Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Kwa mujibu wa Zitto, aliona kila dalili mapema kwani liliingia kundi la FFU ambao walionekana wazi wamejiandaa, hivyo akahakikisha saa 12 juu ya alama anamaliza mkutano lakini bado akakamatwa.
Duh,kwa hiyo amepewa dhamana au taarifa umezipataje kama kashikiliwa bado?