Zitto amwambia Makinda nipo tayari kuvua dagaa kijijini kwetu

Zitto is damn right! na huu ni mtego kwa CCM kwani CHADEMA wkwa upande mwingine wanajenga hoja pia ya kuendelea kujipatia umaarufu...Reality na politics ndani yake! safi sana ZITTO!
Tangu kuanza sakata la Posho na Zitto, Zitto na Posho, Zitto na Posho na Makinda... bado sijasikia msimamo mzima wa CDM, kiasi kwamba wengine hapa waliwahi kumshutumu Zitto kwa kujitafutia umaarufu kwa sababu msimamo wake wa kususia posho ni wake peke yake. Msimamo wa CDM kama chama uko wapi? Ninawaomba wapinzani wote, lakini hasa CDM wasimwachie Zitto pekee vita hii kama kweli wanataka kuikomboa Tanzania na Watanzania. HONGERA ZITTO KWA KUONESHA NJIA.
 
Yaani hii nchi imejaa walaji wa2pu, wanamsakama zitto balaa! as if kafanya jinai
 
All MPs must unite on this one if they really want to bring changes on this issue. Hon. Zitto may have started out a good move but I don't think its going to be sort out by himself. Nor is this going to be sorted out by competition between the political parties. This is an issue for the whole House to do what is necessary to restore public confidence. The issue is not really about Zitto here, rather a public confidence in the reputation of Parliament.
 
Zitto kwa siasa hizi kwa Nchi kama TZ hawa kuwezi na kukufukuza anaongea tu hawezi maana huna kosa na Dunia itashangaa na watu watasimama na wewe kama tulivyo sasa . Very good .
 
Good move Zitto
Kama kiongozi ni lzm uonyeshe njia,nasema upo kwenye mstari sahihi,usitegemee wenye roho za ubinafsi wakuunge mkono!
 
Nimemsikia Zitto Kabwe akiongea na BBC. Anasema msimamo wake upo palepale hatasaini karatasi ya mahudhurio, hatapokea posho na yupo tayari kurudi kijijini kwake kuvua dagaa baada ya kufukuzwa ubunge. My take: Kwa hali ilivyo sasa ni wazi msimamo huu unaelekea kuungwa mkono na wananchi wengi. Najiuliza sana sipati jibu, mimi ambaye mshahara wangu unaisha baada ya siku 10 hizo bilioni 900 zinapotea kwa ajili ya posho zinanifikia kweli? Tafakari
big up zitto litachacha lakini halitaoza
 
tatizo ccm na anne wao wanataka kila kitu kutumia nguvu/jambo linalotokea wanatumia nguvu,,,,,,,,,naomba niwaambie hao vijana sio wanakurupuka tu kuongea hivyo inabidi kutafakari sana kabla ya kujibu hoja hizo,,,,,,,,,,USITUMIE MIKONO KUZUIA MKONDO WA MAJI.....................MAJI /MKONDO SIKU ZOTE HAUZUIWI BALI UNABADIRISHIWA NJIA SASA NYIE MNATAKA KUUZUIA OK NAWATAKIA KAZI NJEMA
 
Ningepata faraja iwapo CDM watamuunga mkono Zitto Walau kwa hili!

Mkuu why wabunge wengine wa CDM wako kinya juu ya hili? Unakumbuka kuna mdau alitaka wale walioko hapa watufafanulie mishahara yao, wengine akasema sheria za bunge haziruhuru? May be is there same here. Halafu zile pesa ulizochakachuliwa kwenye ATM, benki wamekurudishia au iliamua kuwaachia kama posho?
 
Mh Zitto siasa za kweli haziogopi kikinza!! Umeonyesha ukomavu wa kweli,binafsi nipo nyuma yako daima!!
 
Zitto Muongo Mkubwa Umeshatajirika Kwa Pesa za Kifisadi, na zile ulizokomba katika Uenyekiti wa Kamati Kubwa ulioiongoza Bunge lililopita Mbona hujazirejesha, wacha siasa za Kitoto weee Watu Wanakuchekaaaaaaa
ficha upumbavu wako,sasa unajenga unabomoa,uyu anajiribu kutoa ata kidogo vp makinda anayetaka posho iongezwe sijui anampelekea nan wakat mgumba,amejaa roho mbaya badala ya kuwaulimia watanzani huyu mama sasa hiko wazi ni mchawi.alafu wewe kwenu wamekuchoka kwa ujinga sasa unatuletea JF
 
- Uamuzi wa Mh. Zitto sio mbaya, lakini tatizo ni njia aliyotumia kuusema na kuutenda haiko sawa, kuna wabunge wengi vilema na wasojiweza sana kimaisha wanaohitaji hizo posho, njia aliyoitumia Zitto hai-justify the end! na infact in-defeat the whole good purpose aliyokuwa nayo!

- Hakukuwa na sababu za kui-politicize hiyo good act, sheria ni lazima apokee posho, HOWEVER: ni uamuzi wake namna ya kuitumia, angechukua na kuwapa wananchi bila kelele, angejijenga sana kisiasa kama the aim ilivyokuwa, maana ni wananchi ndio wangemtangaza how good he is, kuna ya kujipigia tarumbeta kisiasa, lakini this is not one of them katika nchi masikini kama yetu!

- Siungi mkono wabunge kutochukua posho zao, labda tuongelee kiwango, lakini sio kuchukua au kutochukua ni out of the line!


William @ NYC, USA.
 
- Uamuzi wa Mh. Zitto sio mbaya, lakini tatizo ni njia aliyotumia kuusema na kuutenda haiko sawa, kuna wabunge wengi vilema na wasojiweza sana kimaisha wanaohitaji hizo posho, njia aliyoitumia Zitto hai-justify the end! na infact in-defeat the whole good purpose aliyokuwa nayo!

- Hakukuwa na sababu za kui-politicize hiyo good act, sheria ni lazima apokee posho, HOWEVER: ni uamuzi wake namna ya kuitumia, angechukua na kuwapa wananchi bila kelele, angejijenga sana kisiasa kama the aim ilivyokuwa, maana ni wananchi ndio wangemtangaza how good he is, kuna ya kujipigia tarumbeta kisiasa, lakini this is not one of them katika nchi masikini kama yetu!

- Siungi mkono wabunge kutochukua posho zao, labda tuongelee kiwango, lakini sio kuchukua au kutochukua ni out of the line!


William @ NYC, USA.

bunge sio SACOS mkuu kama kuna wabunge vilema watafute jinsi ya kujiwezesha lakini pia wabunge vilema hawako bungeni kuwezeshwa kiuchumi bali kutete maslahi ya umma.
kumbuka posho anayoongelea zitto ni zaidi ya wabunge ni kwa vigogo pia lakini wabunge wanamisharaka minono kwa ajili ya ili jukumu lao mbona sisi walala hoi hatupewe posho za kujikimu na hali ngumu ya maisha.
 
Mkuu why wabunge wengine wa CDM wako kinya juu ya hili? Unakumbuka kuna mdau alitaka wale walioko hapa watufafanulie mishahara yao, wengine akasema sheria za bunge haziruhuru? May be is there same here. Halafu zile pesa ulizochakachuliwa kwenye ATM, benki wamekurudishia au iliamua kuwaachia kama posho?
Walinirudishia maalimu! They strongly admited and apologized for that....Makosa hutokea ATM hurekodi!
 
Nimemsikia Zitto Kabwe akiongea na BBC. Anasema msimamo wake upo palepale hatasaini karatasi ya mahudhurio, hatapokea posho na yupo tayari kurudi kijijini kwake kuvua dagaa baada ya kufukuzwa ubunge.

My take: Kwa hali ilivyo sasa ni wazi msimamo huu unaelekea kuungwa mkono na wananchi wengi. Najiuliza sana sipati jibu, mimi ambaye mshahara wangu unaisha baada ya siku 10 hizo bilioni 900 zinapotea kwa ajili ya posho zinanifikia kweli? Tafakari

Hata kusaini kitabu cha mahudhurio nako ni ufisadi??? Kinehee Baba ngoma ya alfajiri ndio ilivyo....!
 
- Uamuzi wa Mh. Zitto sio mbaya, lakini tatizo ni njia aliyotumia kuusema na kuutenda haiko sawa, kuna wabunge wengi vilema na wasojiweza sana kimaisha wanaohitaji hizo posho, njia aliyoitumia Zitto hai-justify the end! na infact in-defeat the whole good purpose aliyokuwa nayo!

- Hakukuwa na sababu za kui-politicize hiyo good act,
sheria ni lazima apokee posho, HOWEVER: ni uamuzi wake namna ya kuitumia, angechukua na kuwapa wananchi bila kelele, angejijenga sana kisiasa kama the aim ilivyokuwa, maana ni wananchi ndio wangemtangaza how good he is, kuna ya kujipigia tarumbeta kisiasa, lakini this is not one of them katika nchi masikini kama yetu!

- Siungi mkono wabunge kutochukua posho zao, labda tuongelee kiwango, lakini sio kuchukua au kutochukua ni out of the line!


William @ NYC, USA.

Mkuu hapo kwenye red unaweza kutupa hicho kifungu kinachomlazimisha achukue posho? Kuna tofauti ya being entitled to posho na kulazimishwa kuchukua posho. Kama kuna sheria inayomlazimisha mbunge kuchukua poa, that law would be very absurd in deed. And what would be the punishment kwa kukataa hilo lazimisho? Nafikiri tunatafsiri vibaya ile barua ya katibu wa Bunge kwenda kwa Mh Zitto. Ile barua inasema kisheria pesa zinalipwa moja kwa moja kwa mbunge. Lakini haisemi ni lazima alipwe hizo pesa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom