Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Guilty until proven innocent? au
Innocent until proven Guilty?
Wengine mnaitikia vibwagizo tu as if ni kasuku.
Think!
Mabadiliko ya kweli Tanzania hayatakuja kwa majungu, dhana na hearsays!
Kubenea, Kibanda na Ngurumo wanakiua chadema, wanaaandika habari za Zito wauze magazeti. I am telling you guys! haiwezekani watu mnaowaita wanamapinduzi, wafichua ufisadi issues kama hizi za kuigawa chadema wanaziandika pasi uoga wala detailed info, udaku tu!!!
kwa heri chadema!!