Zitto amkanya ndugu Jussa!

Zitto hafai kuwa raisi hata kidogo, mawazo yake kila siku huwa nayaona ni ya juju sana na hana msimamo. Ukiona anamsimamo ujue anatafuta sifa tuu kisiasa.

Kafulila na Zitto ni kitu kilekile, huwezi kumpa nchi mtu kama kafulila.

Kuna mwingine anaitwa Mnyika, hawa vijana bado ni comedia tuu. Sikuamini kama Mnyika angeweza kupinga kitendo cha Magufuli kuongeza nauli ya kivuko ili kuboresha huduma hiyo wakati Ubugno stand imechoka hata kukarabati wanasubiri serikali itoe fedha.

Vijana iweni makini.
 
Zitto ni "mwenyekiti wa vyama vyote vya upinzani" lol

Mkuu Jmushi1,

Martin Luther alisema Injustice anywhere basi ni injustice Everywhere.Ni lazima tupinge utamaduni huu wa zidumu fikra bora za mwenyekiti au kiongozi yeyote wa chama cha siasa kinachotumia kodi ya watanzania wote (wakiwamo wale wasio na vyama vya siasa) kutoa au kuchukua maamuzi dhidi ya kiongozi aliyechaguliwa na wananchi kwa sababu ya tofauti za kimawazo au kwa kulinda maslahi binafsi ndani ya chama au taasisi,kitu ambacho kinawaathiri wananchi pamoja na ukuaji wa demokrasia yetu.

Kufukuzana uanachama kumefanyika kwa vyama vyote kuanzia CCM, Chadema, NCCR, na sasa CUF

Tunaikula hasara ni wananchi kwa kugharamia chaguzi kila leo, kwa maamuzi ya wachache kwenye vyama

Gaijin,ni kweli kabisa.Haingii akilini tulalamike kwamba kuna matumizi mabaya ya fedha za uma kwa serikali ya CCM huku sisi tukiumiza wananchi kwa sababu ya maslahi yetu binafsi.Tunajenga himaya ya untouchables kwenye vyama vya siasa.Ni lazima tulaani tabia ya baadhi ya viongozi ndani ya hivi vyama (vinavyotumia kangaroo courts za kamati kuu na NEC) kughilibu matakwa ya wapiga kura na raslimali zao
 
Kwa hiyo Zitto anaushahidi kuwa Maalimu alishida siyo??

Hili limetolewa ufafanuzi wa kina kuwa Seif alimzidi Shein zaidi ya kura 20,000. Kilichofanyika ni kumlainisha Seif kwa kiasi cha kutosha cha pesa, na cheo cha makamu wa rais hivyo kukubali Shein awe rais. Kwa kuwa dili hili liliwezeshwa na Jusa ambaye ni rafiki yake Zitto , hakuna haja ya kutilia shaka kilichoandikwa na Zitto. Cha kutilia shaka hata hivyo, ni kwanini, pamoja na udhaifu huu wa maalim, aeendelee kuonekana mwanasiasa thabit machoni kwa Zitto?
 
Hili limetolewa ufafanuzi wa kina kuwa Seif alimzidi Shein zaidi ya kura 20,000. Kilichofanyika ni kumlainisha Seif kwa kiasi cha kutosha cha pesa, na cheo cha makamu wa rais hivyo kukubali Shein awe rais. Kwa kuwa dili hili liliwezeshwa na Jusa ambaye ni rafiki yake Zitto , hakuna haja ya kutilia shaka kilichoandikwa na Zitto. Cha kutilia shaka hata hivyo, ni kwanini, pamoja na udhaifu huu wa maalim, aeendelee kuonekana mwanasiasa thabit machoni kwa Zitto?

Daa Tanzania weeee! sorry,,, Zanzibar weeeeeeeeeee!
 
Hamad kufukuzwa cuf ni sawa na zitto kufukuzwa cdm. N kujitakiai matatizo tu kwenye maamuzi kama haya.

Pia najiuliza, inakuwaje inawezekana vyama vya upinzani lakini kwa ccm inakuwa ngumu?
 
Hamad kufukuzwa cuf ni sawa na zitto kufukuzwa cdm. N kujitakiai matatizo tu kwenye maamuzi kama haya.

Pia najiuliza, inakuwaje inawezekana vyama vya upinzani lakini kwa ccm inakuwa ngumu?

CCM nao wanaweza pia, si juzi juzi tu walimfukuza Katibu wa CCM wa DSM!
 
Mkuu Jmushi1,

Martin Luther alisema Injustice anywhere basi ni injustice Everywhere.Ni lazima tupinge utamaduni huu wa zidumu fikra bora za mwenyekiti au kiongozi yeyote wa chama cha siasa kinachotumia kodi ya watanzania wote (wakiwamo wale wasio na vyama vya siasa) kutoa au kuchukua maamuzi dhidi ya kiongozi aliyechaguliwa na wananchi kwa sababu ya tofauti za kimawazo au kwa kulinda maslahi binafsi ndani ya chama au taasisi,kitu ambacho kinawaathiri wananchi pamoja na ukuaji wa demokrasia yetu.



Gaijin,ni kweli kabisa.Haingii akilini tulalamike kwamba kuna matumizi mabaya ya fedha za uma kwa serikali ya CCM huku sisi tukiumiza wananchi kwa sababu ya maslahi yetu binafsi.Tunajenga himaya ya untouchables kwenye vyama vya siasa.Ni lazima tulaani tabia ya baadhi ya viongozi ndani ya hivi vyama (vinavyotumia kangaroo courts za kamati kuu na NEC) kughilibu matakwa ya wapiga kura na raslimali zao

ccm wameshaandaa helikopita.
 
Nafikiri Zitto inambidi afikirie vingine.

CUF nafikiri ni chama tofauti sana na ni chama cha wananchi sio cha watu wacheche ambao wanakuwa na hisa kama Chadema.

Kufukuzwa kwa hamad Rashid sio jambo geni. Kwani walishawahi kufukuzwa watu maarufu kuliko Hamad rashid, akina Naila Jidawi, Mapalala na Msabaha n.k.

Kinachofuatwa ni haki na sio upendeleo.

Sio kama ulivyo fanyiwa wewe mizengwe uliyowekewa wewe ulipotaka kugombea uenyekiti wa taifa chadema.

ivi wa-OMAN mnampango gani na taifa letu?tena inapofika swala la zanzibar..
 
Jana nilisema...

Siamini. Mbona Zitto hajaiweka kwenye status zake za Online Offices (wall zake FB na Twitter)? Au huko hana Maslahi, HR siyo mnyonge anayeonewa na ukosefu wa demokrasia ndani ya chama?

Leo naona kaitika wito..

Zitto Kabwe
Ndugu Jussa, Kama rafiki yako mkubwa na unajua ninavyomheshimu Maalim Seif Kama kiongozi thabiti. Leo nakwambia usilolipenda. Sio sahihi katika demokrasia Kama yetu kumfukuza Mbunge Hamad Rashid au hata wanachama wengine wa chama chenu cha CUF. Kama Maalim aliweza kumsamehe Salmin, aliweza kumsamehe Karume, aliweza kukubali kutangazwa kushindwa ilhali hata wewe unajua alishinda Urais wa Zanzibar iweje iwe muhali kumaliza tatizo hili dogo la Hamad Rashid?

Hamad ana makosa lukuki. Nimefanya naye kazi Bungeni. Hamad pia ana mazuri mengi kafanya. Hamad amejitoa muhanga. Uamuzi wa Baraza Kuu la CUF kumfukuza uanachama ufikiriwe upya.

That is my appeal to you as a friend and a fine politician.
 
Zitto Kabwe
Ndugu Jussa, Kama rafiki yako mkubwa na unajua ninavyomheshimu Maalim Seif Kama kiongozi thabiti. Leo nakwambia usilolipenda. Sio sahihi katika demokrasia Kama yetu kumfukuza Mbunge Hamad Rashid au hata wanachama wengine wa chama chenu cha CUF. Kama Maalim aliweza kumsamehe Salmin, aliweza kumsamehe Karume, aliweza kukubali kutangazwa kushindwa ilhali hata wewe unajua alishinda Urais wa Zanzibar iweje iwe muhali kumaliza tatizo hili dogo la Hamad Rashid?

Hamad ana makosa lukuki. Nimefanya naye kazi Bungeni. Hamad pia ana mazuri mengi kafanya. Hamad amejitoa muhanga. Uamuzi wa Baraza Kuu la CUF kumfukuza uanachama ufikiriwe upya.

That is my appeal to you as a friend and a fine politician.

JB nimekuwa so interested na post zako nyingi, yaani unaonyesha kucheza vema katika fani yako. Lakini katika hii ya leo ninamashaka. naomba unitoe mashaka yangu kwa kunijibu/kunijuza yafuatayo:-
1. Ikiwa maneno hayo ni ya Zitto Zuberi Kabwe, tujuze aliyaandika wapi katika facebook, email yake, ni sms katika simu yake au aliyazungumza (japo hili halijionyeshi)?
2. Waweza kum-pm Zitto ili aje athibitishe haya uliyoweka ni yake kweli au wewe umejitungia?
3. Is just the politics that mend or creat the friendship of Zitto with Jussa?
 
Zitto anatoa maoni hayo kwa sababu anafahamu na yeye kitakachomkuta muda si mrefu. Ni unafiki tu unaomfanya aonekane kuwa mtu mwema mbele ya jamii kwa kutoa ushauri wa kijinga. Ki ukweli hauendani na hadhi aliyonayo.
Kama kweli alikuwa na ushauri huo kwa nini hakutoa kabla ya kikao cha jana? Halafu ana maana gani kutoa ushauri kwa Jussa na siyo kwa baraza kuu la CUF ambalo limemfukuza HR na wenzake?
Mwaka Huu ni Mwaka wa shetani kwa wasaliti wote wa vyama. Sipendi chaguzi ndoto kwa sababu zinaligharimu taifa na siyo vyama vya siasa, lakini tufanyaje wakati tuliomba mgombea binafsi tukawekewa zengwe? Tujifunze kutokana na haya yanayotokea.
 
Hata hivyo HR hana mvuto kwangu toka alipo amasisha kambi yake bungeni isimchague Marando (spika) kwani kura zilitosha wabunge wa Chadema!
 
Kusema ukweli na kukosoa nje ya vikao kunaitwa ni Kuvuruga chama!Mwl Nyerere baada ya kustaafu alikuwa anakikosoa chama chake waziwazi hadi kudiriki kuwaita baadhi ya viongozi wake waandamizi WAHUNI lakini hakufukuzwa chamani.Mimi ni kati ya wale wanaoamini kwamba Hamad hakustahili kile alichotendewa.
 
Nafikiri Zitto inambidi afikirie vingine.

CUF nafikiri ni chama tofauti sana na ni chama cha wananchi sio cha watu wacheche ambao wanakuwa na hisa kama Chadema.

Kufukuzwa kwa hamad Rashid sio jambo geni. Kwani walishawahi kufukuzwa watu maarufu kuliko Hamad rashid, akina Naila Jidawi, Mapalala na Msabaha n.k.

Kinachofuatwa ni haki na sio upendeleo.

Sio kama ulivyo fanyiwa wewe mizengwe uliyowekewa wewe ulipotaka kugombea uenyekiti wa taifa chadema.


Kwakuwa CUF wametumia sh.500 milioni katika wilaya 10 za zanzibar kwa ajili ya uchaguzi mkuu 2010,

Na kwakuwa CUF wametumia sh.70 milioni katika wilaya 123 za Tanzania bara na zenye eneo kubwa sana kijiografia ukilinganisha na Zanzibar.

Ni dhahiri kwamba kama cuf ni chama cha wananchi, bila shaka ni chama cha wananchi wa zanzibar.
 
Kusema ukweli na kukosoa nje ya vikao kunaitwa ni Kuvuruga chama!Mwl Nyerere baada ya kustaafu alikuwa anakikosoa chama chake waziwazi hadi kudiriki kuwaita baadhi ya viongozi wake waandamizi WAHUNI lakini hakufukuzwa chamani.Mimi ni kati ya wale wanaoamini kwamba Hamad hakustahili kile alichotendewa.

Nyerere wakati anakosoa chama chake hakufanya hivyo akiwa na lengo la kugombea nafasi yeyote ndani ya chama chake, tofauti na HR, ametoa hutuma dhidi ya Katibu wake mkuu akiwa na sababu nyuma yake ya kutaka kushika nafasi ya ukatibu mkuu. Katika siasa hii ni tofauti kubwa sana.
 
..Zitto amkanye rafiki yake kwa matusi aliyofurumusha dhidi ya Mzee wetu Samuel Sitta.

..siasa za maji taka hazifai ktk kujadili matatizo ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
 
Back
Top Bottom