JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 499
Nimshauri zito angepambana kumaliza kero za wananchi wa jimbo lake kwanza kwani wanahitaji zaidi ya walichonacho badala ya kuingilia ndoa za watu...mambo ya akina jusa na cuf yanamuhusu nini? this is crappp