give a fool enaugh rope and he will hang himself, and so it will pass in the case of zitto
Ukweli unauma! Kama post yangu umeisoma vizuri utaelewa nilichoandika. Kinaelimisha kwa mwenye kutaka kuelimika.
Unaweza kunambia maana ya "wapiganaji" na nchi yetu shwari haina vita?
Dar Es Salaam, tena umesema la maana upiganaji wao wa jinsi hiyo hatuutaki, si tunataka OIC na Mahakama ya Kadhi .Chadema watafanya kila njia wa Isla wang'oke. Ikiwa watazidi kuwepo, dhana yao ya "wapiganaji" haitotimia, wapiganaji wa nini? kuna vita Tanzania? kwa nini hamsemi kweli tu? wapiganaji wa kusimika misalaba, Crusaders.
Ukweli unauma!
Kwa kawaida mtu unapoomba msamaha na wewe unajitahidi kujirudi kwa tabia zako zilizopelekea uombe msamaha in the first place.Chadema watafanya kila njia wa Isla wang'oke. Ikiwa watazidi kuwepo, dhana yao ya "wapiganaji" haitotimia, wapiganaji wa nini? kuna vita Tanzania? kwa nini hamsemi kweli tu? wapiganaji wa kusimika misalaba, Crusaders.