Thibitisha tuhuma hizo kwamba anahongeka kirahisi mno. Kwa muono wangu siyo rahis kwa Zitto kukemea rushwa hadharani au kusema rushwa hadharani kama alishawahi kula mlungula na magamba wakamuacha wasimuuombue.
kaka na wewe ni mbunge?Zitto umehongwa na Barrick, wamekupa hongo waliouita msaada wa jimboni kwako. Usijitetee hiyo ni hongo na ulipewa baada ya kuanza kulalama kuhusu Barrick. Hiyo ndio tulioiona, I wonder ile ambayo hatujaiona.
Thibitisha tuhuma hizo kwamba anahongeka kirahisi mno. Kwa muono wangu siyo rahis kwa Zitto kukemea rushwa hadharani au kusema rushwa hadharani kama alishawahi kula mlungula na magamba wakamuacha wasimuuombue.
Zitto mwenyewe hatumuamini, anahongeka kirahisi mno
Zitto umehongwa na Barrick, wamekupa hongo waliouita msaada wa jimboni kwako. Usijitetee hiyo ni hongo na ulipewa baada ya kuanza kulalama kuhusu Barrick. Hiyo ndio tulioiona, I wonder ile ambayo hatujaiona.