Ametaka mwenyewe yeye nani kama analeta vurugu polisi wanajua kazi yao.
namshauri asitetea mtu alie shindwa wa nini?
:hippie:
Ametaka mwenyewe yeye nani kama analeta vurugu polisi wanajua kazi yao.
namshauri asitetea mtu alie shindwa wa nini?
:hippie:
walituona mabwege siku nyingi, sasa tunawa-:croc:
Bahati yako humu kuna sheria kali la sivyo ninge kutukania... yako mzazi.Ametaka mwenyewe yeye nani kama analeta vurugu polisi wanajua kazi yao.
namshauri asitetea mtu alie shindwa wa nini?
:hippie:
Wanataka watangaze hali ya hatari ili kuahirisha kila kitu kama Slaa atashinda
Hoo Mala Ccm vile mala Ccm ivi, Tumechoka kunyanyaswa na Mafisad:A S angry:, Tunaitaji Mapinduzi Wachawi Wote Out................Tunaitaji One Word One Tanzania
Zito kabwe mbunge mteuliwa wa kigoma kaskazini alikuwa kigoma mjini kumtetea mgombea mwenzake wa chadema huko kigoma mjini ambapo jimbo hilo lina utata na kuna dalili kuwa ccm wanataka kuchakachua kura za chadema.kundi la polisi limewavamia na kumpiga zito na kumuumiza
source channel ten kama dkk 2 zilizopita wametangaza
:A S angry::A S angry::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:Ametaka mwenyewe yeye nani kama analeta vurugu polisi wanajua kazi yao.
namshauri asitetea mtu alie shindwa wa nini?
:hippie:
Kaka taratibu...u should be above this....
Polisi wamjeruhi Zitto Kabwe Kigoma mjini.. wapiga mabomu ofisi za chadema kigoma ujiji... Wamlenga Risasi ambayo kwa Rehema za Mungu na Bahati mbaya imempata mdogo wake begani... Na kumsweka ndani Muheshimiwa Mbunge Zitto Zuberi Kabwe!!!! kwa muda na baadae kumtoa! Mlioko Kigoma au mwenye kujua undani wa tukio hili tafadhali tuelezeeni issue iliyoko!