No wapumbavu na sio wajinga, maana ujinga unaondoka ila upumbavu kamwe hauondokiZito anapoteza muda ktk chama hiki cha kikabila na kidini! kamwe Chadema hawatathubutu kumpitisha agombee nafasi ya Urais kwani nafasi hii ina wenyewe na wenyewe ndio hao kabila fulani au dini fulani!!!!
aleluyaa!!
Huu mgawanyo nimeupenda sana wakuu, hakika ni mapambano usiku mchana. Hakuna kulala mpaka kieleweke.
ww gamba acha kuingilia ya cdm...kwani uyaoni ya kwenye chama chenu magonjwa ya rusha yalivyokithirii...kemea kwanza kwa magamba wenzako, ndipo unyoshe kidole cdm...
Zito anapoteza muda ktk chama hiki cha kikabila na kidini! kamwe Chadema hawatathubutu kumpitisha agombee nafasi ya Urais kwani nafasi hii ina wenyewe na wenyewe ndio hao kabila fulani au dini fulani!!!!
aleluyaa!!
Hii post imejaa uwongo sana. Ushabiki ni mwingi zaidi ya uhalisia. Ulikuwa mkutano mkubwa na mzuri lakini hapakuwa na dua wala lolote. Kwanini Mtu utunge uongo?