Zitto ampongeza Rais kwa kuwarudisha kwenye Baraza Jipya la Mawaziri Mkuchika na Magembe!

Kibori

Member
Jul 21, 2009
72
10
Wasalaam, JF.

Mh. Zitto Kabwe, mbunge machachari lakini very controversial sometimes, he moves mountains and he breaks new gounds and raises good debates on any topic and wins sometimes support of the public lakini wakati mwingine sijui has quick reverse ... Mimi kwa kweli nilimpongeza Mh. Zitto kwa motion yake ya kuwaadabisha mawaziri wafuja pesa za umma. Kwakweli hatua yake ya kutafuta wabunge zaidi ya 70 kwakweli ni hitoria katika nchi hii.....Mawaziri waliotakiwa kijiuzulu ni Maige, Ngeleja, Mkulo, Nundu, Mponda, Mkuchika, Magembe and Chami au Waziri Mkuu kwa mantiki ya hoja ile.

Waliojiuzungu au kufukuzwa ni Maige, Ngeleja, Nundu, Mponda and Mkulo.....Is this all ? we expected to hear Zitto talk about what next ....kwa lugha nyingine kama hawatapelekwa mahakamani kwa kweli sisi wananchi sasa tutashindwa kujua hasa mantiki ya report ya CAG na Kamati za Bunge akiwepo Zitto.

Cha kwashangaza Zitto Kabwe, amewapongeza Mh. Mkuchika na Prof. Magembe kurudia kwenye Baraza Jipya eti kwa sababu tu wao hawakujitetea.....kwahiyo Mh. Zitto kwa lugha nyingine ni kama vile hana genuine reasons for his private motion....he does not work the talk.....He is therefore a very dangerous politician citizens need to be very careful for the likes of ZITTO.....

Ni kama vile alikuwa na personal issues with the ministers walioachwa sijui ni kwa sababu wengi wao ni vijana kama yeye ambao pengine wanawezakuwa na dreams za kugombea urais baadae kama anavyotaka Zitto au kwa sababu pengine wote ni vijana kwahivyo Mh. Zitto hataki au anawivu wenzake wataonekana wana PESA nyingi kuliko yeye.....ujua vijana wanahulka kushinda with fellow youth for a number of reasons....mjini ni sifa sana kwa kijana kuwa na pesa as most rich young person....is big credit.... Is ZITTO playing these kinds of games with the others.....


Kwa kweli mimi wakati mwingine nashindwa kumwamini Zitto difficult to tell whether is a genuine politician au ni populist tu.....

Karibuni kwenye mjadala....
 
Ndugu wataka JF tumjadili Mheshimiwa Zitto,Mawaziri ambao ni Mafisadi ama Ripoti ya CAG ama mustakabali wa nchi??
 
Msimamo wa Mh Zitto mara nyingi ndio huwa msimamo wa JK, sijui ni coincidential!!!

CDM muongezeeni miaka 10 zaidi ya uchunguzi huyu kijana maana ni very controversial na anafit sana katika mfumo uliopo sasa, labda kwa kuwa aliingia mapema katika upinzani na akaja na hoja za maana za ukombozi ikawalazimu mafisadi kumMANAGE, time will tell
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Ukiendelea na hiyo tabia yako basi jiandae kuvishwa kanga siku moja
 
Kibori,

Sio vibaya kama ungetuambia Mh. Zitto aliyasema hayo maneno wapi, na ni muhimu kabla ya wewe kutupa tafsiri eleza (kwa kumnukuu) alichosema.

Tunajidili hoja na sio mtu, itapendeza tukienda hivyo.
 
Kweli kwenye misafara ya watu pia KENGE wapo....... discussions kama hizi sio mzaha wewe......keep your words to your wife au husband if you have one.....
 
Kibori,

Sio vibaya kama ungetuambia Mh. Zitto aliyasema hayo maneno wapi, na ni muhimu kabla ya wewe kutupa tafsiri eleza (kwa kumnukuu) alichosema.

Tunajidili hoja na sio mtu, itapendeza tukienda hivyo.


Soma magazeti a day baada ya kuampishwa mawaziri.....I thought all of us a keep......precisely Mwananchi a day baada ya Mawaziri kutajwa....
 
Msimamo wa Mh Zitto mara nyingi ndio huwa msimamo wa JK, sijui ni coincidential!!!

CDM muongezeeni miaka 10 zaidi ya uchunguzi huyu kijana maana ni very controversial na anafit sana katika mfumo uliopo sasa, labda kwa kuwa aliingia mapema katika upinzani na akaja na hoja za maana za ukombozi ikawalazimu mafisadi kumMANAGE, time will tell

Hapo kwenye red: ndilo tatizo langu. na hadi sasa sina jibu!
 
source ya habari yako ni nini??? kama ni kipindi cha generali on monday basi utakuwa uketudanganya. Alichosema zitto ni kwamba kati ya mawaziri wote waliotakiwa kujiudhulu ni mkuchika pekee ndio aliandika barua ya kujiudhulu lakini wengine wote walijitetea hivyo anadhani hiyo ndo sababu iliyomfanya rais amrudishe zitto kwenye baraza la mawazili
 
zitto na rafik yake wanapenda kupigwa picha za magazeti kama wema sepetu. mapopulists.
 
mkuchika pekee ndio aliandika barua ya kujiudhulu lakini wengine wote walijitetea
kwanza siya dhambi kujitetea, pili ivi uyu zitto anajuwaje content za barua za kina maige, aliziona hizo barua? tatu mkuu cna uhakika kama 'kujiudhulu' ni kiswahili sahihi.
 
Back
Top Bottom