Kwa tabia yake ya undumila kuwili Zitto hawezi kuponyoka. Kama kweli anamilki Hummer na magari mengine kama ilivowahi kuripotiwa kuwa alimsadia magari Kafulila kwenye kampeni, Zitto ni fisadi hakuna shaka. Kinachofurahisha kwenye mchezo huu wa kuvuana nguo, hakuna fisi atayenusurika kutokana na ukweli kuwa hata hao wanaowashutumu wenzao hawafanyi hivyo kwa uzalendo bali visasi vya kuzuiwa kuliibia shirika la Umeme. Mhando si wa kwanza. Dr Idris Rashid aliiba sana ukiachia mbali familia na shemeji za Mkapa waliotumia Net Group Problems kulimaliza kabisa shirika letu.Bado serikali ambayo huwa halipii umeme inaotumia. Msururu ni mrefu kama uchunguzi wa kina utafanyika.
dr slaa ni mmoja wa wanaosemekana kuusaka urais 2015
je zitto ana imani dr slaa kuongoza sekretarieti? Ukizingatia wanaomchafua zitto ni wabunge wapenda posho na wasaka urais kutoka vyama vyote
Aeleze na Ndege ya TANAPA yeye huwa anaitumia kama nani na kwa mamlaka yapi? Kama mwenyekiti Wa kamati ya Bunge ya Mahesabu ya mashirika ya umma ataweza kukagua TANAPA kwa haki? Zitto ni fisadi, aeleze Gari aliyopewa na Nimrod Mkono na huo mshahara anaolopwa na Rostam Azizi ni kwa kazi ipi.
zito ni mbunge makini,the issue is anajichanganya sana na mambo mengi ya kipuuzi mara mafisadi,mara bongo movie,mara urais.i stated onde before,zito turudishie zitto wetu yule mzalendo mwenyekuweka maslai ya taifa mbele anayebeba sura ya tanzania yenye haki.please zitto what is happening,mbona kila siku wewe kwa mabaya tu??usiniambie ni wanakusingizia maana hata kipofu atakushangaa,actually ni lazima tusemwe ili tujue udhaifu wetu,lakini si kila linalisemwa ni kweli,but ni wajibu wetu kujichunguza na kubadilika.
jitathimini brother!mchango wako unahitajika kuijenga nchi hii.
Kauli hii iko kwenye ukurasa wake wa twitter.
"Kwa masaa 3 nimejieleza mbele ya sekretariat ya chama kuhusu tuhuma za rushwa dhidi yangu. Niliomba kutaka kutoa maelezo kwa katibu Mkuu".
Amekiomba chama kifanye uchunguzi juu yake na kuchukua hatua akibainika.
Kilaza wa jimbo la Tabora, Rage mzee wa bastora ameomba muongozo wa spika kuwa kwa nini Mh. Tundu Lissu kataja majina ya wabunge wala rushwa wa CCM pekee na ameacha wa CHADEMA. Sasa anataka muongozo ili na Zitto atajwe.
Kama kukusikia amekusikia abakize utekelezaji tu, namuomba zitto baada ya hii inshu kupita ajirekebishe kuna kitu atakuwa amejifunza kwani bado tunamuhitaji sana kwa ukombozi wa taifa letu. Rudi kundini kaka anza kusambaza M4C kama zamani.zito ni mbunge makini,the issue is anajichanganya sana na mambo mengi ya kipuuzi mara mafisadi,mara bongo movie,mara urais.i stated onde before,zito turudishie zitto wetu yule mzalendo mwenyekuweka maslai ya taifa mbele anayebeba sura ya tanzania yenye haki.please zitto what is happening,mbona kila siku wewe kwa mabaya tu??usiniambie ni wanakusingizia maana hata kipofu atakushangaa,actually ni lazima tusemwe ili tujue udhaifu wetu,lakini si kila linalisemwa ni kweli,but ni wajibu wetu kujichunguza na kubadilika.
jitathimini brother!mchango wako unahitajika kuijenga nchi hii.
dr slaa ni mmoja wa wanaosemekana kuusaka urais 2015
je zitto ana imani dr slaa kuongoza sekretarieti? ukizingatia wanaomchafua zitto ni wabunge wapenda posho na wasaka urais kutoka vyama vyote
dr slaa ni mmoja wa wanaosemekana kuusaka urais 2015
je zitto ana imani dr slaa kuongoza sekretarieti? ukizingatia wanaomchafua zitto ni wabunge wapenda posho na wasaka urais kutoka vyama vyote
Zitto zitto!! What more can I say???
Tusubili hiyo kesho lkn kaa mkijua kuwa alikuwa akiwindwa mda mlefu na hizo ni mbinu za kumwua kisiasa.