MNYISANZU
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 7,048
- 1,102
Haya ni madhara ya kutumia kamasi kufikiri badala ya ubongo.Nakubaliana kabisa na mtoa mada,
sioni sababu kwa nini zito asiwe full katibu mkuu wa hichi chama!
Haya ni madhara ya kutumia kamasi kufikiri badala ya ubongo.Nakubaliana kabisa na mtoa mada,
sioni sababu kwa nini zito asiwe full katibu mkuu wa hichi chama!
ni kijana mwenye muono wa mbali, busara ya hali ya juu, uwezo wa kujenga hoja, anakubalika na kada zote hata ccm wanamkubali, mtu mwenye uchungu na taifa lake, mzalendo. ni juzi tu ameweza kupigania katika chaguzi ndogo ambapo aliweza kuzipigania kata za kiwira, lizaboni na kirumba, ameweza kujenga hoja mpaka akaweza kuwashawishi Cuf kutia saini katika kutafuta majina 70. huyu ndiye kijana tunayemtaka aongoze Taifa letu 2015 iwe kupitia CDM au chama chochote cha upinzani.
ni kijana mwenye muono wa mbali, busara ya hali ya juu, uwezo wa kujenga hoja, anakubalika na kada zote hata ccm wanamkubali, mtu mwenye uchungu na taifa lake, mzalendo. ni juzi tu ameweza kupigania katika chaguzi ndogo ambapo aliweza kuzipigania kata za kiwira, lizaboni na kirumba, ameweza kujenga hoja mpaka akaweza kuwashawishi Cuf kutia saini katika kutafuta majina 70. huyu ndiye kijana tunayemtaka aongoze Taifa letu 2015 iwe kupitia CDM au chama chochote cha upinzani.
Kama viongozi wa Chadema wote wameweza kuweka sera ya Katiba mpya kwenye ilani yao, ambayo Kikwete na wenzake wameona ni ya manufaa kwa Taifa wanaitekeleza. Napata taabu kidogo kujua sera za Zitto kama Zitto na Slaa kama Slaa ila naziona sera za Chadema. labda kama kuna mtu anaziona sera za Zitto anishirikishe
Zitto ni asset ya chama kwa sasa na baadaye. Anatakiwa atulie na aache papara otherwise atapoteza mapema credibility yake kwa wananchi.ni kijana mwenye muono wa mbali, busara ya hali ya juu, uwezo wa kujenga hoja, anakubalika na kada zote hata ccm wanamkubali, mtu mwenye uchungu na taifa lake, mzalendo. ni juzi tu ameweza kupigania katika chaguzi ndogo ambapo aliweza kuzipigania kata za kiwira, lizaboni na kirumba, ameweza kujenga hoja mpaka akaweza kuwashawishi Cuf kutia saini katika kutafuta majina 70. huyu ndiye kijana tunayemtaka aongoze Taifa letu 2015 iwe kupitia CDM au chama chochote cha upinzani.
tabia kama hizi utazikuta kwa magamba kwasababu hawana uwezo wa kufikiri hufikiri kama alivyosema masaburi.huna jipya.wewe sawasaw na wendawazimu wanaovaa kijani bila aibu.Huyu anataka kutuöndoa ktk move,kuwa magamba shurti uwa na akili ya maiti.zitto bado sana
- Tungeachana na majina yao, tukajikita zaidi kwenye policies zao, toka wawe viongozi wamefanya nini in terms of policies productive kwa taifa, badala ya uyanga na simba.
Wwillie!
Kwani yote yanayofanyika kuanzia mambo ya EPA mpaka huu ufisadi wa mawizara sio wao wameyafumua humo walikokuwa wanaficha baba zenu- Tungeachana na majina yao, tukajikita zaidi kwenye policies zao, toka wawe viongozi wamefanya nini in terms of policies productive kwa taifa, badala ya uyanga na simba.
Wwillie!
Majibu yanapatikana humu. Www.adotanzania.blogspot.comni kijana mwenye muono wa mbali, busara ya hali ya juu, uwezo wa kujenga hoja, anakubalika na kada zote hata ccm wanamkubali, mtu mwenye uchungu na taifa lake, mzalendo. ni juzi tu ameweza kupigania katika chaguzi ndogo ambapo aliweza kuzipigania kata za kiwira, lizaboni na kirumba, ameweza kujenga hoja mpaka akaweza kuwashawishi Cuf kutia saini katika kutafuta majina 70. huyu ndiye kijana tunayemtaka aongoze Taifa letu 2015 iwe kupitia CDM au chama chochote cha upinzani.
Acha choko-choko wewe, kwa sasa CDM ime-concentrate kwenye M4C! Kampeni za kutafuta mgombea urais kupitia CDM bado hazijaaanza. Subir muda wake ufike, kwa sasa tunahitaji kushirikiaana na kuongeza nguvu kukijenga chama hasa sehemu za vijijini.
Hivi na wewe ni CDM? Pendekezo lako kalitoe kule kwenye vikao vya chama.Zitto ni zaidi ya mbunge,Zitto ni zaidi ya waziri,Zitto ni kijana mwenye uwezo wa hali ya juu na niazina ya taifa letu.Slaa ampumzike,hana mvuto kwa sasa
ni kijana mwenye muono wa mbali, busara ya hali ya juu, uwezo wa kujenga hoja, anakubalika na kada zote hata ccm wanamkubali, mtu mwenye uchungu na taifa lake, mzalendo. ni juzi tu ameweza kupigania katika chaguzi ndogo ambapo aliweza kuzipigania kata za kiwira, lizaboni na kirumba, ameweza kujenga hoja mpaka akaweza kuwashawishi Cuf kutia saini katika kutafuta majina 70. huyu ndiye kijana tunayemtaka aongoze Taifa letu 2015 iwe kupitia CDM au chama chochote cha upinzani.
Zitto ni asset ya chama kwa sasa na baadaye. Anatakiwa atulie na aache papara otherwise atapoteza mapema credibility yake kwa wananchi.
Ungelisaidia Taifa lako kwa kuja na hoja nini kifanyike ili kuliokoa Taifa linaloelekea kufilisika kutokana na kukithiri kwa ufujaji wa rasilimali za nchi. Kama ulifuatilia vizuri taarifa za mdhibiti na mkaguzi mkuu wa Serikali mimi, wewe, jamaa zetu na watoto wetu hadi 30/6/2010 kila mmoja wetu anadaiwa TShs. 335,000/=
Hiyo ni hadi 30/6/2010 leo hii itakuwa labda 500,000 kila mmoja wetu anadaiwa kutokana na deni la Taifa.
Hivi na wewe ni Chadema? Lini magamba mmeanza kutuchagulia uongozi?Nakubaliana kabisa na mtoa mada,
sioni sababu kwa nini zito asiwe full katibu mkuu wa hichi chama!
ni kijana mwenye muono wa mbali, busara ya hali ya juu, uwezo wa kujenga hoja, anakubalika na kada zote hata ccm wanamkubali, mtu mwenye uchungu na taifa lake, mzalendo. ni juzi tu ameweza kupigania katika chaguzi ndogo ambapo aliweza kuzipigania kata za kiwira, lizaboni na kirumba, ameweza kujenga hoja mpaka akaweza kuwashawishi Cuf kutia saini katika kutafuta majina 70. huyu ndiye kijana tunayemtaka aongoze Taifa letu 2015 iwe kupitia CDM au chama chochote cha upinzani.