Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 576
Ipo siku yatanyooka tu. Kitu kizuri huanza kwa kufikiria na kutafakari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hizi kamati za bunge ni kamati za ushauri au kamati za utendaji? Mbona kila siku wanaongea na sisikii serikali wakichukua hatua yoyote? Kuhusu hili la NSSF kuzalisha umeme mimi siamini kama ni njia sahihi ya matumizi ya fedha za wafanyakazi. Hawa NSSF kazi yao ya kimsingi ni kubiresha maisha ya wafanyakazi ya sasa na ya baadaye na kwa mtazamo wangu wangewekeza zaidi kwenye miradi ya kuwajenga nyumba nafuu na kuwakopesha wafanyakazi ili waondokane na hizi nyumba za kwenye makazi yasiyopimwa. Suala la umeme lingeachiwa shirika na NDC ambao tayari wana miradi ya uwekezaji kwenye umeme inayosubiri maamusi ya wizara ili ifanyike.
zittto anatafuta umaarufu kwa kutumia shida ya umeme. Sasa anashindana na makamba. Wao serikali lolote jema. Ikosaini mkataba baraka watasema wafisadi hao. Wakichelewa wazembe hao.
Huh urais 2015 sijui utaipeka wapi tz!!!
Unamaanisha Magid au
bora umeliona, maana wakati huu mtu akiongea kitu chochote anaambiwa anatafuta uraisi, kwani waja mnatakaje? watu wasifanye kazi katika sekta walizopangiwa? tuachane na coments za 'anataka uraisi 2015' coz tushazichoka humu.Ulitaka asemeje ili asionekane anatafuta urais? Watu waache kufanya kazi zao kisa wasije onekana watafuta urais-huo ni uzube mwingine!
Zitto uraisi 2015 ni wako hata kama chadema wakikuwekea zengwe wakampitisha yule kasisi wao ambae by 2015 atakuwa ashachuja we njoo NCCR kwa bwana mdogo wako Kafulilia kwani uwezo unao na unaweza gombea jimbo lolote hapa TZ na ukashinda kwanini ushindwe na uraisi
Zitto uraisi 2015 ni wako hata kama chadema wakikuwekea zengwe wakampitisha yule kasisi wao ambae by 2015 atakuwa ashachuja we njoo NCCR kwa bwana mdogo wako Kafulilia kwani uwezo unao na unaweza gombea jimbo lolote hapa TZ na ukashinda kwanini ushindwe na uraisi