Elections 2010 Zitto ajeruhiwa na Polisi, apelekwa Hospitali

Ametaka mwenyewe yeye nani kama analeta vurugu polisi wanajua kazi yao.
namshauri asitetea mtu alie shindwa wa nini?
:hippie:



U Soda u just join then u come with Soda CO2 gas here, ur a punga of CCM, tutakupiga pooooooooooooool ww ukapumulie aga khan, nyoko ww, hapa ni wasomi na CHADEMA = Intellectuals peleka upunguani wako CCM, mchafu ww
 
Ametaka mwenyewe yeye nani kama analeta vurugu polisi wanajua kazi yao.
namshauri asitetea mtu alie shindwa wa nini?
:hippie:
Bahati yako humu kuna sheria kali la sivyo ninge kutukania... yako mzazi.
 
Wanataka watangaze hali ya hatari ili kuahirisha kila kitu kama Slaa atashinda
 
Hoo Mala Ccm vile mala Ccm ivi, Tumechoka kunyanyaswa na Mafisad:A S angry:, Tunaitaji Mapinduzi Wachawi Wote Out................Tunaitaji One Word One Tanzania

Sijui kama polisi wanajua wanalolifanya. Wanapaswa kushangilia kwa kuona watu kama Zitto wanaingia bungeni maana ndo watetezi wao. Haya, wajinga ndiyo waliwao.
 
sad news!!!!
Zito kabwe mbunge mteuliwa wa kigoma kaskazini alikuwa kigoma mjini kumtetea mgombea mwenzake wa chadema huko kigoma mjini ambapo jimbo hilo lina utata na kuna dalili kuwa ccm wanataka kuchakachua kura za chadema.kundi la polisi limewavamia na kumpiga zito na kumuumiza

source channel ten kama dkk 2 zilizopita wametangaza
 
:A S angry:
Ametaka mwenyewe yeye nani kama analeta vurugu polisi wanajua kazi yao.
namshauri asitetea mtu alie shindwa wa nini?
:hippie:
:A S angry::A S angry::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono::nono:
 
Anaandika kuwa katishiwa bastola na OCD. Kapigwa mabomu,mdogo wake ndie aliyemwokoa. This is OUR BELOVED TANZANIA,where power is sweeter than human dignity. Mcheki mwenyewe kaandika hapa: Zitto Kabwe | Facebook
 
Polisi wamjeruhi Zitto Kabwe Kigoma mjini.. wapiga mabomu ofisi za chadema kigoma ujiji... Wamlenga Risasi ambayo kwa Rehema za Mungu na Bahati mbaya imempata mdogo wake begani... Na kumsweka ndani Muheshimiwa Mbunge Zitto Zuberi Kabwe!!!! kwa muda na baadae kumtoa! Mlioko Kigoma au mwenye kujua undani wa tukio hili tafadhali tuelezeeni issue iliyoko!
 
sasa huko wanakokwenda siko jamani...heeee....hebu tuhakikishieni ili tujue kama tunaanza au vipi
 
Polisi wamjeruhi Zitto Kabwe Kigoma mjini.. wapiga mabomu ofisi za chadema kigoma ujiji... Wamlenga Risasi ambayo kwa Rehema za Mungu na Bahati mbaya imempata mdogo wake begani... Na kumsweka ndani Muheshimiwa Mbunge Zitto Zuberi Kabwe!!!! kwa muda na baadae kumtoa! Mlioko Kigoma au mwenye kujua undani wa tukio hili tafadhali tuelezeeni issue iliyoko!

Kama huna uhakika kwa nin uitundike hapa, ungeacha watu wakigoma walioko tukioni au wenye habari za kuaminika na kamilifu watuhabarishe.
 
Back
Top Bottom