Zitto akutana na kufanya mazungumzo na Nancy Pelocy & Dennis Kucinich!

Sielewe kabisa hoja ya picha hii na ujumbe wake. Nisaidieni.

Kwa uelewa wangu mdogo, kwa malengo ya mbali naona ni mbinu za ujima za kupanda ngazi za kisiasa.

Watanzania na hasa vijana ni lazima tujikomboe na kuhasiwa akili zetu/ mental castration kuwa kupiga picha na mzungu anakuongezea umaarufu.

Niweie radhi sana Kiganyi lakini nifikirie tu kwa sauti kama lengo ni kumjengea Zitto umaarufu basi ni aibu yako, usilambe miguu ya wengine. Ukiwa kiongozi itakuwaje? Ndio maana tunatoa kila kitu kwa wageni na watu wetu yunawafukuza na kuwafanya watumwa kwenye nchi yao.

Wana JF ina udhi sana unapoona kiongozi wako wa juu anaona uafahari sana kupiga picha na wasanii, wachezaji na inakuwa jambo kubwa kitaifa. Au pale anapojivunia omba omba.
Usichanganye mambo, picha hii haijaletwa na kitengo cha mawasiliano cha cdm au ofisi ya mbunge kama wafanyavyo ikulu na kitengo chao kile cha habari na mawasiliano, hapa ni utashi mwa muanzisha mada, hivyo basi unapaswa kuelewa picha haikupigwa kwa kutafuta umaarufu.. kama ambavyo tumeona viongozi wetu wa kitaifa wakitafuta kupiga picha na wachezaji maarufu, wasanii wa kimataifa, nk.
 
shabashii!!..... DEO Kaangalie ni picha ngapi mwenyekiti wenu kapiga na wazungu tena wasanii,ivi we bwana mdogo Deo unawaza kwa kufikila nini.... Sikutofautishi na Shibuda, kwa akili yako wewe unaweza ukajilinganisha na zito unasema et kapiga picha na wazungu iv kweli zinakufaa kwel

Asante mkuu wangu, siwezi kujilinganisha na waheshimiwa mi ni mkulima maskini wa kijijini.

Kulinganishwa na shibuda ni wanajamvi wanajua.

Hoja siyo unapiga picha na nani, bali kubweteka kuwa umepiga picha na fulani, madhumuni na maudhui yake kana kwamba huyo mtu ametoka sayari nyingine. Hili ndiyo tatizo la kuhasiwa akili.

Swala la mwenyekiti wangu asante kwa kuniambia lakini mi sina uhakika kama ndye lakini na mpokea. Na kama anafanya hivyo na weza kusema ni "Imbecile" na sintajivunia naye
 
DEO Kwanini unasema zitto anabweteka nakupiga picha? Unajua mazungumzo yao?
 
Last edited by a moderator:
Yupo kwenye msafara wa Jakaya Mrisho Kikwete.[H/QUOTE]
They are together but with different mission

Mmoja kutalii na kupiga picha na Becks mwingine kujadili masuala muhimu na atu muhimu

U can't just iGnoré US of a

So its a calculated move, bravo Zitto!!!

Hating western and all it stand for won't help us now coz they have the upper hand wameshika makali,tukubali tusikubali...sasa tukishakubali au kuelewa umuhimu wao ndio tumpongeze Zitto kuwa na hao vichwa 2 huko

Otherwise jazba hazisaidii TZ the way I see it, will still be twiddlin(sp) na wamarekani for @least 30 more years!!
 
Yupo kwenye msafara wa Jakaya Mrisho Kikwete.[H/QUOTE]
They are together but with different mission

Mmoja kutalii na kupiga picha na Becks mwingine kujadili masuala muhimu na atu muhimu

U can't just iGnoré US of a

So its a calculated move, bravo Zitto!!!

Hating western and all it stand for won't help us now coz they have the upper hand wameshika makali,tukubali tusikubali...sasa tukishakubali au kuelewa umuhimu wao ndio tumpongeze Zitto kuwa na hao vichwa 2 huko

Otherwise jazba hazisaidii TZ the way I see it, will still be twiddlin(sp) na wamarekani for @least 30 more years!!

So let's get over it and concentrate with the known...
 
mmmm.... interesting. Article inasema yuko USA kwa private visit which means hayuko huko kwa shughuli za chama! At the same time article inasema yuko huko pushing for accountability, transparency and whatever.
Accountability una-push toka USA? Hapa sijaelewa. Halafu huyo Dennis Kucinich namuona kama an improved version ya Shibuda fulani.

I am also curious to know kwanini hii "private" visit ya Zitto ina-coincide the safari ya JK huko Marekani? Pure coincidency? All in all tuombe mungu iwe ni kwa manufaa ya nchi!

Zitto mtata,hatofautiani na shibuda
 
mmmm.... interesting. Article inasema yuko USA kwa private visit which means hayuko huko kwa shughuli za chama! At the same time article inasema yuko huko pushing for accountability, transparency and whatever.
Accountability una-push toka USA? Hapa sijaelewa. Halafu huyo Dennis Kucinich namuona kama an improved version ya Shibuda fulani.

I am also curious to know kwanini hii "private" visit ya Zitto ina-coincide the safari ya JK huko Marekani? Pure coincidency? All in all tuombe mungu iwe ni kwa manufaa ya nchi!

maswali ya mtaani!! sema unachowaza mkuu acha kuzunguka zunguka!

ukijua kama ni coincidence au sio coincidence utafanya nini?

humsemi rais wako mwenye watu 16 kwenye msafara unamsema zitto!!

duh!

ngozi hii kazi tupu
 
Very Sad Indeed kwa Mhe Zitto ku-teamup Economic Hit Mans... Hatari kwa Tanzania...
unavoongea is as if Zitto is some kind of a sinless saint. the guy is full of sh!t and biggest opportunist around, sadly anaonekana 'hero' to some of the wananchi who are so inclined to search few new messiah. economic hitmen, do not need Zitto approval into anything, he is too insignificant.
 
By!dondezel


Mh Zitto Kabwe mbunge wa Kigoma Kaskazini anasema "Nimekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa zamani wa Marekani Nancy Pelosi na Mbunge Dennis Kucinich"
Kiongozi! Wapenda maendeleo tuko nyuma yako, hasa katika jinsi ya kulikomboa hili taifa ambalo linaekea kudarora...ndio kijana ambaye umebakia kutuongoza katika njia itupasayoooo!!!!!!!!​
 
maswali ya mtaani!! sema unachowaza mkuu acha kuzunguka zunguka!

ukijua kama ni coincidence au sio coincidence utafanya nini?

humsemi rais wako mwenye watu 16 kwenye msafara unamsema zitto!!

duh!

ngozi hii kazi tupu

List ni ndefu.
 
Jamani tunaomba data za may 27, mheshimiwa anakutana wapi na wa TZ?
 
Hiyo picha haina maana bali tunataka tujue nn cha muhimu na sio blala za kujipa umaarufu wa kisiasa huku watu tukihangaika na M4C zetu huku.
Mi binafsi sioni maana sana ya kumsifia mtu kupiga picha na mzungu bali kufanya hivyo ni utumwa fikra ambao unapaswa kupingwa kwa vikali sana pia tusijidharau sisi waafrika.
Solidarity forever.

Kweli ni ubinafsi. Wapo wabunge wanne wa Chadema US mission ya Chama, lkn huyu anapenyeza vihabari vya peke yake ili kuwafunika wenzie kina Sugu, Msigwa na Leticia. UBINAFSI.
 
Back
Top Bottom