Deodat
JF-Expert Member
- Sep 18, 2008
- 1,274
- 272
huo ni wivu na ndio kinacho watia upofu wa wasiko na akili.
Kweli Taifa hili haliwezi kuendelea tukiwa na watu wenye mentality kama yako, badala ya kuhoji huyo mtu kapata wapi mali zote hizi huku kazi yake ikifahamika na mshahara wake hali kadhalika, wewe unasema watu wanamwonea wivu, halafu baadae mnakuja kulalamikia ufisadi wakati mkiwa mitaani mnawasifia mafisadi na kulamba miguu yao. Wewe huna tofauti na wale wasukuma waliopelekea malori ya bia na Chenge baada ya kashfa ya dollar 1.2 bil nao wakasema kijana wao kaonewa. Mwizi ni mwizi tu, mnafiki ni mnafiki tu! ni takataka kwenye jamii no matter his intellectual capacity!