Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Hapa sidhani kama akil imefanya kazi hapa.
chezea pilau hapo maneno yanamtoka kama juha vile haupi nafasi ubongo wake ufikilie..
Hapa sidhani kama akil imefanya kazi hapa.
pole kwa kuvimbiwa ubwabwa wa idd naona leo mmeshiba na mmevamia janvi kwa spid kali
Akili itoke wapi kwa mpumbavu?akili kwa pumbavu ni kama damu kwa kunguru.Hapa sidhani kama akil imefanya kazi hapa.
Toa mapendekezo na ushauri Zitto aende Chama gani kitakachompitisha ktk nafasi ya URAIS..kama ni CCM, CUF au chochote kile....Zito anapoteza muda ktk chama hiki cha kikabila na kidini! kamwe Chadema hawatathubutu kumpitisha agombee nafasi ya Urais kwani nafasi hii ina wenyewe na wenyewe ndio hao kabila fulani au dini fulani!!!!
aleluyaa!!
Mbunge wa kigoma kaskazini CHADEMA zito kabwe amefunika bagamoyo Mpaka wazee wa pwani wamemuombea dua malumu mtu yeyote atakaye fikiria kumuhujumu kwa makusudi au kwa bahati mbaya mwenyezi mungu amshugurikie mtu huyo.pia ameruhusiwa agombee cheo chochote ktk nchi hii wazee wapo nyuma yake wame mwambia asiwe na hofu yoyote tutakurinda pambana kijana tupo nyuma yako tupo pamoja.haya yametokea baada ya zito kufanya mkutano mkubwa sana Bagamoyo wa kumnadi mgombea wa kata ya magomeni ndugu.SETEBE TIMIZA SETEBE.chadema inanafasi nzuri ya kuinyakua kata ya magomeni. Pamoja na zito kabwe pia alikuwepo katbu wa chadema jimbo la ubungo mhe.ALLY SAIDI MAKWILO. ambeye amepiga kambi ktk kata hiyo kuhakikisha chadema ina shinda udiwani.
mkuu kumbe wewe na ZZK ni kitu kimoja! mnawaruhusu wazee wa pwani kusimama kwa nyuma yenu!
jibu swali huko nyuma ya ZZK wanatafuta nini?? wazee wa pwani ni wabayaaaa! ZZK awaruhusu na wazee wa mombasa aone moto wake.Mkuu mm nimeuliza tu....naona povu la kutosha mangi
Zitto ataweza urais jaman? Ataweza kuhimili hawa wakina ponda na shek farid?
Jaman urais sio udiwani.
Zito anapoteza muda ktk chama hiki cha kikabila na kidini! kamwe Chadema hawatathubutu kumpitisha agombee nafasi ya Urais kwani nafasi hii ina wenyewe na wenyewe ndio hao kabila fulani au dini fulani!!!!
aleluyaa!!
Hivi mgombea wa urais kupitia cuf ni wa dini ipi mkuu
toka jana singo yako itoke haina mnunuzi, si uiondoe tu sokomi make unapigwa jua na vumbi tu mtaani, acha wivu dadangu ulitaka akuoe wewe
Kama Mungu alimwandikia kwamba awe Rais wa Tanzania, basi ataupata tu wakati ukifika. Lakini kama Mungu hakumuandikia hivyo, basi hata aende chama cha malaika, bado hawatampitisha.Zito anapoteza muda ktk chama hiki cha kikabila na kidini! kamwe Chadema hawatathubutu kumpitisha agombee nafasi ya Urais kwani nafasi hii ina wenyewe na wenyewe ndio hao kabila fulani au dini fulani!!!!
aleluyaa!!
Mbunge wa kigoma kaskazini CHADEMA zito kabwe amefunika bagamoyo Mpaka wazee wa pwani wamemuombea dua malumu mtu yeyote atakaye fikiria kumuhujumu kwa makusudi au kwa bahati mbaya mwenyezi mungu amshugurikie mtu huyo.pia ameruhusiwa agombee cheo chochote ktk nchi hii wazee wapo nyuma yake wame mwambia asiwe na hofu yoyote tutakurinda pambana kijana tupo nyuma yako tupo pamoja.haya yametokea baada ya zito kufanya mkutano mkubwa sana Bagamoyo wa kumnadi mgombea wa kata ya magomeni ndugu.SETEBE TIMIZA SETEBE.chadema inanafasi nzuri ya kuinyakua kata ya magomeni. Pamoja na zito kabwe pia alikuwepo katbu wa chadema jimbo la ubungo mhe.ALLY SAIDI MAKWILO. ambeye amepiga kambi ktk kata hiyo kuhakikisha chadema ina shinda udiwani.
This is tragedy huh?jibu swali huko nyuma ya ZZK wanatafuta nini?? wazee wa pwani ni wabayaaaa! ZZK awaruhusu na wazee wa mombasa aone moto wake.
Mbunge wa kigoma kaskazini CHADEMA zito kabwe amefunika bagamoyo Mpaka wazee wa pwani wamemuombea dua malumu mtu yeyote atakaye fikiria kumuhujumu kwa makusudi au kwa bahati mbaya mwenyezi mungu amshugurikie mtu huyo.pia ameruhusiwa agombee cheo chochote ktk nchi hii wazee wapo nyuma yake wame mwambia asiwe na hofu yoyote tutakurinda pambana kijana tupo nyuma yako tupo pamoja.haya yametokea baada ya zito kufanya mkutano mkubwa sana Bagamoyo wa kumnadi mgombea wa kata ya magomeni ndugu.SETEBE TIMIZA SETEBE.chadema inanafasi nzuri ya kuinyakua kata ya magomeni. Pamoja na zito kabwe pia alikuwepo katbu wa chadema jimbo la ubungo mhe.ALLY SAIDI MAKWILO. ambeye amepiga kambi ktk kata hiyo kuhakikisha chadema ina shinda udiwani.