Zitto afunguka na kueleza hafanyi siasa za kufuata upepo, anasimamia kanuni

Kama unakumbuka wakati ule alikuwa anataka sheria ivunjwe ili kunusu nchi kumbe ana lake, this time watu wamevunje sheria ili kulinda maslahi ya nchi anataka sheria ifuatwe... Kivipi??? Hivi Zito na washabiki wake wanadhani waTZ ni vilaza wa kiwango hicho????

Mimi nataka Zito atuambie tufuate anayoamini yeye kwa sababu tu ni yeye siyo????

Aache utani na waTZ, huu si wakati wa kusikiliza nani anasema na kuamini lipi? bali ni wakati wa kujua nini kuko nyuma ya mambo yote yanayoendelea....

Embu atuambie zito kama anafikiri shheria inatakiwa kufuatwa tutakuwa tumeokoa kiasi gani cha pesa maana wengine wamesema pamoja na kuvunja sheria wenzetu wamesema wameokoa zaidi ya Bil 6 kwa mwezi.

Unadhani Zitto akikuambia hicho unachotaka akuambie ndio itakuwa mwisho wa matatizo ya TANESCO?

Thinking critically, huwezi mlaumu Zitto na utajua tatizo liko wapi. Think people, think.
 
who is zitto?
Who is wewe? hivi unafikili hata wewe unaweza kusaidia nini kwenye chadema? kwanza haikutambui wananchi ndo tutakao mchagua Raisi tumpendae kam wewe humtaki Zitto ni wewe sisi kam wanachama wa chadema tunawapenda viongozi wetu waote wa chadema bila kujali dini zao ila nyinyi wakristo ndo mtakuwa chokocho mana mmeanza kumtenga Zitto kwa ajili ya dini yake mbona sisi DR slaaha hatujamtenga na tunampenda? nyie waklisto vipi? au mnataka na sisi waislamu tuwabadilikie nini mana kila siku nawaskikia choko choko zenu tatizo mmezoea ugomvi kwa taarifa yako hatubagui, hatuchagui kwan wakutusaidia hatumji hadi dakika hizi.
 
watanzania acheni majungu Zitto ni binadamu kama walivyo binadamu wengine nyie vip? kila siku zitto hamchoki yatawashinda mnaacha kujiri atakujwaje 2015 mnamadiri mtu mmoja tu yatawashinda.
 
Mt wenye matunda ndo hupingwa mawe. ukanda na ukabila mtupu ndo umetawala humu bomoen tu chama mmesikia mwenye macho ona
 
watanzania acheni majungu Zitto ni binadamu kama walivyo binadamu wengine nyie vip? kila siku zitto hamchoki yatawashinda mnaacha kujadiri itakujwaje 2015 mnamjadiri mtu mmoja tu yatawashinda.
 
kwa hili anatakiwa kuachia nafasi zake zote kwenye chama, ni aibu, amekuwa mtu wa kutumiwa, ni vyema akaachia nafasi yake hadi hapo itapoonekana kuwa hakuhusika, ameshindwa hata kuchangia kwenye mjadala wa nishtati na madini kutokana na kusutwa na nafsi yake, hata Selasini jana alioneshwa kusononeshwa na hali hiyo, na kama chama kinataka kiendelee kuaminika kwa wananchi ni vyema Zito akapumuzika nafasi zake zote za uongozi ndani ya chama.
 
We shall know many things which are under the carpet as 2012 power struggles continues. Thanks for this Power struggles and Thanks for strong opposition of CHADEMA and Thanks to President JK who appointed Minister Prof. Muhongo and Secretary Maswi in the Ministry of mining and energy. That shows JK is not a 'conservative CCM' member/chairman and also shows MPs from CCM are very weak and cannot deliver if they are given important and crucial position like the ministry of Energy and mining. "Truth like a torch, the more is shocked the more is shined" - By Prof. Muhongo akimnukuu one of the Philosopher of Scotland. See what has come to be known that Hon. Edward Lowassa was not involved in Richmond scandals - By CCM MP party meeting. Shame on all those who intentionally removed Mr. Lowassa on power. Shame on them 100 times.
 
Undumilakuwili kivipi mkuu? Tulia kwanza uongee taratibu... Zitto anaweza kusaidia nini katika nini?

Zitto kaangukia pua kwani Prof. Muhongo amethibitisha Mhando na Mkewa na watoto wawili wanamiliki kampuni nayofanya kazi na TANESCO . Kama Zitto mnayemwiita makini anatetea huu upuuzi ataweza wapi urais
 
Uyu Prof Muhongo anaonekana ni mtu makini,sema sio muongeaji mzuri..ni mtendaji.
 
Unajua hapo pa kutumia maneno kama kusimamia kanuni ndipo tunakoibiwa. Ni vyema mtu anaposema anasimamia kanuni ili aeleweke weke wazi ni kanuni zipi anazosimamia? Zitto tumemshudia katika matukio mengi akikosa misimamo je hizo ndiyo kanuni anazoongelea.

Moja ya sifa za kuwa Rais wa nchi ni kukubali kushauriwa, ninavyomwelewa ni mtu ambaye hapendi kushauriwa na kauli zake ndiyo hizo hizo za kuwa sifuati upepo, naamini ninachoamini, mimi siyo pendera fuata upepo, zote hizo siyo presidential ethics. Hii ni hatari sana kwa nchi. Rasi ni lazima awe mtu ambaye anaeleweka kwa jamii.
 
hii siyo mara ya kwanza zitto kutuhumiwa kupokea hongo nadhani mnakumbuka sory ya gazeti la guardian inayomtuhumu kupokea hongo toka kampuni ya Barick na bahati mbaya hakujitokeza kukanusha.Tatizo kubwa ni kupambwa na magazeti na viandishi uchwara kama angekuwa anasimamia kanuni alipaswa kuelewa mipaka ya kazi za kamati za bunge na hata ile bajeti mbadala ya upinzani iliwezekana ilikosewa kwa sababu ya kujifanya yeye anajua kila kitu badala ya kuwazia urais ni heri angejikita kutumikia wananchi wake badala ya kuzua malumbano yasiyo na msingi
 
Zitto anastahili kujibu tuhuma hizi kwa weledi zaidi.I believe he can do better than that....
 
Tatizo alipata umaarufu mapema na akawa hakubali ushauri sasa hii ndio matokeo yake,alijenga dharau kubwa hata kwa viongozi wake na watu wengine wa kada za chini na uliwapenda watu wa kumsifia tu na wala sio kumkosoa.ni kweli amekuwa mjenga hoja mzuri namtu mwenye kufuatilia mambo kwa umakini,kumbe ilikuwa ni kwa sababu fulani.kwa hili itamgharimu sana ZZK
 
yani huyu zitto ananitia kichefu chefu jamani huyu ni mbwa mwitu hatari na ni kansa ya hatari simpendi anadhani watz sisi ni wajinga hatujua kuchambua mambo na kubaini uozo uko upande upi jamani namchukia zito kuliko navyomchukia shetani eti anasingizia siasa mpumbavu kabisa huyu jamani nasikia hasira.

wewe unashangaza sana yani unamchukia zito kiasi hicho kwa jambo ambalo ukweli wake haujathibitika,ebu fikiri epa,richmond,meremeta,tangold,baec,ccra mbona ujamchukia jk anavyotanganywa na mambo madogo ya kitoto na kusain kama vile vya ccra(nssf,ppf)
 
Back
Top Bottom