Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 6,376
- 6,720
Timbilimu ulikuwa hujui kuwa nchi yetu iko mikononi mwa mafisi? Pale bungeni ni sawa na gulio la Katerero ambapo kila mtu huanika vyake na kuuza kwa bei yake. Tumo msambweni na tusipoamka na kujikomboa kama wenzetu wa Misri Libya na Tunisia tutaendelea kuumia sana na kudanganywa na hawa wachumia tumbo wanaowakilisha mtumbo yao kwa kisingizio cha kutuwakilisha. Ukitaka kujua tuna balaa gani rejea maneno ya mbunge wa Rombo Joseph Selasini aliyedhukuriwa akisema, "Mheshimiwa mwenyekiti baadhi ya makampuni ya mafuta yalikuwa hapa Dodoma na kutoa chochote kwa wabunge na hili si kwa upande wa serikali ya CCM bali wabunge wa pande zote tukiwemo wapinzani. Msione watu wanazungumza kwa nguvu hapa kutetea, hawa wamepewa chochote,