Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
<br /> <br / kwamba? Anajilinganisha na zito? Au anamuiga zitto?Nape si alisema hakwenda Igunga kwa sababu Zitto hakwenda?
<br /> <br / kwamba? Anajilinganisha na zito? Au anamuiga zitto?Nape si alisema hakwenda Igunga kwa sababu Zitto hakwenda?
<br />
<br />
Crashwise
<br />Wewe ni mwita25 tushakujua.
Hebu tuwekee username yako ya zamani tuijue siyo hii mpya....
<br />CDM tunaomba team nzima ya wabunge iingie Igunga, japo kwa siku mbili mbili tu.<br />
Makamanda kila mtu anawakubali tumieni huu uwezo wenu kuikomboa Igunga. Wanaingunga wako tayari kinachosumbua ni umasikini na pesa za CCM.
<br />
<br />
mkuu,
m/kiti wa chama aliahidi kwenye mkutano wa cdm Arusha siku ya tr 11/08 kwamba makamanda wote wa cdm watatia timu Igunga mara baada ya bunge. "Na haki ya mungu, hakuna kulala mpaka kieleweke!"- namnukuu. Nafikiri hata ujio wa Zito huko Igunga ni utekelezaji wa ahadi wa m/kiti!
<br />asiyejua kuwa nzitto ni sisiemu anyooshe kidole...asiyejua kuwa zitto kaenda ingunga kumsafishia njia mrithi wa rostam aseme suuuuuu...
<br />asiyejua kuwa nzitto ni sisiemu anyooshe kidole...asiyejua kuwa zitto kaenda ingunga kumsafishia njia mrithi wa rostam aseme suuuuuu...
<br />Umenena mkuu huyun ka si MWITA25 basi dada yake, hawa ndio watu wanaoturudisha nyuma kwa maendeleo na ndio wanafanya CCM kupotea mvuto kwa vijana.....
Kama zile za kuhani misibahahahaha na mwingine (NAPE) kapigwa stop kufika igunga labda aende kwenye shughuli zake binafsi...
<br />Bila shaka ujio wa zitto kwenye kampeni za igunga ni chachu ya kuelekea kukinyakua kiti hicho.<br />
<br />
Hatua kwa hatua, silaha moja baada ya nyingine hadi kitaeleweka tu.
Naona hofu na betrayal kwa viongozi wako kwenye maandishi yako..pole hata Slaa ni ccm anasubiri tumuweke mwanajumuia mwenzake arudi ccm...tatizo lake ni JK tu siyo ccm ok
<br />Mukama hana mvuto, hata kwa sura tu.
<br />asiyejua kuwa nzitto ni sisiemu anyooshe kidole...asiyejua kuwa zitto kaenda ingunga kumsafishia njia mrithi wa rostam aseme suuuuuu...
acha wivu mwenzio kasoma nawe kasomeMkuu kama ni cv atanishinda kwa kubebwa na baba yake,nasema hivi kama sio baba yake kumsafishia njia asingejaribu kuwa hapo alipo,endelea kupigia debe watoto wa washua na kamshahara kako ka manispaa
<br />Naona hofu na betrayal kwa viongozi wako kwenye maandishi yako..pole hata Slaa ni ccm anasubiri tumuweke mwanajumuia mwenzake arudi ccm...tatizo lake ni JK tu siyo ccm ok
<br />Pole sana na jinamizi lako la udini naona utakufa nalo!wewe kweli jini mahaba