Zitto aongea na Power Breakfast ya Clouds FM

1. Akaogopa wazee akajitoa!
2. Wangapi wamekua wenyeviti wa kamati? Nothing special here!
3. Hapo ndi anaonyesha udhaifu haswaaaa, hajui definition ya political party?
4. Tena PM, aliyoyafanya tuliokua nae naomba tu tunyamaze...aibu...na watanzania wangeua wala wasingemwamini hivyo!
5. Hapo ndipo nilipodhibitisha everyone has a price...uliona wapi umegombana na mtu afu unamshauri mwanao akaoe palepale? kesi badi iko mahakamani akataka tununue mitambo yao...

Kamati ya Kwanza kuweka taarifa hadharani na kujadiliwa na Bunge. Kamati ya kwanza katika Sekta ya madini kufikia kutekelezwa na hata kuandaliwa muswada mpya wa Madini.
Kamati ya kwanza katika sekta ya madini kuichambua sekta kwa mapana na kuwekwa katika mizania ya kitaaluma.
It is special. Au kwako wewe special ni nini? Punguza chuki
 
CHUKI tu zimekujaa. Hebu eleza huo ubinafsi wake kwa mifano maana inawezekena tujadili hewa. bamiza mtu kwa facts sio hisia zinazotokana na inferiority complex

Soma uelewe kijana, sio unarukia kucriticise comment ambayo hujaielewa, hiyo conclusion yangu ya kumuita zitto mbinafsi nimeitoa kutokana na premise ya jinsi anavyomuunga mkono Kafulila kwa interest zake binafsi against interest za chama, tatizo lako ni kukimbilia kutetea kitu/mtu bila kuelewa unachokosoa!

Afu inferiority complex yangu inatoka wapi? au huelewi maana ya hilo neno ulilotumia, usikurupuke kijana, ongea vitu vinavyoeleweka.ndio nyie tunaosema mnampapatikia Zitto na kumuabudu, basi mkiona mtu anamcritisize mnakurupuka bila hata kutumia akili!
 
Zitto siku hizi ananishangaza sana. Anawezaje kutangaza kuwa NCCR ina nguvu kuliko CHADEMA Kigoma Kusini wakati ambapo Uchaguzi wa mitaa 2009 CHADEMA ilipata viti vingi kuliko NCCR? Halafu anaji-contradict, kama kweli NCCR ina nguvu kama alivyosema, na kwamba anataka CHADEMA iachie NCCR ili NCCR ishinde; vipi siku zote amekuwa akisema hapa kwamba anataka Kafulila ashinde jimbo hilo kupitia CHADEMA? Sasa kwa kuwa tu Kafulila kahamia NCCR basi ndio amebadili msimamo sasa anataka NCCR ishinde?

Halafu si Zitto huyo huyo aliandika hapa JF kuwa NCCR imefadhaliwa mwaka 2005 na bado inaendelea kufadhiliwa kwa fedha za EPA? Sasa leo Zitto anatangaza kuunga mkono chama ambacho amekitangaza kuwa kinaendeshwa na fedha za ufisadi na wagombea wake wanafadhiliwa na mafisadi?

Zitto huyu huyu alimnadi Muslim Hassanal kupitia CHADEMA mwaka 2005, Muslim ambaye ni mjumbe wa baraza la wadhamini mpaka sasa kupitia CHADEMA? Je, Zitto anamaanisha kuwa kiongozi wake huyu wa CHADEMA hafai anayefaa ni Kafulila wa NCCR? Labda Zitto atueleze bayana mapungufu ya Muslim na CHADEMA mpaka atangaze live kumuunga mkono Kafulila na NCCR.

Asha

Asha, huu ni muhtasari mzuri wa matukio unaoonyesha mapungufu ya Zitto katika medani ya siasa. Nilishawahi kutoa comment huko nyuma kuhusu Zitto kwamba bado anahitaji kujifunza mengi kuhusu siasa zinavyokwenda kabla hajajitangaza wala kutangazwa kwamba ni mwanasiasa bora.

Anayoyafanya Zitto ni aina fulani ya usaliti na wala si 'muono' wa aina yoyote. Ku-interract na viongozi wa vyama vingine kunaweza kuwa na sura mbili - moja ni hiyo inayokubalika kabisa kwamba anaonyesha kuuchukulia upinzani kwamba si uadui. Lakini kwa sura nyingine anaweza akawa anafanya hivyo katika harakati zake za kutafuta umaarufu, kutafuta sympathy na kutaka aonekane mwanasiasa bora ingawa hayuko bora.

Kafulila alikuwa Chadema na inadaiwa alikuwa kwenye kundi la Zitto lililoshabikia Zitto kugombea uenyekiti wa Chadema. Kafulila kaondoka Chadema na kujiunga na chama kingine, bado Zitto anakiri kumsaidia ama atamsaidia kwenye masuala ya kisiasa ya kugombea Ubunge, kwa maana nyingine anakiri kukisaidia chama kingine dhidi ya chama chake mwenyewe. Kama huo si usaliti ni nini?
 
Asha, huu ni muhtasari mzuri wa matukio unaoonyesha mapungufu ya Zitto katika medani ya siasa. Nilishawahi kutoa comment huko nyuma kuhusu Zitto kwamba bado anahitaji kujifunza mengi kuhusu siasa zinavyokwenda kabla hajajitangaza wala kutangazwa kwamba ni mwanasiasa bora.

Anayoyafanya Zitto ni aina fulani ya usaliti na wala si 'muono' wa aina yoyote. Ku-interract na viongozi wa vyama vingine kunaweza kuwa na sura mbili - moja ni hiyo inayokubalika kabisa kwamba anaonyesha kuuchukulia upinzani kwamba si uadui. Lakini kwa sura nyingine anaweza akawa anafanya hivyo katika harakati zake za kutafuta umaarufu, kutafuta sympathy na kutaka aonekane mwanasiasa bora ingawa hayuko bora.

Kafulila alikuwa Chadema na inadaiwa alikuwa kwenye kundi la Zitto lililoshabikia Zitto kugombea uenyekiti wa Chadema. Kafulila kaondoka Chadema na kujiunga na chama kingine, bado Zitto anakiri kumsaidia ama atamsaidia kwenye masuala ya kisiasa ya kugombea Ubunge, kwa maana nyingine anakiri kukisaidia chama kingine dhidi ya chama chake mwenyewe. Kama huo si usaliti ni nini?

ni usaliti kama akili yako inakwambia chadema wataweza peke yao kuishinda CCM. kipi usaliti zaidi kupoteza jimbo kwenda CCM kwa wapinzani kugawa kura au chama kingine cha upinzani kuchukua jimbo tofauti na CHADEMA. Zitto kawaambia kuwa Kigoma Kusini toka vyama vingi vianze CCM wanashindwa kwa wingi wa kura lakini wanatoa mbunge kwa sababu CHADEMA spoils. CHADEMA ndio huwa inaharibu kwa kuwa ya tatu na NCCR ya pili kwa mujibu wa Zitto. Hamlioni hili kwa kuwa chuki zimewajaa. Hakuna jema kwa Zitto. Tones of volumes of inferiority complex
 
Soma uelewe kijana, sio unarukia kucriticise comment ambayo hujaielewa, hiyo conclusion yangu ya kumuita zitto mbinafsi nimeitoa kutokana na premise ya jinsi anavyomuunga mkono Kafulila kwa interest zake binafsi against interest za chama, tatizo lako ni kukimbilia kutetea kitu/mtu bila kuelewa unachokosoa!

Afu inferiority complex yangu inatoka wapi? au huelewi maana ya hilo neno ulilotumia, usikurupuke kijana, ongea vitu vinavyoeleweka.ndio nyie tunaosema mnampapatikia Zitto na kumuabudu, basi mkiona mtu anamcritisize mnakurupuka bila hata kutumia akili!

kwanza mimi ni mzee sio kijana. Nimeona na kufwatilia siasa za Tanzania kwa miaka mingi. Ninaona tumaini la upinzani kuongeza viti bungeni kupitia kwa Zitto. Mumpende mumchukie the guy is smart, reads and strategic. Vijana wangu wamesoma naye Mlimani, hajawahi kusaliti na wakati mmoja alikataa kuruhusiwa kuondolewa adhabu ya kusimamishwa chuo mpaka wenzake wote warudi. Mmoja ni mwanangu ambaye sasa ni mtaalamu wa IT hapa jijini.
Huyu mnamwita mbinafsi. Chuki imewajaa. Chuki ni mbaya sana. Inferiority complex
 
Kafulila alikuwa Chadema na inadaiwa alikuwa kwenye kundi la Zitto lililoshabikia Zitto kugombea uenyekiti wa Chadema. Kafulila kaondoka Chadema na kujiunga na chama kingine, bado Zitto anakiri kumsaidia ama atamsaidia kwenye masuala ya kisiasa ya kugombea Ubunge, kwa maana nyingine anakiri kukisaidia chama kingine dhidi ya chama chake mwenyewe. Kama huo si usaliti ni nini?
Hii inaonesha kuwa huyu kijana hatupi mtu anayemwamini. Mmmezoea wanasiasa wanaotupana ikitokea wanataka kulinda maslahi yao. Huyu kijana kaweka rehani uanachama wake kwa kuamini katika kitu. Kumsaliti mnyonge ni mbaya zaidi kuliko kinachoitwa chama.
 
Hii inaonesha kuwa huyu kijana hatupi mtu anayemwamini. Mmmezoea wanasiasa wanaotupana ikitokea wanataka kulinda maslahi yao. Huyu kijana kaweka rehani uanachama wake kwa kuamini katika kitu. Kumsaliti mnyonge ni mbaya zaidi kuliko kinachoitwa chama.

Well argued points. However, reading between the lines I can smell something.....or may be I am day-dreaming!
 
Asha, huu ni muhtasari mzuri wa matukio unaoonyesha mapungufu ya Zitto katika medani ya siasa. Nilishawahi kutoa comment huko nyuma kuhusu Zitto kwamba bado anahitaji kujifunza mengi kuhusu siasa zinavyokwenda kabla hajajitangaza wala kutangazwa kwamba ni mwanasiasa bora.

Anayoyafanya Zitto ni aina fulani ya usaliti na wala si 'muono' wa aina yoyote. Ku-interract na viongozi wa vyama vingine kunaweza kuwa na sura mbili - moja ni hiyo inayokubalika kabisa kwamba anaonyesha kuuchukulia upinzani kwamba si uadui. Lakini kwa sura nyingine anaweza akawa anafanya hivyo katika harakati zake za kutafuta umaarufu, kutafuta sympathy na kutaka aonekane mwanasiasa bora ingawa hayuko bora.

Kafulila alikuwa Chadema na inadaiwa alikuwa kwenye kundi la Zitto lililoshabikia Zitto kugombea uenyekiti wa Chadema. Kafulila kaondoka Chadema na kujiunga na chama kingine, bado Zitto anakiri kumsaidia ama atamsaidia kwenye masuala ya kisiasa ya kugombea Ubunge, kwa maana nyingine anakiri kukisaidia chama kingine dhidi ya chama chake mwenyewe. Kama huo si usaliti ni nini?

kwa nini hawamfukuzi Zitto ndugu yangu?

Unajua Chadema kimeshajifia siku nyingi! unapoteza muda kutetea chama

je umeangalia madhaifu ya chadema katika hii ishu?
 
kwanza mimi ni mzee sio kijana. Nimeona na kufwatilia siasa za Tanzania kwa miaka mingi. Ninaona tumaini la upinzani kuongeza viti bungeni kupitia kwa Zitto. Mumpende mumchukie the guy is smart, reads and strategic. Vijana wangu wamesoma naye Mlimani, hajawahi kusaliti na wakati mmoja alikataa kuruhusiwa kuondolewa adhabu ya kusimamishwa chuo mpaka wenzake wote warudi. Mmoja ni mwanangu ambaye sasa ni mtaalamu wa IT hapa jijini.
Huyu mnamwita mbinafsi. Chuki imewajaa. Chuki ni mbaya sana. Inferiority complex

basi uzee wako na ufuatiliaji wa siasa wako wa muda mrefu wala haujakusaidia katika kumuases kijana huyu kwa hoja zake wakati huu.
sasa hivi Zitto amepoteza dira na mwelekeo, ila mimi nisingependa kubishana sana na mzee amabya anaweza kunizaa, i hope Mungu atakulinda kushuhudia the downfall of huyu kijana unayemwamini kuwa amekuja kuiokoa tanzania.

tatizo linalokukabili mzee wangu ni kumuabudu Zitto, lisingekua hilo ungesikiliza hoja za wengine ambazo tunazitoa humu tukijua anasoma na zitasaidia kumrekebisha, badala ya kuona kila anachokisema kiko right na wanaompinga wanamchukia.

Acha kumuabudu Zitto! he is just human, with errors like others.
 
Hii inaonesha kuwa huyu kijana hatupi mtu anayemwamini. Mmmezoea wanasiasa wanaotupana ikitokea wanataka kulinda maslahi yao. Huyu kijana kaweka rehani uanachama wake kwa kuamini katika kitu. Kumsaliti mnyonge ni mbaya zaidi kuliko kinachoitwa chama.

kama hamsaliti anayemuamini kwa nini anakisaliti chama, au hakiamini?
angeweza kumtetea kafulila ndani ya vikao vya chama zitto sio mwanachama yeyote wa chadema, bali ni kiongozi wa juu kabisa so naamini kwamba anao uwezo wa kumtetea kafulila kwenye vikao, badala ya kupinga uamuzi wa chama chake kwenye vyombo vya habari, au haamini demokrasia ya chadema? kama haamini demokrasia ya chama chake, kwa nini anaking'ang'ania?
 
basi uzee wako na ufuatiliaji wa siasa wako wa muda mrefu wala haujakusaidia katika kumuases kijana huyu kwa hoja zake wakati huu.
sasa hivi Zitto amepoteza dira na mwelekeo, ila mimi nisingependa kubishana sana na mzee amabya anaweza kunizaa, i hope Mungu atakulinda kushuhudia the downfall of huyu kijana unayemwamini kuwa amekuja kuiokoa tanzania.

tatizo linalokukabili mzee wangu ni kumuabudu Zitto, lisingekua hilo ungesikiliza hoja za wengine ambazo tunazitoa humu tukijua anasoma na zitasaidia kumrekebisha, badala ya kuona kila anachokisema kiko right na wanaompinga wanamchukia.

Acha kumuabudu Zitto! he is just human, with errors like others.

Kila siku ninamwomba mungu kuwa anipe uhai nimwone kijana huyu kutoka magharibi akiapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Sikubaliani naye mambo fulani lakini ninafurahia sana uwezo wake wa kusimamia hoja zake hata kama zinapingwa na wengi. Mnaemwombea kuanguka mtaanguka ninyi kwani busara za mimi mzee ni kuwa kama huyu kijana alifanya mema mengi, mabaya machache mnayosema hayatamwangusha. Badala ya kumfunda na kumsaidia, mnamwombea anguko. Akili mgando hizi za ama A au B na hakuna kati ya A na B. Huyu kijana atajifunza kutokana na haya kwani ni mitihani tosha ya kumkomaza
 
Kila siku ninamwomba mungu kuwa anipe uhai nimwone kijana huyu kutoka magharibi akiapishwa kuwa Rais wa Tanzania. Sikubaliani naye mambo fulani lakini ninafurahia sana uwezo wake wa kusimamia hoja zake hata kama zinapingwa na wengi. Mnaemwombea kuanguka mtaanguka ninyi kwani busara za mimi mzee ni kuwa kama huyu kijana alifanya mema mengi, mabaya machache mnayosema hayatamwangusha. Badala ya kumfunda na kumsaidia, mnamwombea anguko. Akili mgando hizi za ama A au B na hakuna kati ya A na B. Huyu kijana atajifunza kutokana na haya kwani ni mitihani tosha ya kumkomaza

Kina nani hao wanaotaka kumwangusha ZItto wa dowans. Zitto anajiangusha mwenyewe na tamaa zake na wala si vinginevyo.
 
kwa nini hawamfukuzi Zitto ndugu yangu?

Unajua Chadema kimeshajifia siku nyingi! unapoteza muda kutetea chama

je umeangalia madhaifu ya chadema katika hii ishu?

Waberoya,

Ndoto zako za kutaka kuona chadema inakufa zitaishia kwenye masikitiko ya juu sana. Chadema ipo imara na itazidi kuwa imara mara tu Zitto atakapohamia ccm rasmi (mwakani) ili apewe uwaziri wa nishati na madini.
 
kama hamsaliti anayemuamini kwa nini anakisaliti chama, au hakiamini?
angeweza kumtetea kafulila ndani ya vikao vya chama zitto sio mwanachama yeyote wa chadema, bali ni kiongozi wa juu kabisa so naamini kwamba anao uwezo wa kumtetea kafulila kwenye vikao, badala ya kupinga uamuzi wa chama chake kwenye vyombo vya habari, au haamini demokrasia ya chadema? kama haamini demokrasia ya chama chake, kwa nini anaking'ang'ania?

wakina mwakyembe wakipinga maamuzi ya CCM mnashangilia. Lwakatare akipinga maamuzi ya CUF na kuhamia kwenu mnashangilia. Zitto hapana. Lazima uwezo wako wa kung'amua mambo ni mdogo sana mwanangu. Mtu ambaye hafichi hisia zake ni mwema maana tunamjua. Kwani huyo Zito kaficha mangapi huko kwenu chadema. kasema yote? au hakuna uchafu humo?
Kwa mfano kijana mmoja wa chadema kaniambia kuwa zito alikataa kuwa signatory wa chama kwa sababu hakubaliani na matumizi mabovu. Nikamwuliza kwani chadema hawakaguliwi. Akaniambia baba, toka nianze kuhudhuria vikao vya chama sijaona hata siku moja Audited Accounts za Chadema. Zito keshasema haya?
kama mnamtafutia visa, mfukuzeni tu maana yeye keshasema hatoki. Keshaambiwa na consultants wake, mwenye nguvu ndani ya chama hatoki. wanatoka wasio na nguvu. Uliona Kalonzo Musyoka na Raila katika ODM? Zito mwanangu kama umo humu na unasoma haya usitoke. watatoka wao.
 
Waberoya,

Ndoto zako za kutaka kuona chadema inakufa zitaishia kwenye masikitiko ya juu sana. Chadema ipo imara na itazidi kuwa imara mara tu Zitto atakapohamia ccm rasmi (mwakani) ili apewe uwaziri wa nishati na madini.

huo uwaziri aliukataa mwaka 2008 baada ya Mbowe kumkatalia Kikwete. hahitaji kuwa CCM ili awe waziri. Ulimsoma Karugendo Raiamwema?
 
wakina mwakyembe wakipinga maamuzi ya CCM mnashangilia. Lwakatare akipinga maamuzi ya CUF na kuhamia kwenu mnashangilia. Zitto hapana. Lazima uwezo wako wa kung'amua mambo ni mdogo sana mwanangu. Mtu ambaye hafichi hisia zake ni mwema maana tunamjua. Kwani huyo Zito kaficha mangapi huko kwenu chadema. kasema yote? au hakuna uchafu humo?
Kwa mfano kijana mmoja wa chadema kaniambia kuwa zito alikataa kuwa signatory wa chama kwa sababu hakubaliani na matumizi mabovu. Nikamwuliza kwani chadema hawakaguliwi. Akaniambia baba, toka nianze kuhudhuria vikao vya chama sijaona hata siku moja Audited Accounts za Chadema. Zito keshasema haya?
kama mnamtafutia visa, mfukuzeni tu maana yeye keshasema hatoki. Keshaambiwa na consultants wake, mwenye nguvu ndani ya chama hatoki. wanatoka wasio na nguvu. Uliona Kalonzo Musyoka na Raila katika ODM? Zito mwanangu kama umo humu na unasoma haya usitoke. watatoka wao.

Wana ccm bwana kwa kujiona wana akili kuliko watanzania wote. Kama mnampenda Zitto, mpeni ubunge wa kuteuliwa na uwaziri wa nishati na madini ili awateteee dowans na barrick vizuri.
 
Wana ccm bwana kwa kujiona wana akili kuliko watanzania wote. Kama mnampenda Zitto, mpeni ubunge wa kuteuliwa na uwaziri wa nishati na madini ili awateteee dowans na barrick vizuri.

Nilikuwa TANU na kisha CCM mpaka 1992. hivi sasa mimi ni raia tu na unaweza kuangalia hoja bila kujali kadi ya chama changu hata kama ningekuwa bado CCM. Zito anakutoa roho na chuki zako wewe. alipotetea dowans alikuwa waziri? atakuwa mbunge, atakuwa Rais. muda tu
 
Back
Top Bottom