Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
"sijalishwa sumu..........
hakuna mwenye uwezo wa kunilisha sumu.,,
nilipoondoka Kigoma niliaga na wazee walinipa baraka zao.....
kuna watu wanasema eti nitahama, Chadema ni chama cha wana Kigoma, hatuwezi,
sifikirii, wala sijafikiria kuhama Chadema
wanaozusha hivyo wanaona mimi ni kikwazo kwao"
hakuna mwenye uwezo wa kunilisha sumu.,,
nilipoondoka Kigoma niliaga na wazee walinipa baraka zao.....
kuna watu wanasema eti nitahama, Chadema ni chama cha wana Kigoma, hatuwezi,
sifikirii, wala sijafikiria kuhama Chadema
wanaozusha hivyo wanaona mimi ni kikwazo kwao"