mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 22,641
- 8,413
suluhisho si kufukuzana bali ni kukaa pamoja na kuondoa tofauti za kimsingi
mchawi kama hana wa kuloga analoga wajuku zake
suluhisho si kufukuzana bali ni kukaa pamoja na kuondoa tofauti za kimsingi
suluhisho si kufukuzana bali ni kukaa pamoja na kuondoa tofauti za kimsingi
umenena samakimja akioza unamchomowanakumtupa wanaobaki nikitoweyoMarekani walikuwa na Kennedy JF, Uingereza walikuwa na Churchill, China alikuwepo Mao, Tanzania tulikuwa na Mwalimu JK nimeanza na viongozi hawa wakubwa sana waliokuwa majabali katika Siasa na uongozi wa vyama vyao mpaka mataifa yao siku walipoondoka Mataifa yalizizima kwa simanzi hofu ikatawala mioyo ya wananchi wakihofu nani atachukua nafasi zao, but vyama walivyokuwa wanachama vipo vinadunda mpaka leo, hiyo ni katika higher level, tukirudi kwa huyu bwana Zitto ..Who is he? My belief is that CHADEMA was there without Zitto and it will be there without Zitto na Zitto pia atakuwepo bila CHADEMA, Chama hakiwezi kufa kwa kupoteza mwanachama mmoja kama vile kufa kwa mwanajeshi mmoja sio mwisho wa vita
suluhisho si kufukuzana bali ni kukaa pamoja na kuondoa tofauti za kimsingi
Mfano. mara baada ya Mh Sitta baada ya kuripotiwa kwenye vyombo vya habari kukwaruzana na ccm na hata kutaka kuvuliwa uanachama, mara tu ya kurudi tabora alipokewa na Viongozi wa Dini yake, mazungumzo yalifanyika mara tu baada ya kushuka airport.lkn baada ya mh sita kukosa uspika, tuliskia baadhi ya viongozi wa dini hasa wale wa kanisa la kinondoni wakilia nadhani imefika wakati Mh zito Rudi kundini, pia jaribu kujikumbusha ktk imani yako ,mengi yatakuipeka.
zito kubali ushauri