Mpita Njia,
..kuna dhana kwamba haiwezekani Mbunge akatetea maslahi ya taifa, na wakati huohuo akawa karibu na wananchi wa jimbo lake.
..CCM pia wanajaribu kuwahadaa wananchi kwamba wabunge toka vyama vya upinzani hawana uwezo wa kuhamasisha na kupeleka maendeleo majimboni mwao.
..binafsi ningependa Zitto awe kati wa wanasiasa ambao wata-prove kwamba dhana hizo mbili nilizozitaja hazina ukweli wowote.
..kuna dhana kwamba haiwezekani Mbunge akatetea maslahi ya taifa, na wakati huohuo akawa karibu na wananchi wa jimbo lake.
..CCM pia wanajaribu kuwahadaa wananchi kwamba wabunge toka vyama vya upinzani hawana uwezo wa kuhamasisha na kupeleka maendeleo majimboni mwao.
..binafsi ningependa Zitto awe kati wa wanasiasa ambao wata-prove kwamba dhana hizo mbili nilizozitaja hazina ukweli wowote.