEMA ya sasa inaitaji VIJANA....
shame on u zitto....nao wangesema chadema wanaitaji wazee leo hii ungekuwa unakula hela za CCM.....HAO HAO NDIO WALIOKUP MTAJI WA KUJULIKAANA NA CCM....INGIA KWENYE UCHAGUZI WAACHIE WANACHAMA WAAMUE....KUONGEA NA VYOMBO VYA HABARI AKUKUSAIDII.....
KWA KWELI NAKUSALUTE NA KUKUHESHIMU KAKAYANGU ILA KUANZA KUWATUKANA WAZEE WALIOKULETA MADARAKANI NADHAN SI USTAARABU...JARIBU UONGOZI UKISHINDWA AMIA CCM KAMA MWENZIO KABURU ANAKULA SHSHU TU BUNGE LA EAC....