Ngoma nzito kujua nani zaidi, tuanzishe akaunti ya kuwapigia kura kuondoa mzizi wa fitina
ni kijana mwenye muono wa mbali, busara ya hali ya juu, uwezo wa kujenga hoja, anakubalika na kada zote hata ccm wanamkubali, mtu mwenye uchungu na taifa lake, mzalendo. ni juzi tu ameweza kupigania katika chaguzi ndogo ambapo aliweza kuzipigania kata za kiwira, lizaboni na kirumba, ameweza kujenga hoja mpaka akaweza kuwashawishi Cuf kutia saini katika kutafuta majina 70. huyu ndiye kijana tunayemtaka aongoze Taifa letu 2015 iwe kupitia CDM au chama chochote cha upinzani.
Kama unampenda sana Zitto, nenda kanywe nae chai. Habari za urais huu sio muda wake. Chadema wana utaratibu wa kumpata mgombea. Nakushauri fatilia ili uujue huo utaratibu then upeleke mawazo yako huko.
ni kijana mwenye muono wa mbali, busara ya hali ya juu, uwezo wa kujenga hoja, anakubalika na kada zote hata ccm wanamkubali, mtu mwenye uchungu na taifa lake, mzalendo. ni juzi tu ameweza kupigania katika chaguzi ndogo ambapo aliweza kuzipigania kata za kiwira, lizaboni na kirumba, ameweza kujenga hoja mpaka akaweza kuwashawishi Cuf kutia saini katika kutafuta majina 70. huyu ndiye kijana tunayemtaka aongoze Taifa letu 2015 iwe kupitia CDM au chama chochote cha upinzani.
Mazee kusoma huwezi hata picha unashindwa kuona wanavyo fanya huko operation Sangara?
Au wewe kipofu inahitaji kupapasa? Wale ni level ingine angalia wanavyo kubalika kwa sera zao na watu wanavyo jaa kwenye mikutano wanayo fanya watu wanakuja pasipo kusombwa na malori au DCM au chai harage na wala watu wanao hudhuria hawapewi ugua pole kama kofia, khanga na flanaz hata buku 2000 hawapewi wanakuja kwa mapenzi yao.