Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
The guy is really very smart!
Malima too, has to go!
Malima mshenzi sana yule!
The guy is really very smart!
Malima too, has to go!
Mh Zitto leo, hivi punde, alitoa taarifa kwa Spika kuwa maelezo ya Waziri na Naibu Waziri wa Nishati na Madini kuhusu sakata la Mgodi wa Kiwira ni ya uongo mtupu na akafafanua jinsi Ufisadi wa kusikitisha ulivyofanyika, Spika akadai kuwa taarifa hiyo iletwe kwake kwa maandishi ili Serikali iweze kujibu, cha kushangaza Zitto akamjulisha Spika kuwa taarifa hiyo ipo kwake Spika kwa maandishi labda apelekewe upya, nae Spika Anna Makinda bila kusita akajibu "ndiyo ilete upya!" Sasa wanajamvi wenzangu sijui mumemuelewaje Spika anavyofanya jazi yake! Ina maana hasomi taarifa sensitive kama hizo au anapuuza kwa vile zimeongozwa na wapinzani au anawalinda mafisadi kwa makusudi?
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
uyu zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
Mbona una weweseka mpaka watoa povu bure wakati alichoambiwa ni alete upya kwa maandishi. Na yeye zitto amekubali shida ipo wapi?
toto lafisadi wachache sana mnaotumia akili zenu wengi mnatumia makalio!
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
Hizi zilikuwa ni techniques za wazungu wakati wanakuja kulitawala bara la Africa wakaona waweke mstari huo kwenye biblia ili msiwavurumishie mikuki na pinde wakoloni. Hawa jamaa walikuwa na akili sana, eti ukipigwa kulia geuza na kushoto. Ha ha ha haa. Kuna haja ya maandiko matakatifu kuandikwa upya kwa context yetu ya sasa. Walioandika wakati huo walijiangalia zaidi wao.
Zito huwa anawasiliana nini na Rostam??..
Chezea TISS wewe!!
Mbona una weweseka mpaka watoa povu bure wakati alichoambiwa ni alete upya kwa maandishi. Na yeye zitto amekubali shida ipo wapi?
Leta data hapa usiongee bila source. Kama anafanya hivyo kwa nia njema hakuna shida. kama analeta usaliti naye atapewa haki yake maana zitto naye ni binadamu anaweza kwenda wrong. Lkn tusimhukumu bila data.
uyu Zito anapenda sana masifa,ata kama ndio mbio za urais...yani anajifanya anauchungu sana na nchi wakati ela za barrick anatafuna.
Miongoni mwa maandiko magumu sana niliyowahi kusoma ni yale yanayosema
"Wapendeni Adui Zenu, Waombeeni Wanaowaudhi"
Jifunze kupenda hata unaowachukia akiwemo spika