Kosa ni kuendesha mkutano wa hadhara baada ya saa 12 jioni.
Habari zaidi tutapeana hapa, inaelekea leo ni siku ya kamatakamata.
UPDATES:
Inadaiwa katolewa rumande na kaambiwa aripoti kesho polisi
Asiende tu ana immune huyo!!!!!
Kosa ni kuendesha mkutano wa hadhara baada ya saa 12 jioni.
Habari zaidi tutapeana hapa, inaelekea leo ni siku ya kamatakamata.
UPDATES:
Inadaiwa katolewa rumande na kaambiwa aripoti kesho polisi
Dah
kamatakamata day
haya vipi JK kapata ajali kweli au story za kijiwani?
Huyu Zitto ataachiwa si muda -- nyie mtaona tu. Wala halali selo hadi J3. Ni swahiba wa JK ambaye atapiga simu kwa RPC wa Sngd na kuachiwa mara moja!
Acha wafanye kaz ya kutanganza chama chetu. I luv my party CDM