sumaye fisadi tuu!arejeshe kwanza mashamba anayomiliki morogoro na jeetu patel!
umesahau zitto atakuwa na miaka 39?nccr mageuzi wamemuahidi uenyekiti wa chama na agombee urais mwaka 2015 kama walivyofanya kwa al.mrema. Dogo bado analitafakari hili ingawa kuna nguvu kubwa ya marafiki zake wa ccm wanaotaka kumsajili kwa udi na uvumba!! Cuf nao wanamtaka kwa mgongo wa udini, wanapiga chapuo eti waislamu hawako salama wakiwa chadema!!!! Kwa kweli nchi hii imelaaniwa kama mambo yenyewe ndiyo haya!!
Huyu dogo mwisho atachanganyikiwa na sijui mtasema nani kamloga!
HILO LIMEKAMILIKA SASA TURUDI KWENYE VIPA UMBELE VYA CHADEMA
1. KATIBA MPYA
2. KUHAKIKISHA CDM INAONGOZA MAJIJI YA MBEYA, ARUSHA, NA MWANZA NA KUTUMIA ILANI YA CHADEMA
3. TUJENGE MAKAO MAKUU YA KISASA
4. OPRESHENI SANGARA
5. TUME HURU YA UCHAGUZI
6. TUME HURU KUCHUNGUZA UCHAKACHUAJI WA KURA ZA SLAA(PhD)
7.
Ukiangalia hapo kwenye taarifa ya hali halisi. Utaona watu wanamjadili Zitto kama mtu mwenye makosa. Mbona hamsemi kwamba Zitto ni MSHINDI? Hamuoni kwamba kamati kuu imeiagiza CHADEMA imtambue Rais? Kwahiyo hata hao waliopiga kura na kutoka Bungeni ndio wanamakosa na wao ndio wanastahili wahojiwe. Hivi huo uamuzi wa kutoka Bungeni ni nani mwenye final say? Au ni kujiamulia tu? Kiufupi kamati kuu inakubali kuwa Zitto alikuwa sahihi na kwahiyo hataadhibiwa. Tulisema na tutaendelea kusema, CHADEMA hawakujipanga na hawakujua kuwa kuna ishu zitajitokeza baada ya uchaguzi na hatimaye ndio mvurugano huu. Tunaendelea kusema, CHADEMA watazame saana muundo wa viongozi wao na nani hasa mwenye mamlaka katika CHAMA wakati huo wakizingatia maslahi ya CHAMA na wananchi kwa ujumla.Kamati Kuu ya chadema imemtambua JK kama Rais halali na kuagiza wabunge kushiriki shughuli zote za kitaifa. Kamati Kuu imekataa kura ya kutokuwa na imani na Zitto mpaka asikilizwe kwanza kwa mujibu wa natural justice.
??Kamati kuu ya CHADEMA imeunda jopo la wazee wa chama chini ya prof. Baregu kumsikiliza Zitto na matatizo yake na viongozi wengine wa chama ili kuleta suluhu ndani ya chama. Jopo hilo lina Shida Salum, Kitila Mkumbo kama Katibu, prof. Baregu na Shilungushela.
Wabunge wa CHADEMA wameagizwa kukutana na Zitto kwanza kabla ya kuchukua maamuzi yeyote kisha walete taarifa kwenye kamati kuu.
Mafioso hawashindwi, watampa kidonge cha diclochacha wangwexin
Nadhani CDM wamefanya vizuri kuacha natural justice to take its path...! BRAVO
Ukiangalia hapo kwenye taarifa ya hali halisi. Utaona watu wanamjadili Zitto kama mtu mwenye makosa. Mbona hamsemi kwamba Zitto ni MSHINDI? Hamuoni kwamba kamati kuu imeiagiza CHADEMA imtambue Rais? Kwahiyo hata hao waliopiga kura na kutoka Bungeni ndio wanamakosa na wao ndio wanastahili wahojiwe. Hivi huo uamuzi wa kutoka Bungeni ni nani mwenye final say? Au ni kujiamulia tu? Kiufupi kamati kuu inakubali kuwa Zitto alikuwa sahihi na kwahiyo hataadhibiwa. Tulisema na tutaendelea kusema, CHADEMA hawakujipanga na hawakujua kuwa kuna ishu zitajitokeza baada ya uchaguzi na hatimaye ndio mvurugano huu. Tunaendelea kusema, CHADEMA watazame saana muundo wa viongozi wao na nani hasa mwenye mamlaka katika CHAMA wakati huo wakizingatia maslahi ya CHAMA na wananchi kwa ujumla.
Yaani kwa Mtemakuni kuandika hivyo tayari ume draw conclution kuwa Zitto kaonewa, ina maana chochote atakachosema Mtemakuni utaamini ni kweli, je akisema kesho ni mwisho wa dunia utaamini, Waberoya don't be obsessive usiwe kama abunuasi.Kumbe alionewa!!! thanks for confirming that, statement yako imebeba maana iliyojificha, kwa kifupi unaamini kabisa na huna haja ya kuuliza kuwa Zito ameonewa! congrats..... I too know that beyond reasonable doubt
Akienda NCCR na kuwa mwenyekiti hawezi gombea uraisi umri utambana jamani mbona kila siku twaliongelea ili?