THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
nakushauli fanya uchunguzi kwanza kabla ujamtuhumu mtu..usikulupuke kuandika vitu usivyovijia,, mjinga wewe
mkuuu mbona jazba tena??
Au we ni zitto nin??
Basi uniambie hii brand new range rover sport unayotamba nayo huku tabata na kuitangaza kua hatukuwez umeipate??
Kama sio ufisadi tuh
dah wadanganyika sio wafuatiliaji wa mambo kabisa,mimi huyu ni jiran yangu na nipo nae karibu huku tabata,mkiambiwa hali halisi ya huku mnakua wakali eti tufanye utafiti,,sasa mnataka tuwaambie nin??
Hizi sio propaganda au shutuma ni mambo yanayofanyika,tafakari acha kua kenge kwa kufuata safari za mamba...!